Kama bado unaangalia hiii nyimbo leo 2020 gonga like hapa tujuane daaaah
@prospermruma1825
4 жыл бұрын
Anatisha tutamusapoti
@alialshaman1358
4 жыл бұрын
Mm nayiona
@kahoribonga9280
4 жыл бұрын
May 24 2020
@ajabutv2796
4 жыл бұрын
Inapendeza
@rozmihambo1935
4 жыл бұрын
Peda sana hawa mugu atakuasaidia
@nkhosimusa1407
4 жыл бұрын
Kama naww unaona kama Diamond ni mwema sana gonga like
@saidihabibfundi6492
5 жыл бұрын
Wanaoamini Mungu hashindwi na jambo wote tukutane apa tuseme Amen Good is good
@agnesburton3215
5 жыл бұрын
Lawrence Paul Ameen
@wilfredwatson6668
5 жыл бұрын
She did she need more than 4 million subscribe it now
@barineokech8775
5 жыл бұрын
Amen
@sulekhamustapha613
5 жыл бұрын
Amen mu😊ngu asante
@loycestanley8475
5 жыл бұрын
Amen
@abdulkinana6774
5 жыл бұрын
"Eh mola wabariki wanoniombea mema" Km nawe umeiskia na kuipokea dua hii kutoka kwa Hawa ebu gonga like twende sawa...
@mireilleirakoze602
4 жыл бұрын
Ndio kabisa
@jumajay5775
4 жыл бұрын
Nyimbo zuri sana.welcome back 2life.Hawa
@shilazimsale5836
5 жыл бұрын
Wangapi wanatamani kumuona kwenye wasafi festival rise up your hand
@edwinkellychedo4032
5 жыл бұрын
Shilazi msale ✋
@banosmaximillian7538
5 жыл бұрын
Shilazi msale alikuwpo ddm mbn jna
@fauziahyahya8479
5 жыл бұрын
🤚
@husnauthman7609
5 жыл бұрын
Tushaonaaaa
@Qeek_Smart
5 жыл бұрын
Tayar ameshaenda
@missbartanzania688
5 жыл бұрын
JAMANI huyu dada ndiyo anafaa mke wa diamond ukifuata history yao, anaeungana na mawazo yangu gonga like Kwanza
@zainakassim7812
4 жыл бұрын
Kabisa
@lookbabes8710
3 жыл бұрын
Kabisa
@godfreybitakama9845
Жыл бұрын
Ila upo vizuri usirudie Tena kule
@munam7104
8 ай бұрын
Yeah its true 👍
@marysheemrasta6827
5 жыл бұрын
+254 hapa Kenya tumeikubali😘😘😘go girl go girl nice song
@simba9563
5 жыл бұрын
Yaaah nice song
@danieljefwa2071
5 жыл бұрын
254. it's really.
@millianahnekesa2934
5 жыл бұрын
Go go go Hawa 💕
@kamalmustafa6029
4 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuhifadhi Yarabi hinyimbo inaniumiza wallah
@ashurajoy2732
4 жыл бұрын
Hellow
@kevoocoastboy9449
5 жыл бұрын
Walio view mara 20. Gonga like i really love you Hawa Nimefurahia Sana kukuona kwenye tamasha wasafi hongera Kwa Mondi kweli mmetoka far Nae ameyawazia #wcbforlife
Magg Nish please please Usimfananishe na huyo Na wako huyu Hawa Nitarejea yupo juu One day you will see....
