Kweli inapunguza gharama za petrol pia na gharama za nauli.maana nilipanda bajaj inayotumia gas kutoka airpot hadi kigamboni kwa gharama ndogo tu.pia linatembea bizuri kama bajaj linalotumia petrol hakuna otofauti wa mwendo. Hongereni sana kwa ubunifu huo.
@jestinanixdorf6628
Жыл бұрын
Big Up kijana..hongea.saaana Umebuni mbinu mpya na kuisaodia jamii.God Bless you .Mungu ibariki na kuilinda nvhi yetu Tanzania.
@elialivinus3767
Жыл бұрын
Hongera sana Saidow na kampuni yenu.. mmesaidia watumia bajaji kupunguza gharama kabisa.. NB: wale wanaosema ni utapeli jaribuni kuingia mtandaoni mtafute gharama za kununulia vifaa vya kufunga gesi kwenye gari au bajaj ndipo mtajua kwamba sio utapeli bali ni kutokuwa na elimu.
@elishaedmund1453
Жыл бұрын
Saidow deserve congratulations together with his company
@elishaedmund1453
Жыл бұрын
Keep it👆 up! I impressed with You're service, may God bless you more success
@abuuramadhan8093
Жыл бұрын
Gesi ihimizwe kwenye vyombo vya moto Mana gesi inapatikana Tanzania
@karimhamisi4627
Жыл бұрын
Hizi modification kwa kweli Ni hatari gari ya petrol inayofunga ges inatumia mfumo wa injection injection zinaongozwa na ECU jitahidi kufungwa gas kwasababu gas Ina pressure petrol inatumia pump sasa tuje kwenye bajaji kufungwa gas kwanza lazima kuwe na injection na engine control unit ambayo itadhibiti matumizi sahihi ya mafuta
@fredma21x
Жыл бұрын
Hivi Fuel Stations zetu si wanauza gas tayari?
@henrykibodya1207
Жыл бұрын
Tunataka Vijana kama hawa Serikali iwasaidie Kwa kweli Costech mmelala sana
@emmanuelchiza7733
Жыл бұрын
Safi sana, serikali ianze kutumia gaskatika usafiri wa uma kama mabasi ya mwendo kasi , ili kupunguza gharama za uendesha pia kuwavutia watu wengi wenye vyombo vya moto kufunga huu mfumo
@user-ninam.
7 ай бұрын
Tunaomba elimu hiyo yakiufundi jinsi yakufunga gesi ili ienee nchini kwetu niubunifu mzuri
@wilsonjeremiah6216
6 ай бұрын
Na ukitembea sana kwa mda mlefuu Huwa haizuliki
@samwelikadir6438
Жыл бұрын
Tupeni namba za broo huyo tufanye nae biashara
@khamisabdi723
11 ай бұрын
Mm nahitaji hii elimu wapi munapatikana
@godlistenemanuel4329
Жыл бұрын
Niko Arusha nawezaje kupata hii huduma
@gakatheboy4494
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/k6SoqH-tbneLnZg
@teacherrobotcomedy6462
Жыл бұрын
Hyo jamaa msenge hana akili kwahyo waendesha pkpk haufati shelia sio wote hat wamagari hap sio marecan
@gakatheboy4494
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/k6SoqH-tbneLnZg
@daluckyFinancialServices
Жыл бұрын
Wewe inaonekana ni boda boda kwann una makasiriko na unajua kabisa anachozungumza ni ukweli wewe uliwahi kuona wapi madereva pkpk wanafata sheria hata tu ya kupisha watembea kwa miguu kwenye kivuko au kwenye mataa acha ujinga ndo maana wanaongoza kusabisha ajali
@victornjwango9683
Жыл бұрын
Huo ndio ukweli boda boda wote mnazingua bhana
@hamadimwinyi2146
Жыл бұрын
Kwanza amesha tukana waleee walee
@yusuphswai6851
Жыл бұрын
umeona apo tu umetukana . sasa uko barabaran itakuweje
@mlionea
Жыл бұрын
Atakuja Kenya lini?
