August 30, 2018 Katibu Mkuu wa CCM Dr. Bashiru Ally amesema kuwa amemuita mmoja wa mawaziri wa Serikali ya awamu ya tano aeleze kuhusu tuhuma za kumiliki ardhi ya ekari elfu moja (1,000) ili aeleze amezipataje.
- Күн бұрын
“Hatuwezi kuwa na viongozi waporaji, nitamuita huyo Waziri anijibu” -Dr Bashiru
- Рет қаралды 13,654
Пікірлер: 14