Nikitu cha ajabu usijali munugu anamaana yake labda amekukwepusha na kitu kingine mungu atkupa mwengine wa kkkufaa❤
@magrethdaniel8441
Ай бұрын
Siyo vizuri we dada ulichofanya mungu atakupa pigo kubwa sana utajuta maisha yako yote
@Fpcthighwaykihonda
Ай бұрын
Kabisa asee ni tabia mbaya sanaa.
@OdiliaNgowi-ox4pp
Ай бұрын
Nimeipenda hii ..my brother congulatulation good good......💪🙌🔥🕺🥂🍾🍺
@1stladyafrica402
Ай бұрын
Hongera sana kaka huyo hakuwa wako na kwa aliyokufanyia sijui kama atakuja kuolewa yaan kajipa laana ya kudumu labda kama kuwe na sababu nyingine ambayo hatuijui
@vibetz9991
Ай бұрын
Harusi ni kula ubwa ubwa na kulewa tu,, mambo ya mtu kususa sio muhimu😂😂
@MamaSwalehe-ib2vi
Ай бұрын
Bjnbb
@marynjau2068
Ай бұрын
Bwana harusi ubarikiwe Una moyo mkuu sana strong man wengine wangelazwa no juu.... Wewe maisha ya aendeleaje tena shukuru Mungu kwa yote who knows........
@jasirimjasirimedia7940
Ай бұрын
Aisee hii ya kibabe 💪💪💪Mungu akufanikishe bwana harusi hakika wewe ni shujaa akupe haja ya moyo wako
@hawaelymaricca7602
Ай бұрын
Yaani huyo mwanamke achana nae kabsa maana haiwezekani umeenda kila kitu alafu akutie hasara
@user-yv7xg4em4s
Ай бұрын
Kwanza hata asijali amempunguzia mzigo watu watu sasa hivi wanatafuta kuwa single eti😂😂
@ELIZABETH-uz6dv
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@neemammari
Ай бұрын
Dunia inakwenda kasi sana.mama anasema hajaona mapungufu sherehe imeenda sawa🤣
@LeonataFrance
Ай бұрын
Congratulations my brother 🥳 sherehe n ubwabwa na mziki bi arusi n extra 😂😂😂😂
@AhadiKoloi
Ай бұрын
Jamani bwana harusi handsome 😍😍 bi harusi ni upepo wa kusurisuri 😂 😂
@esterdoriye8377
Ай бұрын
Waalikwa sasa 😅😅😅😅😅wana dance hatar bila kujali mwenzao hajapata mke bado 😂😂😂😂😂😂😂
@VERONICA-o7n
Ай бұрын
😂wana komasavika
@esterdoriye8377
Ай бұрын
@@VERONICA-o7n kw raha zao
@ELIZABETH-uz6dv
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@saidhamza5318
Ай бұрын
Wanawake ni viumbe vya ajabu sana! Mtu na kuzaa ushazaa nini kipya sasa.
@karibunyumbani3824
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 yeye shida yake ni bwanaharusi kuchamgamka 😂😂😂😂😂😂 hii dunia
@janetdundul3858
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@FelixMiyamini
Ай бұрын
😂😂😂😂 familya ya wabishi😂😂😂 nimepend hii ukigoma tunafanya tu
@abdulaziz703
Ай бұрын
Bora iishie hapo. Maana kwanza kama walishindwa kukubaliana kwenye sherehe ya muunganiko wao, ni bora zaidi kuliko wangekuja kushindwana wakiwa tayari ndani ya ndoa hiyo. Kama familia ya mwanamke ndio imetilia mkazo mpaka ikashindikana, ni vyema pia na huyo kaka ashukuru Mungu maana inaonyesha mwanamke huyo hana usemi kwa familia yake linapokuja suala la maamuzi yake binafsi kitu ambacho ni hatari kwa ustawi wa wanandoa wengi.
@zahornassor5420
Ай бұрын
Hahaha safi sana brother 😂 hana nia uyo achana nae
@aliakrabi8321
Ай бұрын
shenzy type mumefanya sherehe kubwa na maua vinywaji na chakula ila laki 2 mumeshindwa kulipa.