@nassrohamadi3561
5 жыл бұрын
Ni zaidi ya Nandy hapa tuko na NAZIZI mwengine
@kuleiyemomboo5136
5 жыл бұрын
Mungu azidi kukujalia
@eliabamayi4344
4 жыл бұрын
Gyyyy this lady ni mtu anajielewa achana na kina nandy makuro wa tz,,,, huyu yuko juu Sana na ata nyimbo zake ziko na message
@eliabamayi4344
4 жыл бұрын
@Ochieng Odugu msanii wa kike mashuzi ss tunataka wimbo wa kukuza kizazi kijacho hivi hizo nyimbo zenye nandi huimba na kina wilkypoul waona zina message gani kwetu,,, wacha nimsuport hawa kwa roho safi bana
@saddyclassicfashion9577
5 жыл бұрын
Km uko tayar kumsapot shemej yetu kwakaz nzr km hiii like tujuane
@julianameshack5781
4 жыл бұрын
saddy classic fashion hawa nampenda sana
@al.ustadhiyunuzo7883
5 жыл бұрын
Kama na ww ulimic kicheko cha hawa kama mm na unakubali kipaji chake gonga like hapa
@yusuphkishada5672
5 жыл бұрын
Safii sana
@ndayisengafrorence8461
5 жыл бұрын
Mungu yumwema
@anjelinakasembe845
5 жыл бұрын
Renspekt Baby Hawa🔥🙏👍😭
@ajabutv2796
5 жыл бұрын
Mi nilmisi kicheko cha hawa mpaka nimemtengezea video ya maneno tu hii hapa kzitem.info/news/bejne/pp9-qplojIaKa34 ila mniambie kama nimeboronga, msinifiche! Hawa karudi kwa kasii.
@juliustitto26
5 жыл бұрын
Nammic hatar
@saidaidid3065
5 жыл бұрын
Uko na sauti nzuri ya kuimba kuliko ya hamisa mobetto kama unakubaliana nayo gonga like zako hapa
@mgeyo6464
5 жыл бұрын
Daaaaaah Nimejikuta NACHEKA NA MIMI😀😀😀😀😀😀Mungu mkubwa jmn
@wahidakisingo76
5 жыл бұрын
Mungu ni mkubwa zaidi ya ufahamu wetu wanaadamu
@EliyacostantinoPius
5 жыл бұрын
Mungu si mwanadamu kabisa hawa...wimbo wako umetupa faraja na matumain leo unaweza kuimba leo unaweza ongea vzr..leo una afya njema wapo vijana wengi tunajisahau na kuwaza pombe ndio kitu cha kwanza kutoa stress za mtu..Kumbe ndio zinakupelekea kaburini..Am happy uko Hai..be blessed .Ntakussupport kwa mikono yang na akili yang yote
@emmaadhiambo4807
5 жыл бұрын
What a beautiful song from a beautiful woman, much love from Nairobi Kenya
@farajafaraja3494
5 жыл бұрын
Wanaopenda hawa asajiliwe wasafi tujuane
@magrethrugenga4369
5 жыл бұрын
Wengii tuuuu tunapenda kma mmi
@jumasaid3222
5 жыл бұрын
Dada hawa nakubali sana kazi zake
@rehemamallindi4022
5 жыл бұрын
anatosha kuwa wasafi
@rahmangwandu2081
4 жыл бұрын
Mimi mmojawapo
@slajibakari482
4 жыл бұрын
Anafaa
@marymayor4046
5 жыл бұрын
Jamani, let support her to million views and thousands subscribe 💞💞💕☺☺🤗🤗😇😇😇 be bless more beautiful
@berinkoroso9357
5 жыл бұрын
Yeah.. Let's gooo!!!
@user-pz8cb9cj3i
4 жыл бұрын
masha allah mungu akupe afia da hawaa kaza kamba mola atazidi kukufugulia njia kweli kugua sio kufa
@htx1873
5 жыл бұрын
Who ever is watching this Don’t give up no matter what you are going through, God has Good plan for you .. Utacheka Soon
@estermakaka8258
5 жыл бұрын
Nimefurahi kukuona Hawa ukiwa na afya njema hakika Mungu hashindwi na lolote
@sabitinamsuya8647
5 жыл бұрын
tutambuane tunaorudia kusikiliza hii nyimbo tuliomisi kucheka
@zachariajackson4415
4 жыл бұрын
Hongera xana hawa
@rasykizanjbari4996
4 жыл бұрын
Hahahaha nimemiss kucheka pole sana hawa
@logictv4818
4 жыл бұрын
Kuna mengi San dunian
@peteradonga7668
5 жыл бұрын
We from Kenya are Happy to see you Back again,your Bright and Happy face gives hope to many who are watching this Video...AMEREJEA kweli..
