Yaa allah mpe maisha marefu sheikh huyu na mpe wepsi apate elimu zaidi aminii na wajalie wazazi wangu afya njema wote wawili
@bakaribori3263
Ай бұрын
Ewe mwenyez mungu waondolee adhabu za kabur wawazi wangu na uwangize pepon kwa rehema zako
@user-un7wr3ob2z
9 ай бұрын
Ewe mwenyezimungu mjalie mam yangu mwishomwema na umjalie afya njema. AMINA
@Zawadi-gp5vy
11 күн бұрын
Allah Wareham wazazi wangu kama walivyo nilea mimi kwa iman na mimi nizidishie imani kwa wazazi wangu na wazazi wa wenzangu na waislam wote kwa jumla
@user-xk6gm6xn4c
8 ай бұрын
Alhamdulillah msneno unayo ongea yakweli yamenigusa yakitokea kwa baba yetu tulikuwa wengi ira nani atajitolea kutowa pesa kumuguza mimi nikajitolea sitaji mchango mpaka kifo chake akuna alie shudia nimimi tu ata alielala nae ospital akumuona nilipofika mimi tu yeye akatoka nje mimi nikampakata bale pale akafa kwenye miguu yangu km alikuwa ananisubili namshukuru mungu
@IslamabuuIslamabuu
11 күн бұрын
Yaa RABBI wajaalie wazazi wangu maisha marefu inshaAllah ili niweze kuwafanyia kila wanachohitaji
@omarbanza-dr8wf
4 ай бұрын
Mawaidha mazuri sana shukran ustadh Allah akulinde na sharri balaa na husda,na akupe husnul khatima mwisho wa maisha yako na akupe daraja kubwa katika jannatul Firdausi Ameen Ameen
@eshasalim5496
10 ай бұрын
SUBHANA ALLAH! ALLAH Atustiri Ya Rabb. Baaraka Allahu Fiik Wa Jazakah Allahu Kheir. Allahumma Amiin 🤲
@user-be7id1fw5e
10 ай бұрын
Mashallah Jazakallahu kheyraan mawaitha mazuri Mola awarehemu wazazi wangu na jamii ya islam
@user-mq9rk9fm4d
10 ай бұрын
Ya rabbi wasamehe wazazi wangu na uwarehemu kama walivyonilea na nakuomba umsamehe baba yangu aliyetangulia mbele ya Haki na mjaalie mama yangu kauli thabiti atakaporudi kwako
@RahmaMaulid-de2of
10 ай бұрын
🤲
@eichermiss4196
8 ай бұрын
Amiin ya rabiil Alamiin🤲🤲🏻
@ramahassan5515
Ай бұрын
Ameen rabil Allah min
@user-jk9ob5nu1k
10 ай бұрын
Maa shaa Allah sheikh nakuitikia Ameen Allahhumma Ameen yaraab kwa dua zote ulizoombewa
@aminajuma
10 ай бұрын
Allah Akbar 😢 Shukran saana kwa Élim yaa sheikh. Allah akujaze Iman 🤲🏼🤲🏼🤲🏼 Amiiin Amiin
@BakarMbokoi
11 күн бұрын
Yarab. Wasamehe wazazi wangu wote na uwaepushe a dhabu ya Kaburi
@muhammedwakif6216
10 ай бұрын
Ewe Allah mjalie mama yng afya njema na umpe maisha mema hapa na kesho akhera na umraham baba angu na Islam jamii
@AlhajiIssa-jb9hr
10 ай бұрын
Amiina I
@aishadotto3640
10 ай бұрын
Amiin ya Rabb 🤲
@saadaali3104
10 ай бұрын
❤kweli kabisa ďawa nzuri Allah akulipe sheikh
@AminaAtibu
9 ай бұрын
Islam jamii
@halimasaid4977
9 ай бұрын
Aamin
@SaumMashasha
Ай бұрын
Mawaidha mazuri Allah awajalie wazazi wangu Rehema leo na kesho akhera
@butoyiamidu5686
10 ай бұрын
MashaAllah Tabarakallah mwenyezi Mungu Akuhifadhi Sheikh wetu 💓💖❤️💓💞💯
@user-ti9jw1to5t
