Hekaheka ya leo March 14, 2018 imetokea Keko ambapo inamuhusu Mwenyekiti anayetuhumiwa kuua baada ya kumpiga mtoto wa mtaani kwake na nyundo na kumkata kata viungo na kusababisha umauti huku ikidaiwa kuwa kijana huyo ni mwizi.
- 6 жыл бұрын
HEKAHEKA: Mwenyekiti atuhumiwa kuua kwa kutumia nyundo DSM
- Рет қаралды 4,406
Пікірлер: 7