Kweli kabisa Askofu. hadi wamama wameacha watoto wakawa machokoraa wakichoga.ipigwe marufuku forever
@janendegwa5462
4 ай бұрын
muguka haiezi fanya mtu atupe mtoto,hio ni unga
@sulehassanshall6140
3 ай бұрын
Hio mungukaa Wapeleke Bonde laufa huko wako Watu wengi kuliko pwani ..
@jamalsaid7475
4 ай бұрын
Kweli kabisa Boss
@Bosezizunae
3 ай бұрын
kweli
@مريمنيجيريا-د5ل
4 ай бұрын
Kazeni kambaaaaa nduguuu
@kazungusteve9215
4 ай бұрын
Tunakataa migukaa kabisa
@isaacjoshua6884
4 ай бұрын
Mia kwa mia niko ndani
@mathiasmghenyikilalo4447
4 ай бұрын
Mwenye ana uzia mtoto ndoo wakufungwa wengine hatunywi chai
@MefakiMgandi
4 ай бұрын
Hongereni wazee wetu mungu awaeke
@jaysmart3277
4 ай бұрын
Amen
@EstherKaingu-m2f
3 ай бұрын
Mugokaa tumekataa wawapatie watoto wao wale.
@josephmwangale9364
4 ай бұрын
Na shanga na korti ya kenya watu hawataki muguka coast region na bado wana force,huku vijana wamepotoka kwa kutumia muguka.
@isaacjoshua6884
4 ай бұрын
Matawi tuachie mbuzi na ngamia
@dickensojiambo275
4 ай бұрын
Mukatae cocaine pia ya kina joho na Abu
@KenJuma-tz2hg
4 ай бұрын
Pelekea gachagua huko kwenu
@dickensojiambo275
4 ай бұрын
@@KenJuma-tz2hg we unadhani mombasa ni kwenyu
@jaysmart3277
4 ай бұрын
Acha tuuze cocaine kwetu na nyinyi muuze mugoka kwenu,swali tu ushaona tukiuza hiyo cocaine meru,watu wakule madawa ya kwao
@janendegwa5462
4 ай бұрын
mbona hampigi madawa maunga wamejaa pwani miaka nenda miaka rudi kuiba sufuria , muguka watu hao hufanya kazi maunga ata hawaogi hawaendi nyumbani wako jela
@-xm6qj
4 ай бұрын
Unga sio 20 bob
@janendegwa5462
4 ай бұрын
@@-xm6qj sio 20 bob lakini wanahangaisha watu wakiiba, juu lazima wavute
@dickensojiambo275
4 ай бұрын
Muache Tribalism mombasa si ya mtu binafsi
@-xm6qj
4 ай бұрын
Hakuna tribalism Mombasa ukabila NI huko kwenu
@dickensojiambo275
4 ай бұрын
@@-xm6qj iyo lugha ya wabara ilitokea wapi
@-xm6qj
4 ай бұрын
@@dickensojiambo275 mumejaa huku Mombasa na hakuna anaye wanyanyasa lakini huko kwenu hamupendani.... But I feel sorry for you and I understand why we are the most welcoming people in the whole region... Mswahili NI muungwana sio mnyika
@-xm6qj
4 ай бұрын
And Mombasa NI ya jamii ya waswahili.... Kama vile central na western kuna jamii zao... I don't care if you like it or not umeze ama uteme... We were the first civilization in the east Africa while you were hunter gathers living in the wild while Nairobi was a jungle before the British... The Swahili coast was inhabited by the Swahili people and our civilization and cities ran wide from the coast of South Somalia to northern Mozambique with every island in between. Yet Mombasa the first capital of Kenya and daresalam of Tanzania... Mswahili NI muungwana in English it means the civilized
@salomewambui7417
4 ай бұрын
Chunga mtoto wako
@georgesalano5771
4 ай бұрын
Vita vya pombe haukusema kila mtu achunge mtoto wake,mbona dabo standards
Пікірлер: 31