@amanichaula1
Ай бұрын
Warudishe ela ya mahari wezi hao
@africandarling6925
Ай бұрын
Bwana Harusi Mungu Hamekunusilu na jambo
@user-yk8em1bh8g
Ай бұрын
Yaan lak 2 n pesa ya kumtia m2 hasara kiac hko😢😢😢😢Ulaaniwe ww mwanamke
@NeemaBoniface
Ай бұрын
Ki ukweli nimeipenda hii yaan ni jasiri sana hakuwaza watu wanasemaje wala Cha nn na anafurahi zake na familia yake Good 👍
@jumageorge9857
Ай бұрын
Punde atajutia Hilo nawe Broo usisubutu Tena kuwa nae mtu kwa ss si riziki yako Kuna Jambo Mungu anakuepusha nalo na Kama kuna Nia mbaya Ni fitina zao .maana alizamilia huyo si bahati mbaya ,na Mungu aliye juu atampa fundisho haiwezekani watu wauzulie kwa ajili yenu wote yy asiwepo na hao ndiyo wakna Hawa Hawa .big up one day Yes "God you can"
@mugishamajeba9628
Ай бұрын
Kaka wew ninoma ongera sanaaaaaa mungu akupe moyo waujasili na akulinde
@user-yx5xl7xy4g
Ай бұрын
Daah pole Sana kaka,Mungu atakupa mke mwema..jipe moyo.
@gracemwailima1780
Ай бұрын
Mmmh nimeumia sana we dada kama ndugu zako ndo walikushaur umeshajipatia mkosi na je vip kuhusu huyo mtoto uliye zaa
@faudhiasalum7279
Ай бұрын
😅😅😂😂Hongera sana 😅😅😅hatu taki sless 😅kwenye maisha
Chezea mtu wa kwanza kukutana na Shetani live ndo mwanamke hyooo
@rashidswed2147
Ай бұрын
Hiyo familia uliyoenda kioa aifai broo tafuta familia ambayo baba wa hyo familia ndio ana sauti
@elishadaibenard
28 күн бұрын
Namnukuu mweshimiwa rutokutoka Kenya HIINI MAAJABU 😢😂😂😂
@CantonaKunona
Ай бұрын
Suti ya laki mbili umevaa msenge ww 😂 alf ikushindee
@user-nv7jg6xc8l
24 күн бұрын
Mwanamke hatoolewa tena
@consorathajames2693
Ай бұрын
Umeishi na mtu asiekuwa na hofu ya Mungu ndiomaana yametokea hayo tafsili yake Mungu amekuepushia mambo makubwa zaidi ambayo yangekuumiza
@sultansallah8772
Ай бұрын
Jamani naomba kuuliza sio kwa ubaya. Kwani ndoa za kikiristo hazina WALII au walii ni mamq
@putilegamagama6049
Ай бұрын
Wapo wengi sana sa hivi 😂😂 walomaliza vyuo, walofeli form six na wale walokataa shule pia si tunaoa tu,😂😂 hutosikia eti tunajinyonga hutosikiaa.
@user-ou4mp8sp6t
29 күн бұрын
Kumbe had wana mtoto heee makubwa Pole kaka
@user-px4ld1mp9r
Ай бұрын
Bibi harusi zero washauri wabovu,,,
@lucymtui8680
Ай бұрын
Upo wapi nikuje😂😂😂eee😂
@neemaryan9947
Ай бұрын
Is too pain am feel to cry
@Emmamuze
Ай бұрын
Mtu ushazaa nae halafu unagoma kuolewa kisa kashindwa kumalizia mahali laki mbili huyu dada duniani bado mgeni aseeeee
@user-ii6gs2jg4g
Ай бұрын
Sawasawa kaka tena ikibidi muache kabisa usimtafute na mahari hio samehe kabisa
@LeticiaJames-g9q
Ай бұрын
Kweli nimeamini mwanamke mpumbavu huaribu ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe
@user-vz6kk8id2f
Ай бұрын
Jmni angemtafta hata x wake waingie nae ukumbini😮
@MwanaishaKomboHaji-hg8xp
Ай бұрын
Watu wengi hawaelewi mahari lazima ulipe mahari ndipo uoe sasa mahari hujamaliza izo pesa za kufanya Sherehe iyo zimetoka wapi ukweli ni upuuzi na nimemkubali bibi harusi
@rosemkeleja7768
Ай бұрын
Huyo mwanamke akaishi na ndugu zake,usimrudie,
@CECILIAMAGANGA-sk8md
Ай бұрын
Kaka Mungu atakupa mke mwema.