6 ай бұрын
Ahsante Kwa somo zur naomba Allah awajaalie wazaz wangu waliopo mbele ya haki awajaalie pepo
@user-rz5no7us8e
9 ай бұрын
Ya Allah warehemu wazazi wangu uwaepushie adhabu za kaburi uyafanye makaburi Yao yawe raudha minraudhati jannahtul firdaus na waislamu wote Kwa jumla Amiin Ya Rabbal Alamiin
@mwanakomborashid7053
2 ай бұрын
Allahummah aamin kwa sooote In Shaa Allah 🤲
@abdikadirbonaya7035
2 ай бұрын
Ameen
@halimaguje2649
Ай бұрын
Amin amin
@MbarackYusuph
19 күн бұрын
Allahumma aamin
@AbdulNasser-qd8uz
18 күн бұрын
Amin😢
@zaidinakimolo4538
10 ай бұрын
Mungu akuzidishie elim shekh wangu hakika mawaidha yako ni Zaid ya lulu
@hassanboru
9 ай бұрын
Allahmdulilah mimi nimeodokewa na wazazi wote wawili Allahmdulilah kwa wale wazazi wao wako hai wafanyea wema wakiodoka utakua na uzito kubwa walai ya Rabbi nakuomba wajalie wazazi wetu jannatul fardoz na pia sisi tupe mwisho mwema hapa Duniani na kesho Akheira 🤲 ukweli hakuna mtu hanakupenda kama wazazi wako❤️❤️❤️ Allahmdulilah Allahmdulilah Allahmdulilah 👏
@alexmahundi1978
3 ай бұрын
Allah awajaalie kauli thabit lakin bado tunalazimika kuwafanyia wema hatakama wametangulia Allah atujaalie tuwakumbuke wazazi wetu
@fatumajane7124
2 ай бұрын
Amin
@aal8041
2 ай бұрын
Ya allaah .namuombea mama yangu umpumzishe pema peponi na msameee makosa yake na kumfungukiya pepo firdaus iwe makazi yake na nawaombea wazazi wote waliyotangukiya mbele ya khaki allah wapumsihe pema peponi 😢😢🤲🤲🤲
@HusseinMussa-on8mo
Ай бұрын
Ya allah tusamehe sisi na wazazi wetu na utujaze mapenzi❤
@AubinNijimbere
Ай бұрын
Ewe Allah uwape wazazi wangu maisha marefu na uwakinge na maradhi uwape mwosho mwema nitazidi kuwafuraisha wazazi wote 2 nawapenda sana
@asmahasanirashid5059
10 ай бұрын
Maashallh mafundisho mazuri sana mwenyezi mungu akuripe ustadhi wetu
@skajskakka8918
Ай бұрын
Subhanllah Allah awalaze wazazi 😢 wangu mahala pema peponi uwakabidhi vitab vyao kwa mkono wakulia
@rahmahty7026
10 ай бұрын
Allah akuhifadhi, akuongoze na akuridhie Muhammad. Atupe nasi watoto wema. Amiin kwa dua yako
@Abdulmuheimin-vv3fg
3 ай бұрын
Allah wajalie wazazi wangu wa wili pepe
@user-oy1pq4zb5r
10 ай бұрын
Allahuma wajaalie wazazi wangu afya njema na kheri nyingi hapa dunia na kesho kesho akhera Inshaallah
@shalemu
3 ай бұрын
Alihamndulilah rabila allamin sheikh Mohammed bahero ulipo kuja singida nilifurah sanaaaaa nilipo jaliwa kuusikiliza maneno yako yatakuwa ni yenye kuendelea kila siku huwa narudia kila wakat mawaiza
@abdallahhamesa9746
10 ай бұрын
Mashallah khutba nzuri yenye mafunzo mema
@user-qx4lr2co3i
3 ай бұрын
Mungu akujaaliye mema she wangu nawaisilam masomo haya tuyafanyie kazi inshaal
@omarylukhoso
Ай бұрын
Ewe Allah mjalia mama maisha marefu hapa dunian na kesho akhera.