@nancymaina8285
5 жыл бұрын
Hawa welcome back bby gal love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@sirajikaira4048
5 жыл бұрын
Gongalike kama ulimiss smile ya hawa🔥👏👏👏🙌welcomeback🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@sarahmuoho6940
4 жыл бұрын
God bless you hawa...u love your song so much na utaenda far...mm i am from Kenya
@beatusrwekaza6796
5 жыл бұрын
wangeniuliza nishauli kitu kimoja kwa huyu Dada ningeshauli Amtumikie Mungu maisha yake yote
@brysonsulle1322
5 жыл бұрын
Hakika Mungu ni mkuu Hakuna mtu anapenda kuishi katika hali hii Be blessed
@Bullah_tz
5 жыл бұрын
Ila diamond platnumz ashukuliwe asee kwa moyo wake... hawa kaludi tena
@gracekilonzo5550
5 жыл бұрын
Hawa is back ,i missed you ,have found myself smiling lots of love from Kenya may God bless
@winnienicole7872
5 жыл бұрын
Love u hawa
@divadiva684
5 жыл бұрын
Hawa welcome back! May God Bless and heal you 100%. May God restore your musical talent back. Sing again you look wonderful and I am sure the next song will be great.
@hairunlashku3581
5 жыл бұрын
Nimemiss kucheka imeniliza jamani,kazi nzuri sana Hawa mungu akupe umri mrefu wenye afya teeeeele princess
@hidayaally826
5 жыл бұрын
Diva Diva68 ..
@thomasmario950
5 жыл бұрын
Pole sana Dada angu, ila kumbuka Mungu siku zote huwa hawezi kumsahau mja wake, Mungu yu pamoja nawe milele
@ireneopondo3954
5 жыл бұрын
You have a beautiful voice Hawa. Welcome back to the game pretty one.
@raphaelomolo5315
5 жыл бұрын
irene opondo jaber mambo
@ireneopondo3954
5 жыл бұрын
@@raphaelomolo5315 poa
@raphaelomolo5315
5 жыл бұрын
irene opondo irene uko wapi kindly, mm nko Mombasa
@peterkalii5939
5 жыл бұрын
You're real back ,preach and preach ,ongeza volume ,,kama umeipenda gonga like Kenyans 2 love you
@sandrinekidasharira9713
5 жыл бұрын
I cried.. but tears of joy! And then, I laughed with you, young lady! God is great! And blessings go to Diamond! Muuuch love
@landrinebagalwa5919
5 жыл бұрын
Mungu aku bariki sana na akupe haja ya moyo wako 😭😭😭😭😭 nyimbo nzuri sana ime ni liza una kipaji cha uimbaji
@robertkipkoech008
5 жыл бұрын
Mrembo
@jamalahmed6779
5 жыл бұрын
Welcome back Hawa, you're a hero. I was not happy venye ulikuwa before. But I that God ameweza kupokea dua zetu na zako kwa ujumla. #NeverGiveUp. #TeamSmilerz 🙏🙏🙏
@segamkange187
5 жыл бұрын
Saf
@sylviemutwale9527
5 жыл бұрын
Kwani amisa umemuona umu ndani y'a vidio
@asmahanyally3225
Жыл бұрын
Nakupenda sana cjawahi kuchoka kutazama hii video..........Allah Kareem
@ronashimbishe
5 жыл бұрын
NINameng ya kusema wajue ukwel kuhusu mm daaah#, gonga like apa nimetoa machozi
@barineokech8775
5 жыл бұрын
Kumbe tumelia wengi.