@user-mn9nz4mg4v
2 ай бұрын
Je kuhusu guvu ya chombo
@valenakomba9218
Жыл бұрын
HII NI HATARI SANAA. HASA KWA MADEREVA WETU HAWA WASIO NA UZOEFU. MSUBIRI TU MAAFA YA KUTOSHA. MAANA HIYO ITAKAPO KUJA KUPATA AJALI, LAZIMA ITALIPUKA. HIYO SIYO SALAMAA KABISAA.
@isacktz3629
Жыл бұрын
Namba zako please
@valenakomba9218
Жыл бұрын
KUNA MAENEO MENGI SANA DARESALAAM , YANASHUGULIKA NA BIASHARA ZA MOTO , KAMA CHIPS, NAKAZALIKA. NA WATU KWA KWELI SIYO WAANGLIFU KABISA . KWA UPANDE WANGU SISHAURI KABISAA UTUMUAJI WA GAS KWA MAGARI AU BAJAJI.
@AllenHuncho-ji8sq
10 ай бұрын
Kwan petrol haiwezi lipuka
@user-tm7jc9gk3t
Жыл бұрын
😮 Nihatar
@miltonmachage2462
Жыл бұрын
Tuwekee nambaa basiiii
@erickchitumbi1308
Жыл бұрын
Tz kama ulaya saivi.
@hajiabdalla5772
Жыл бұрын
Munataka kuuwana sasa na joto la bongo na gesi pumbavu kweli
@tazamamaajabuyaulimwengu2786
Жыл бұрын
Urusi jamani mtaacha nisisahau urus na ukrein
@masakaupdate1488
Жыл бұрын
🔭🧯🧯🧯🧯🧯🧯🧯🗜️🧪 NAKUONA MBALI NDUGU ANGU BWANA MASAKA🙌💸
@peterdeus6093
Жыл бұрын
Watu kama hawa ni muhimu kwaaendeleo ta taifa bahati mbaya serikali yetu haiwekezi ktk technology inawekeza kwenye siasa na uchawa tu
@halimasalum9701
Жыл бұрын
Tupe namber yasimu tuko zanzibar
@nixonjohnson4908
Жыл бұрын
Huu ni utapeli 1.2ml gharama hizo ni kubwa mno na ndio tatizo ls bongo....
@nixonjohnson4908
Жыл бұрын
2.5ml duuuuu utapeli wa hali ya juu mno
@faudhiasalum7279
Жыл бұрын
Ges 🙄
@siphaeldavid206
Жыл бұрын
Iko wap iyo
@mussachigwa4961
Жыл бұрын
Jaama atar
@hamadishaibu8490
Жыл бұрын
Ipo siku itaripukA arafu mtaerewa
@BONGOINMOTION
Жыл бұрын
Gas asili yake Ni kulipuka kwani mafuta huwa hayalipuki?
@victornjwango9683
Жыл бұрын
Kweli wewe una mawazo finyu kwani mafuta hayalipuki akili yako haiko sawa
@hamadishaibu8490
Жыл бұрын
@@victornjwango9683 shee acha ubishani mtungi ipo siku itaripukA kwenye bajaji kama uwamini subir
@sadockchengula5542
Жыл бұрын
Wengi bado tunawaza kianolojia bado. Dunia imebadirika. Hata umeme majumbani huwa unaripuka.
@ramadhanikibenga4284
Жыл бұрын
@@hamadishaibu8490 mbona kuna magari yanatumia gesi na hayaripuki ??
@mwajumakilobwa6237
Жыл бұрын
Mawasiliano tafazali
@hajiabdalla5772
Жыл бұрын
Munatengeza mabomu sasa
@Sharifarajabudebe
Жыл бұрын
😂😂😂
@stefanomwanzarubi6216
Жыл бұрын
niko sumbawanga naomba ujeunifungie naomba namba
@gakatheboy4494
Жыл бұрын
Vizur sana tizama nahiikzitem.info/news/bejne/k6SoqH-tbneLnZg
Пікірлер: 58