Viva Viva Kamanda wa Chuga,kamanda wa wanaume woote wajasiri...Viva Jasiri wetu Lema
@cheguevara7408
6 жыл бұрын
Lema i preciate and love much your movement, keep it up. A ward must turn back on our hands as previously.
@jordankaaya606
6 жыл бұрын
Big up sana mzee baba ushindi ni lazima
@fadhilimgohamwelu1891
6 жыл бұрын
Kupimwa akili walitakiwa wale wote waliyomuunga mkono lowasa kumbuka maneno hayo yalisemwa na mchungaji peter msigwa mbunge wa iringa mjini
@johnmollel1648
6 жыл бұрын
Lema ndo kitu nakupendea unasema ukweli na kwa uwezo wa Mungu chadema tunashinda
@josephcharles9477
6 жыл бұрын
We nae kila siku kulalamika tu, Tatizo Lema huna shule ndomaana kulalama tu . Kwenye vita utaingia we we na mkeo
@zompasevenludovick51
6 жыл бұрын
asante kamanda Lema
@esthermichael5792
6 жыл бұрын
Gambo anajisumbua ubunge atachaguliwa na nani kwa Arusha labda aende Tanga
@erickjunior8556
6 жыл бұрын
Thanks Mr lema
@habibumaulid7657
6 жыл бұрын
tunakukubali kamanda
@bernardoartist8770
6 жыл бұрын
Kila LA kheri
@mariamfaki1166
6 жыл бұрын
Lema acha porojo waeleze wananchi nini utawatenea
@hamissrajabu6730
6 жыл бұрын
Mara nilitembea namswaki mfukoni Mara siogopi kufa sasa hapo hueleweki kama ulikua huogopi mbona alikua nabadilisha hotel yani loinachoongea hata hakieleweki Jinga kabisa hili yani anahamasisha vita nyinyi mnashangilia kweli kikinuka ndio mtajua huyo mnae mshangilia wasenge niynyi
@jenyyusuph4973
6 жыл бұрын
ccm no...5 wajanja tutaifuata kokote iendako kwakua imetufungua hakili yakujua porojo na vitendo nyinyi mmezoea kuwadanganya wananchi kwalong time hapa kaz ndio habari
@shirimawolfugan5402
6 жыл бұрын
sema lema gud
@nyamiyamawe2248
6 жыл бұрын
Sema lema semaaaaa
@jenyyusuph4973
6 жыл бұрын
loo watakaowachagueni ninyi ndio wapimwe akili kwakusema uongo zahiri mwingi na kuwatetea waovu wanafiki nyinyi zamani mlikua mnajifanya mnatamani mafisadi washushwe leo hii mafisadi wamepatikana nyinyi mnawatetea mara wakashitaki mara nigram kazi kugeuza geuza maneno
@lovenessgoodluck3486
6 жыл бұрын
Safi sana lema bg up lema uko vzr😁😁😁akpimwe akli ✌✌✌✌👍
@ephraimndelwa4073
6 жыл бұрын
Acha kupotosha watu kwa kuwaita waoga ww, likitokea bomu au mabom utabaki hapo ww!!?
Пікірлер: 120