@ronashimbishe
5 жыл бұрын
@@barineokech8775 lian daah
@mariamkerre3110
5 жыл бұрын
She who laughs last laughs best .UV learnt Ur lesson n through you many will smile again too.all the best girl future is bright for u
@allykassim9826
5 жыл бұрын
Welcome back, time to show them your talent. God bless u NASSIB ABDOUL. LOVE U HAWA.
@nehzreal7445
Жыл бұрын
So touching nimetamani wimbo uendelee..jamani hawa feel love from 🇰🇪 +254
@Mbeyaconscious
5 жыл бұрын
Hii nyimbo kiukweli Mungu akubariki hata ss tulimis kukuona ukicheka sana dada etu ila Hii nyimbo ilibidi iwe kwenye channel yako wotee waliopost kwa account zao block Mbona Upo karibu na mtu mzito #diamondplutnumz kweli kashindwa kukupa muongozo wa kusimamia haki miliki yako kwenye muziki! Sasa cha kufanya ukiisoma Hii comment waulize wataalamu wa mitandao wakutumie maombi hata ww unaweza Fanya hivyo kuna form fupiiii tu unajaza hapo ili ngoma Hii tuipate kwako tu na uvune ulichopanda dada angu muziki wa Sasa ni tofauti na kipindi kile. Ila kweli #diamondplutnumz kashindwa kukuunganisha hata na #ngomma kweli Duh!
@dicksoniomondi2119
5 жыл бұрын
Awa ungerudi kwa mungu ukamuimbia yeye achana na ya dunia
@luciakayoza6011
5 жыл бұрын
keel kabisa muimbie ngu maana dah asant jesus
@nancyrashidy7390
5 жыл бұрын
Kabisa
@liverobongo7349
5 жыл бұрын
Wow wow wow ❤❤❤👍✌😘
@alimajootingi7398
5 жыл бұрын
@@liverobongo7349 kabisa
@liverobongo7349
5 жыл бұрын
Brovo brovo brovo dada Hawa❤❤❤❤❤❤❤❤😘
@manyweretv5177
5 жыл бұрын
Tuliokuja huku baaada ya kuona post kwa simba tujuane.
@bxgdhydydh6505
5 жыл бұрын
Mm nimetoka kwa babu tale😅😅🙌🙌🙌
@manyweretv5177
5 жыл бұрын
@@bxgdhydydh6505 aaaaah wote wetu hao WCB 😁😁😁😁
@bxgdhydydh6505
5 жыл бұрын
@@manyweretv5177 ahaaah sawa dear
@salmaabdoul1069
5 жыл бұрын
Ujue nimecheka sana tupo wengi
@manyweretv5177
5 жыл бұрын
@@salmaabdoul1069 team wasafi sio
@leonardrotich3625
4 жыл бұрын
Nampenda huyu mwanadada, ako na talanta sana ata baada ya kupitia mengi katika maisha , bado anatamba Afrika Mashariki. Naomba uzidi kutufurahisha kwa nyimbo zako,
@leonardrotich3625
4 жыл бұрын
Hawa unaweza imba nyimbo za kikristo, tembea Kenya na utapendwa kweli kweli
@sabitinamsuya8647
5 жыл бұрын
Nilimisi kucheka kwa kweli. thanks for this song
@sameersuleyman4208
5 жыл бұрын
Moyo unauma sana Dada hawa watu wameongea mengi sana tunashukuru umeludi kaza Kiatu sasa mana gem la muziki limekuwa gumu ni tofauti na kipindikile enzi za nitalejea
@jupiterbibi9630
5 жыл бұрын
God is good, Hawa tabasamu yako barafu ndani ya moyo wangu God bless you more love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@fatoomaf704
4 жыл бұрын
hawa ulituliza wengi iliumizawengi mungu akulinde daimond mungu azidi kumpandisha daraja kwani ukitowa unaongezewa zaidi tunamuombea sana daimond we2
@biusimohamed1049
5 жыл бұрын
Tuliokuja huku kwa post ya babutale na qeendalin tujuane nice song mungu akujalie my dada
@cerahbforblessed1086
5 жыл бұрын
oh my sweet girl Hawa..kwa kweli ulimiss kucheka na nilimiss kicheko chako dada..i thank God for your life.anaitwa Mungu wa urejesho.
