Kujiondoa kwa Raila Odinga kutoka kwenye kinyang’anyiro cha urais sasa kumeibua masuali ya kisheria kuhusu hatma ya uchaguzi uliokuwa umepangiwa kufanyika tarehe 26. Muungano wa NASA ukiegemea uamuzi wa mahakama ya upeo katika uamuzi wa utata wa uchaguzi wa 2013 unaosema kuwa uchaguzi huo sasa utafutiliwa mbali na shughuli ya uteuzi kufanyika, mrengo wa Jubilee unaegemea kipengee cha katiba kuwa mgombea wa uchaguzi akiwa mmoja, atangazwe rais mteule kando na kufanya marekebisho ya kupiga msasa utata huo.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya
Негізгі бет Hatua ya Odinga kujiondoa yaacha wanasheria wakikuna vichwa
Пікірлер: 52