@givenessdavid3743
Ай бұрын
Kwa maelezo yao inamaana kwenye Send off Bwana Harusi aliharibu ndugu wa mke wameshtuka kumuingiza binti yao kwenye balaa
@CHIIZATV-hl4zu
Ай бұрын
We ni msenge watu wameishi wote hadi kuzaa saiv ndo washtuke😂😂😂
@LekumoMedy
Ай бұрын
Tumia akili sherehe Gani hiyo si mngeenda kula tu kwenu vijana mnafeli wapi ungelipa mahari ndipo ufanye sherehe
@mihayocosimas8899
Ай бұрын
Huyu mama ni mjinga sana watu tumetoa pesa hatujaona mwaliko alfu unasema umekula na kufulai
@ntegrity277
Ай бұрын
Familia ya hovyo wao wanajali mali? Wao wahajui utu! Mahari tu! Hio familia ni maskini
@ilynpayne7491
Ай бұрын
2:10 huyo dada ni shetani na Mungu amlaani asi olewe tena mbwa yeye😅😅
@sultansallah8772
Ай бұрын
Kuna kibopa kavuka dau kwa mama mkwe
@jhecfoundationtanzania2891
Ай бұрын
Wazazi wengine ni wajinga tuu, ningesema neno ila ngoja nikae kimya kabsa😢😢😢😢
@ilynpayne7491
Ай бұрын
2:01 huyu kaka Mungu ame muepusha na mate mtego abaki singo tu
@sultanjames9395
Ай бұрын
Ila wanawake, jamaa kakataliwa kisa kachangamka kwenye sendoff
@user-os3lh8rr3c
Ай бұрын
Siku zote mahari haitolewagi yote
@storytownTv
Ай бұрын
Iyo n maajabu😂
@stevenmwenda3005
Ай бұрын
Kwakweli kuna kauli tuliambiwa tuhamie burundi kwa rahaa hizi mimi sihami ngooo hapana hapana niendelee kula burudani
@GeorgeSikazwe-mm7nn
Ай бұрын
Bro mungu amekuepush ungeoa shetani hilo
@user-rf9vn7lz1n
Ай бұрын
Bint ajakupend kabis bwan amna cha laki mbil tyu daah
Msimlaumu huenda kuna sababu. Labda mwanaume ndo shida
@luciangalu639
Ай бұрын
Asa kuwa na furaha ni kosa dah
@user-xc7qj7ze7m
Ай бұрын
Wakatoliki wenzangu poleni
@user-co8bf2zv1p
Ай бұрын
Ndo uwanaume
@barikiwa22
Ай бұрын
😂😂😂 basi sawa
@christophermsekena616
Ай бұрын
Shida ni ndugu wa dada.... dada atakapoanza kujuta hakuna ndugu yake hata mmoja atakayejuta pamoja naye
@user-en6kf2db6f
Ай бұрын
Nimependa hiyo vaibu kama lote😅😅😅
@ELIZABETH-uz6dv
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@priscakatany-383
Ай бұрын
Jamani poleni hii imetokea mtaan kwetu kabisa
@zenadaudzena2849
Ай бұрын
Inamaana hadi kanisani hajatokea au ukumbini tu
@omanmct135
Ай бұрын
Nihatari kweli😂
@TOUNDISELASSIE-xj8oy
Ай бұрын
Ni ujinga. Watu wote mlioshiriki, mlikosa ufikiri wa kuahirisha? Kwanini msimshauri aahirishe jamani! Ataingia gharama tena kuandaa sherehe siku atakapo'oa. Binafsi nimewapuuza nyote mlioshiriki sherehe hii. Harusi ni sherehe ya muunganiko wa mtu Mme na mtu mke.
