Kazi nzuri sana aisee! Serikali ingejitaidi kukupeni elikopta za umwagikiaji, kufanya hivyo kutaongeza tija katika kilimo hicho lakini pia, uzalishaji/mavuno utaongezeka kwa kiasi kikubwa na muda utakua umepunguzwa pia!
@velejilyonatalis1787
3 жыл бұрын
Hongera sana kwa Viongozi wetu kwa Hatua hizi Kubwa za kimkakati.
@isayachalo1845
3 жыл бұрын
Hapa kazi tuu ikiwezekana Nchi nzima tule huo mpunga
Пікірлер: 4