@colmanmboya9075
5 жыл бұрын
Our GOD is so mercifully my sister. Since you have suffered a lot now its a time to receive your blessings. Gonga like tumfariji dada yetu watanzania
@kinglusa2908
5 жыл бұрын
Yani song hili adi limeniliza aisee,,, Pa1 Dada barkiwa ktk bwana mungu we2....
@enockmadati7822
5 жыл бұрын
Hawa usijisifu kwa kurudi kwenye hali yako nzuri. kitu ambacho hukijui ni kwamba Mungu amekupa nafasi ya kurisiti matokeo yako ya mtihani uliofeli mara ya kwanza. hiyo ni nafasi adimu sana dada yangu. Hongera kwa wimbo mzuri una ujumbe ndani yake.
@flowered7955
5 жыл бұрын
Asante sana dah uli ckia ombi langu kuimba gospel mana ni Mungu aliye kupa uxima mcfu kwa kila Njia GOD bless you
@mwendwamjukuu9468
5 жыл бұрын
Nyimbo ya nitarejea ilikua na maana nyingi sana..... Hawa amerejea vizuri sana
@barakaantoni6127
5 жыл бұрын
Mungu ndo kila kitu kazana sana kwenye maombi na sisi tutakuombe maana umetoka mbali sana pole hawa
@mutuachris
5 жыл бұрын
Hawa tupo naww sisi kama +254 we love you piga like 254 kama tupo pamoja
@me-stardablamusics8277
5 жыл бұрын
yaaah0 0we r here 4 her
@allyjuma7763
4 жыл бұрын
Rich Gang Family Santee mungu
@ktotheworld3832
4 жыл бұрын
Follow kulu travels for luxury travel
@deanking6105
5 жыл бұрын
I do not know why but I felt so happy till I cried was always praying she gets back. God is great.
@peresabanja6988
5 жыл бұрын
You are talented Hawa,such a powerful song.you are such a cute /beautiful lady,please take good care of yourself. Watching all the way from Nairobi, God's speed and you are going places.
@fanuelmduma9296
5 жыл бұрын
Hawa karibu sana tena, personaly nilikuwa nimekumiss saana. Nimefurahi kukuona tena. Karibu sana. Keeep it up.
@miriamm7359
5 жыл бұрын
You never know what second changes mean until you play a victim...my love from Kenya
@officialvee902
5 жыл бұрын
pole sana mpenzi wangu wa zamani nmeifeel aki
@songabaluku4153
5 жыл бұрын
Hataree sana songi limekwenda shule likagraduate.... Moja safi sana
@simonmtuka8473
5 жыл бұрын
Mungu ni mwema shall out kwa wote waliopambana kufanya #hawa achene tena
@kamwonejuma5990
5 жыл бұрын
Kama umeitizama video zaidi ya Mara 5 like hapa twende sawa kweli kipaji hakipotei Dada Hawa kipaji chako ni chakuziliwa nacho Bongo moja la ngoma🙏🙏🙏🙏🙏
@mitchamitcha9404
5 жыл бұрын
Hahaha mimi pia
@mapesa2194
5 жыл бұрын
Saf
@rosejack7837
5 жыл бұрын
Keep it up dada, ur vocal is real nice
@manuelsousajosemanuel8964
5 жыл бұрын
Mimi
@estherrobert7495
4 жыл бұрын
Wengi walikusaidia mpendwa na Mungu awazidishie. ...lakin yote mungu ndo aliyeruhusu wewe kuwa na afya nzuri tena...!! Hakika hakuna linaloshindikana kwa Mungu...!!