@AllyAhmad-zg2yp
10 ай бұрын
Wema kwa wazazi wawili ni ibada kubwa zaidi
@KhadijaRajabu-hr6ts
10 ай бұрын
Kweli shekh. Tuombe radhi sana kwa wazazi wetu na tuwapende zaid.
shukran sheikh jazakallaahu kheyr Allah Akuzidishie umri mrefu yenye baraka
@FahmiAl-mauly
2 ай бұрын
MashaAllh allh akuzidishie ilmu na uwape watu wengine amin
@NassoroMakamla
2 ай бұрын
Jazaq llahu khayraa Allah akulipe sheikh Muhammad kwa ukumbusho mnzuri Allah akujaalie mwisho mwema kwa uu ukumbusho🎉
@ahmedseif1754
10 ай бұрын
Mashaa Allah, Maneno mazito na nasaha ya busara nyingi.Mwenyezi Mungu awatiye fikira hawa watoto wa leo na watukuze wazazi wao
@SheikhAbdull-ys2fd
2 күн бұрын
Allah amjlie baba yngu noor ktka kaburi lake na ampe maisha marf na amraham mumngu mzaz alieslia hai
@bahatiomar5297
2 ай бұрын
Mashaallah tarakaallah ya Allah wajaliwe na uwarehemu wazazi wetu Inshallah 🙏🙏
@bashirbaristo7294
10 ай бұрын
MashaAllah Ajaab walahi may Allah swt reward you abundantly Sheikh MBS
@saudamohamed7208
10 ай бұрын
MashaAllah barakaAllah fik.
@fathiahaji189
10 ай бұрын
Allah akulipe kheir na akufanyie wepesi katika maisha yako amiin umesema maneno makubwa sana
@zulekhamalambu6212
Ай бұрын
Yaa Allah wape utulivu wazaza wangu kwenye makaburi yao na ujaalie majirani zao wawe ni malaika wema na waja wema walotangulia. Alla akuhifadhi uzidi kutufungua na kututoa katika giza lilotuzunguka
@roseatienoogutu7641
Ай бұрын
Allah akuifadhi ustadh fill dunia walakhera akujaze kwa kila hal na sisi atuogozee wanawetu wawekaa wewe yarrabh❤❤❤
@rahmahsaidomar9111
9 ай бұрын
JazakaAllahu khyran wa barakaAllahu feek. Allah anijaalie wanangu wawe kama ulivo na zaidi kwa dini. Ameen.
@dokaramathan6369
3 ай бұрын
Asante sana kwa masomeso nzuri sana. .mullah wetu akulipe inn Sha Allah
@user-yc3xt5ob3v
9 ай бұрын
بارك الله فيك ياشيخ كبير جزاك الله خيرا
@user-ku1ok9cr7j
9 ай бұрын
Maasha Allah. Allah akulipe malipo stahiki kwa kuumbusha umma. Nacc atuzidishie Imani na uwezo wa kumtiiaaaaaa yy na wazazi wetu
Allah amjlie na kmurhm mum yngu Khadija ampe maixha marfu hpa dunian na imjlie janatul fatdoos atkpopndwa zaid n Allah..
@ZeinabuKassa-xp2mm
10 ай бұрын
Allahu Akbar walillahil hamd, shukran jazillan brother. May Almighty Allah make it easy for us.
