Nampenda sana nana ni mwanadad mrembo kwakwel anastair kutuwakilish ❤❤❤❤
@LoveAron
4 ай бұрын
Zuchu hatumchukii but hana sura nzuri ni wakawaida sn usingemuweka hapo ,kwenye kuimba hapo yuko vzr
@Sofiathefirst-255
4 ай бұрын
King'anga kama kijakazi Tu zuchu hata Sura zuri wakawaida Tu😏😏😏😏
@Lizawansima
3 ай бұрын
Wewe una kwaku ngangamiya wivu una kusu mbuwa kila mwanamuke nikinganga kwamume wake❤❤❤❤❤
@shadiwaigwa9230
4 ай бұрын
Zuchu ni mrembo sana, natural beauty ❤️❤️❤️❤️
@OngwaKazaroho
17 күн бұрын
Nampenda sana NANDY I ❤️❤️❤️❤️
@HamidaKimaro-q9q
4 ай бұрын
Mmmh!huyo zuchu ni uzuri wa dukani
@OlgaAmboulou
4 ай бұрын
Zuchuuuuu Forever Queen ❤️❤️❤️💯💯💯👍🏽
@fatmaallyabdul1732
4 ай бұрын
Hapo kwa zuchu mmetudanganyaaa,hana sura ila mamaake bi.khadija yule mama ana sura nzuri ana baby face mama yule and black beauty
@MiriamAmina-zu9jy
4 ай бұрын
Zuchu ana myaka 31 lakini kama katoto la myaka 20😅 lakini zuchu ni mzuri kabisa ❤
@JohariCareer
4 ай бұрын
jaman me zuchu nampenda san ila kwa uzur umetupiga ndugu ang aisee
@Mwikinda
3 ай бұрын
🎉🎉🎉
@ChancelineCatherine-bj6jd
4 ай бұрын
I love you so much ❤️❤️Zuchu❤❤
@HidayaTwitunge
4 ай бұрын
Mbona zuchuu mzurii tyuu😊
@SarahDavid-y6y
4 ай бұрын
Zuchu ni nzuri sana maana azuri wa asili Hana fake ni neutral girl
@SimbaMakono
4 ай бұрын
Zuchu ni mzur❤❤❤❤
@Lizawansima
3 ай бұрын
Zuchu murembo achubui❤❤❤😂❤❤
@rosineandema9107
4 ай бұрын
Zuchu gani ule mzuri?
@LoveAron
4 ай бұрын
Kusema kweli zuchu hana sura nzuri 😅
@candidekaneza8587
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@SimbaMakono
4 ай бұрын
Zuchu ni mzut❤
@desmaambiche1679
4 ай бұрын
Zuchu forever,, black always beauty
@MwanaAthumani-q2d
4 ай бұрын
Mmmmm❤❤ badiiiiiiiii😅😅
@surusuru1994
3 ай бұрын
Zuch sio mrebo hatakindo weusiwapo wengi ila hafai anasura yababa pakatumbo baba
@ElianusJuma
4 ай бұрын
Zuchu Bado sana
@ednahumazi777
3 ай бұрын
Nimzuri huyo Elizabeth nimrembo
@ednahumazi777
3 ай бұрын
Zuchu si mzuri
@JosephMutambala
4 ай бұрын
Kwa kopa umechemka
@MwanaAthumani-q2d
4 ай бұрын
Mhhh
@YasintaHongela-j4s
4 ай бұрын
Zuchu ni mrembo mno kwani hajaenda huko uturuki siku akienda huko itakuwa ni balaa zuu apewe maua TU
@LoveAron
4 ай бұрын
Hana sura zuchu tusidanganyane bhana, Hadija kopa yy ana sura nzuri kuliko Zuchu
@YasintaHongela-j4s
4 ай бұрын
Nijuavyo Mimi watoto hufanana sana na wazazi wao na uzuri wa mtu mmja na mwingine Kwa kila mmoja na mtazamo wake kimantiki zuhura anamashiko na asilia Lakini wengine wao wamejiongezea vitu
@ednahumazi777
3 ай бұрын
Simzuri zuchu
@MiraAbesemzaliwa
4 ай бұрын
Sikia sasa wa Tanzanian nao Eti zuchu anawakilisha naye taifa Amna lolote pale zuchu sura kikoropo
Пікірлер: 37