Comment yangu kutoka msumbiji ninampenda uyu dada sana na ninatamani nimjue siku moje
@PREMIO829
8 күн бұрын
Dada ni mbeya uyo
@user-vl3uq3cv4c
8 күн бұрын
Wewe mbeya saaaaaaaaaana
@simbaomar3405
3 күн бұрын
jaman wewe dada hidaya nakupenda bure
@raymondkihaka1827
8 күн бұрын
Ila dada hidaya wewe nakuonaga kamrembo
@AbdulrazaqueNfaumeAli
6 күн бұрын
Yuko sawa uyo mdada
@DonMooFILMES_Express
4 күн бұрын
Ukitaka kujua ugumu wa kuongoza wasanii fungua kundi lako uone kama hizo filamu zitakupa pesa ya kuwalipa wasanii. Msimuone Clam anakimbiza mkachukulia simpo, kuna mengi nyuma ya pazia hawezi kuwaambia
@Erasto_brand
7 күн бұрын
Unafanana na Mr Black walahi😂😂
@MomadeMudimoz70-cs2ud
7 күн бұрын
🎀💗💗🌺🌺🌺🌺🌺🙏🙏🙏
@MaryamHamisi-r4o
7 күн бұрын
Etii uliitwa na kipara au ulifanya nae interview jmn we dada wa mbengo uko vizur😂😂
@user-ll4fl4oe3i
6 күн бұрын
Salim kutoka S.A,nakupenda sana Hidaya,yani una weusi mzuri sana na macho ya vikombe ❤
@DonMooFILMES_Express
4 күн бұрын
Kulingana na maelezo haya inaonekana Baba Asma anajituma sana kuwasimamia wasanii mpaka kwa pesa zake mfukoni zisizotoka kwenye sanaa za wasanii wake. Kuna watu wanadanganyana youtube ina pesa nyingi 😂 fungueni muone heka heka zake 😂 utashinda unawadanganya watu unaingiza hela kumbe.... 😂😂😂😂
Пікірлер: 21