@MahirJuma-es7lg
Ай бұрын
Ewe Allah 😢 wajaalie wazazi wetu waliopo hapa duniani na waliokwisha tangulia mbele ya haki 🤲🤲amiin.. nawapend san wazazi wang🥰,, Allah wape furah wazazi wang popote walipo inshaallah
@-tokyo3112
10 ай бұрын
بارك الله فيك شيخنا الفضيل وجزاك خير جزاء
@eichermiss4196
8 ай бұрын
Aaa😂😂 honorable shikh is shikh muhammad baroooo
@hawagodana6140
5 күн бұрын
Ewe Allah bless my mom and my dad and my aunt and help my aunt to recover in his sickness amin
@sinawsinaw6201
10 ай бұрын
Maashaallaah allaah atuzidishie mapenzi kwa wazazi in shaallaah na kware waliotangulia mbele ya khaki bas allaah awarehemu nas tuwazidishie duwa in shaallaah
@yussufmwinyi4604
22 күн бұрын
Yaa Raab, wenye wazazi hawajui thamani,mie nnalia kwa kuwakosa. Yaani pepo mie siipati kwa bonus ya bir ul walidein😭 pepo chini ya nyayo ya mama nmeikosa. Yaarabi wahifadhi makazi mema palipo na wema, unikutanishe nao katika pepo yako Ya Allah
@halimaali1042
10 ай бұрын
ASLAM Alekm: shukran Sheik kwamawaitha mzuri ALLAH akujalie kilalakheri
@hawaismail5060
10 ай бұрын
hakika ilah barky shekhe allah akuhifadhi na atujalie sote kwa vizazi vyetu viwe vinyoofu biidhinlah karim aminy aminy
@AbdurahmanMiddy
Ай бұрын
Ya Allah na mm nijaalie Imani kumbe ya kumtii mzazi wangu
@user-gc5wj5tm3p
10 ай бұрын
Mashallahu ALLAH Akuzidishie ILMU ZAID
@OmarMwenyemali
Ай бұрын
Mwenyezi Mungu anisamehe kwamakosayote nimeshawakosea wazaziwangu
@MizeSheba
Ай бұрын
Allah akupe umri,na baraka uzidi kutupa mawaidha.Allah atupe hurma Kwa wazazi wetu .
@fatmahassan4829
2 ай бұрын
Ya rabi mola wape pepo wazazi wangu uwaondoshee adhabu za kaburi uwaghufirie madhambi yao uwasamehe wazee wangu
@mwajumayusuph8094
2 ай бұрын
Ewe mola wang wa khaki mjaalie mama angu kila lenye kher na umuondoshe na kila la shari na utujalie mwisho mwema wa maisha yetu ya dunian inshallah
@user-es1ks9fp1v
10 ай бұрын
Mungu akuzidishiye elmu na Mimi anifahamishe amin
@NairatKhalfan
2 ай бұрын
Masha Allah. Shukran ustadh kwa mawaidha . Allah akulipe ujira usio n mwisho . N atujaalie tupate radhi kw wazazi wetu . Amiin
@khamismohd6231
Ай бұрын
Nitumie no yako
@AliihajiAlii
Ай бұрын
yah allah nijalie niwatii wazazi wngu,na wape wazazi wangu maisha mema ya Dunia na akhira
@FadhilaHaji
Ай бұрын
E mola wangu mlinde mama yangu pamoja na baba YAngu uwape rehema na amani ❤
@ashashaban6484
10 ай бұрын
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER INSHALLAH ALLAH ATUJAALIE TUWE NIWENYE KUWAPENDA WAZAZI WETU INSHALLAH NA MWISHO MWEMA INSHALLAH❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@fatumajane7124
2 ай бұрын
Asant mwalimu kwa mawaida yako mungu miepushe mama na adabu zakaburi kisha afuguliwe mulango wa peooni amiini
