helo boss. thank you so much for helping us. God bless u RC-Dar es salaam
@TheKidevu
4 ай бұрын
Safiii
@aloycemabula8649
4 ай бұрын
Ni kimbiji au wapi ?
@rottweiler719
4 ай бұрын
@kgmconlinetv unaweza kutufahamisha hapa ni kigamboni ipi? Maana sehemu kubwa sana ya Kigamboni ina muonekano huohuo. . .
@kgmconlinetv
4 ай бұрын
kata ya Pembamnanzi mtaa wa muhimbili
@rottweiler719
4 ай бұрын
@@kgmconlinetv Assnte sana🙏
@rosemaryikamba5288
4 ай бұрын
Mbona hamtaji jina la eneo????
@rosemaryikamba5288
4 ай бұрын
Mnasema tu eneo eneo halina jina ?yaja jina watu wajuerni eneo lipi maaana ni week Tatu tu
@issotv1736
4 ай бұрын
Hii timu ya uchunguzi iende pale Mwapemba, Toangoma, Temeke Dar es salaaam. Kuna eneo limetelekezwa na kuna wananchi wanaishi pale, kuna watu 2 wamedai umiliki wa eneo hilo na baadae NSSF pia kupitia watu wajanja wajanja wa Ardhi nao wanataka kujipigia. Serikali itaifishe eneo lile na iliuze ipate mapato. La si ivyo vibaka wa Ardhi teyari wana mradi wao pale.
@octaaalyiii9539
4 ай бұрын
Viongoz na hao wote wanazingua hawaji sehemu hiyo inaitwaje
@msowamhokole7714
4 ай бұрын
Jamaa wa mwisho unaongea Kama mh mnyika wa chadema
@RenaldaZeramula
4 ай бұрын
Shida husemi ni wapi ili kuepusha watu wasitqpeliwe
Пікірлер: 15