Simba Queens imeshinda ubingwa wa michuano ya vilabu ukanda wa CECAFA na kukata tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake, baada ya kuichapa She Corporates ya Uganda bao 1-0.
Goli pekee la Simba Queens limefungwa kwa penati na Vivian Aquino dakika ya 49, fainali ikipigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Tazama highlights.....
#CECAFAWomenFinal #CAFWomenChampionsLeagueQualifiers #CAFWCLQ
Негізгі бет Highlights | She Corporate 0-1 Simba Queens | Final - CAF Women Champs League Qualifiers 27/08/2022
Пікірлер: 63