@mtamilanyambalo9261
5 жыл бұрын
Asante Mungu kwa Uweza wake juu ya huyu Binti. Akika wewe pekee ndio shujaa wake wa kweli," Hallelujah to Jehovah " Endeleo kumsifu bwana milele
@eliusandrew3762
5 жыл бұрын
Nimefikilia diamond nimeria sana, kumsaidia mtu sio lazima ujitangaze, thanks mond hatakama sio shabiki wako but on this nimelia kwa uchungu sana asante sana dada Mushukuru Mungu sana
@adongoodluck9487
5 жыл бұрын
hongera sana dada hawa,kikubwa chakufanya mshukuru mungu sana mana siyo jambo dogo mungu amefanya kwako,unafahamu wangapi umewaacha wakiendelea kuwa katika dimbwi hilo ambalo ulikwepo,hakika kaa vizuri na mungu wako.
@angelkisangau4530
5 жыл бұрын
God is ever faithful. #Nacheka na wewe mwanamke mwenzangu. Twende nalo Hawa mpaka kieleweke
@annitahnjoki2545
5 жыл бұрын
Nashukuru mola kwa Hawa,may God keep blessing you to the highest level of your life
@reshmapenz9051
5 жыл бұрын
Annitah Njoki 254 l
@princessjerad7655
5 жыл бұрын
Hawa nakuombea Mungu wahandishi wa habari ni wazuri na wakati mwingine wanaweza kukuangusha wanawexa kukuuliza swali huko wao wakijua linaweza leta chuki we we ukalijobu huko. we we umaona kawaida tu likakusababishia chuki na watu au uadui badala kukuongezea marafiki likakuongezea maadui kuwa makini muulize rubi kaulizwa kuusu amisa yeye lakibu kama alipatwa na ugonjwa wa kuhara eti ajui kuimba na maana LA neno hili kila MTU anakipaji chake hivyo
@conciliampofu8938
4 жыл бұрын
I don't understand but I have been your fan from day 1 from Zim am so glad you are back my dearest
@conciliampofu8938
4 жыл бұрын
Thank y'all
@alfredymalata269
5 жыл бұрын
Dah! kila kitu na wakati wake aise Dada angu hawa fanya kazi sasa Tasnia bado ipo nawe
@denisngoinde3693
5 жыл бұрын
Unasaut nzuri najua wengi tumekuja kwajili ya post ya simba but ujatuangusha kipaji unacho...... We lov yu
@joleenmasha
4 жыл бұрын
Duuu jamani mwacheni mungu aitwe mungu hakuna anaye weza kumpinga jamani pongezi sana hawa
@aureliambawala7145
5 жыл бұрын
Yes baby your back to life.Keep smile 😀 God loves you.May God bless you my Princess.
@wanderenyeura9011
4 жыл бұрын
Nlimiss kucheka! ...muda wote maswali .. . about to cry!
@ronaldmugambi6294
4 жыл бұрын
tulimiss kukuona hawa,,,, 254,, God bless you
@yassinm69
4 жыл бұрын
Tulimiss saana smile zako Hawa we love you
@aminaharapaharapah27
5 жыл бұрын
Really never give up in life God thx for bringing her back on her feat again 😭😭😭 much love from 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🙏🙏🙏
@nicolezoemary7323
4 жыл бұрын
God has given you a second chance please maintain hapo usiikubali roho iiumie Tena let whatever is hurting u go usiirudii pale Tena mungu atah kuretain where youare.alove your songs
@jillianlovie4084
5 жыл бұрын
Mungu akusaidie kipenzi..na sauti irecover.. Nimefurahi Mimi pia Ni mingoni mwa watu tunaopenda uwimbaji wakoo
@bettyamenadhiambo2798
5 жыл бұрын
Mungu akuinue adui Wa aibike in Jesus name
@winsorscotts6273
4 жыл бұрын
Diamond Diamond Diamond may God the Almighty Father bless u and help u in any way u might b stuck u brought hope in Hawa's life and brought a smile in her life again what u did is rare
@team_double_mix2430
5 жыл бұрын
God will never let you down sister much love from 🇺🇸 🇺🇸
@ilovejesus9303
5 жыл бұрын
Amen
@kakaaignas3675
5 жыл бұрын
Amen
@Rashid-ss2wv
5 жыл бұрын
Can you follow me plz 🙏
@aishasaid4560
5 жыл бұрын
All tankx to the almighty Allah dada kuza kipaji na kumrudia Allah kakupa hatua nyengine ya kumuabudu momy, kipaji chako ninjia mwafaka yakujitafuria riziki Alhamdulillah kwa kukuona na nuru njema kudos uko juu.