@fahadhilal1611
2 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah my brother Mungu akupe afya na elimu Zaidi
@user-qj2tg1qw7h
10 ай бұрын
Allah Akbar shukran saan kwa elim ya sheikh Allah akujaze iman
@halimaguje2649
Ай бұрын
Allah awajalie wazazi wangu Jannaht Firdos, amin amin
@ahmedhamisi-jc2hs
2 ай бұрын
Kwa kweli kabisa shekh wangu umesema kweli kabisa kwani ndio mambo yalivo kwani wengi wetu uwa twakosea Sana wazi wetu
@dimooficcio1328
10 ай бұрын
Masha Allah m mungu akuifadhi shekh let ❤
@swafiyasaggaf5168
2 ай бұрын
Allah awa sameh wazazicwetu walio tanguliya mbele ya haqi. Amin
@MaryamAlly-fd2zr
Ай бұрын
Ya allah wajaalie wazaz wang afy njem na umr weny kher na ss watt tuw ni sababu yakwend pepon
@FahmiAl-mauly
2 ай бұрын
Shekh Allah akulipe kila lakheri akupe umri na hekma zaidi
@user-fq1gg8rj9i
2 ай бұрын
Ya Rabb uwasamehe wazazi wetu,,,uwarehemu na uwaghufirie makosa yao
@Mohammedjuma-pg8qz
2 ай бұрын
Yaa Allah warehemu wazazi wangu wote wawili na uwajalie afya bora InshaAllah 🤲🏼
@MohammedKhamis-et3sv
10 ай бұрын
Mungu akuzidishiye hikma. MashaAllah
@user-nj5wy2it6k
10 ай бұрын
Mungu akupe umri mrefu n ilmu
@avpbigsam3433
2 ай бұрын
Ya allah mpe maman yangu maisha mema na mazuri. Aishi vizuri na umpe mwisho mwema ...
@mwanashamohamed4881
6 ай бұрын
Ya Allah,,mrehemu mmangu na umsamehe makosa yke yarab,,na umpe shufaa y haraka bbangu kwa ugonjwa alionao yarab
@SophiaKombo
2 ай бұрын
Allah utupe mwisho mwema kwa wazazi wetu
@SafiaAbdulrazack
Ай бұрын
Shukran sheikh Allah awape umri mrefu
@YohanahzabronkanunuMlyakado
2 ай бұрын
Asant sheikh namuomba mwezimungu anijaalie manen mazuri kwawazazi wang nawasio wazaz wang
@user-sb5ef1nv1f
6 ай бұрын
Allah wajalie wazazi wangu afya njema na nguvu ili niendelee kuwaangalia mungu atulinde inshallah.
@fatmaali9305
2 ай бұрын
Ewe Allah nipe maskizano na wazee wangu tuondolee misukosuko ya familia tupe amani nyumbani yaa Allah🤲 😢
@user-fq1gg8rj9i
2 ай бұрын
As-salam alaykum,, shukuran kwa ukumbusho,,,enyi mnaodharau wazazi mutubu kabla ya umaut
@user-to1tu3rd7t
5 ай бұрын
Allah atujaliee tuwe wenye kuwapenda wazazi wetu
@OffcialKp
10 ай бұрын
Jazakallah khayran sheikh
@AlhajiIssa-jb9hr
10 ай бұрын
الله يفتح قلبك ويزيد علمك ويستفيد غيرك. اللهم امين يا ربي.
@FahmiAl-mauly
2 ай бұрын
Shekh Allah akikupa umri mrefu basi kila baadae yamda mawaidha haya yarejee Allah akulipe kheri zaidi
@user-xm1ot1dz7n
9 ай бұрын
aslm alkm maashallah mungu akulinde na kila shari yote ulio ongea hyo ni ya kweli sheikh wangu
@skjjsj1889
6 ай бұрын
Allah akubariki na akuhifadhi Sheikh Shukran kwa ukumbusho
Пікірлер: 356