@prettyrecho330
5 жыл бұрын
Kama una mkubali hawa please nahomba comment zenu na like please Kama nawewe uli Miss ku cheka nahomba like please 😊😊😊😊❤️❤️❤️❤️❤️🧡🧡
@codestarcodestar-hn3kp
5 жыл бұрын
Mungu aendelee kukushika mkono ufike mbali pole kwa yote yaliyojitokeza ni mapito tu ya dunia
@lynnanderson6099
5 жыл бұрын
She has a great voice, now all she needs is someone financially able, who cares; to lift her and put her on a pedestal ❣️
@Iam_rehema
5 жыл бұрын
Wacha Mungu aitwe Mungu.💜💜 Hawa you are a star
@princethehunter3069
5 жыл бұрын
Daahh... By the way ngoma kali sana. Mungu ashukuriwe mana UMECHEKA TENA. dunia ni somo kila hatua ni topic muhimu kwa maisha ya kesho
@beautyibrahim8428
5 жыл бұрын
DAh mungu akisema ndio hakuna wa kupinga hawa karejea tenaa mungu mkubwa🙏🙏🙏🙏
@tsoritune555
5 жыл бұрын
It's good to see u back.. # Glory to God.. 254....
@petermwangi7047
5 жыл бұрын
Mungu ndie kila kitu asikuwambie mtu God bless you....
@gitahigichohi3984
5 жыл бұрын
Sometimes you have to admit diamond commands some respect. He has brought hawa back to life, he brought us kipenzi cha wakenya harmonize, he elevated mbosso n several others. May God bless diamond platnumz 🇰🇪🇰🇪
@rodrickmadoolo
Жыл бұрын
She's the coach of the world with her sweet Voice ❤
@ismaelmastaki7769
5 жыл бұрын
Congratulations hawa mungu akulinde naakuongezeye kipaji ,mashikoro mageni kweli # big up saana#
@valentineoyee4385
5 жыл бұрын
Wangapi wanakubaliana nami kama Hawa anakipaji gonga like yanguvu.
@gracekyando1115
4 жыл бұрын
Pole Nduguyangu Nichangqmoto Zaisha
@mzimachubwa2850
5 жыл бұрын
Mungu muqngalie Simba kwa jicho la uume na umbalikiy , yah coz yeye Hawa come back to the game am happy🌺💕💕
@oparanews5354
5 жыл бұрын
Daaah God bless you hawa,for the first time nilipoaana hawa anaumwa nilitokwa na machozi mno lakin hakika mungu yupo na anatusikia maombi yetu kwa 100% Leo hii hawa kapona niwakati wa kusema "Asante sana mungu wa mungu kwa kumponya mwenzetu" tunaomba sana mungu akubariki katika maisha yako na upate baraka zote kutoka kwa mungu
@ellypendokidile1129
5 жыл бұрын
hongera ccta hawa kama msikitin nenda my kama m kanisan nenda mamy mungu kakufanyia njia pasipo na njia god bless you mom
Пікірлер: 1,8 М.