@selemanimakale2808
Ай бұрын
Angetafutiwa mke kati ya hao wadada waliokuja kwenye sherehe!!!
@user-wu8qe4fv4j
Ай бұрын
Niatarii
@imanibakili8028
Ай бұрын
Hapa duniani kuna mambo jamani dah
@trizereve3386
Ай бұрын
😂😂😂silalakusema
@givenessdavid3743
Ай бұрын
Hakuna mwanaume hapo😂😂😂😂
@spreadlove5300
Ай бұрын
Wote waru waru 😮😢
@MwitaPetro-e9z
Ай бұрын
Kaka umefanya vzr sana make wanawake weng wanajiona mungu watu hicho kidada kijinga sana
@elizageorge2414
Ай бұрын
Kalaaniwq huyo bint
@Graceyust
Ай бұрын
jamaa kaamua kuonesha kua kumbe kuoa wakati mwingine ni kifungo so jamaa kasherekea kuachwa huru asee
@EmmyNamoyo
Ай бұрын
Safi 😂😂😂😂
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye
Ай бұрын
baaaaaaaaaaassss😂😂😂😂
@zuwenasalim2794
Ай бұрын
Ungechukuwa mchepuko wako apo shwaaa mambo yakaendelea ,huyo mwanamke na familia yake wanalaana
@VERONICA-o7n
Ай бұрын
😂😂 eti shwaaaaaa
@JumaGwandu
Ай бұрын
😂😂😂😂😂ingekuwa ni mimi namcheki mchepuko na maliza mambo hapo chappppp
@zuwenasalim2794
Ай бұрын
@@JumaGwandu umeona eee kawaangusha mwamba
@JumaGwandu
Ай бұрын
@@zuwenasalim2794 kabisa asee dhuu hiyo familia cy asee
@ngusawales2039
Ай бұрын
Hata mie pia
@user-hi8le2vb7z
Ай бұрын
Ndomana ikaitwa mahali yani lazima...kama ishu ni laki 2 ni unamaliza unambeba mkeo,,,shuuli zaidi ya mil 5 na mziki juu...unataka kukopa laki 2😊;;;nyie mmepanik kukosa mke na hao ndugu zako wakaamua wakupe moyo..si usingefanya....afu unajiita wa kiume na una akili za kike😊..yani we bora.
@JoyceRobert-op6kv
Ай бұрын
Tena niboya kwelikweli😅😅
@greysonkisinda7390
Ай бұрын
Ni lazima kumaliza kwamba anamnunua? Kama hawakutaka mbna send off walifanya? We nae unasapoti ujinga utakua mwanamke kama huyo huyo maana wanaume hatuwazagi kifala hivo,unayajua makubaliano yao mpaka wakafikia hatua hiyo? Mnakazana kudai laki 2 mwisho wa siku mashida yenu mnamjazia huyo huyo awasaidie ,hao washukuru so mimi manina zao
@smartonlinetv5144
Ай бұрын
Nadhani Edward kashauriwa na ndugu zake kuwa achana na huyo Binti, pia walikuwa na tempa sana. Hapo ilitakiwa busara na hekima itumike Kwa upande wa Edward wangejishusha tu na kwenda kuzungumza nao pia hata kukopa angeweza kukopa Ili kukamilisha hiyo mahari na sherehe ingeendelea. Lakini hapo wote wamejiona keki hakuna wa kujishusha matokeo yake ndio hayo. Jamani hapa duniani hakuna kaburi la mtu aliejishusha na kuomba msamaha Ivo ni vema wakati mwingine mmoja wake anakuwa mjinga Kwa dakika anaomba radhi kupisha maisha mengine yaweze kuendelea.
@user-hi8le2vb7z
Ай бұрын
@@greysonkisinda7390 awa si wanawake zetu na tunawaweza.,,kwaiyo na yeye akukope anakupa asubui usiku wa 4??..kwann usiombe kupunguziwa mahali kabla?? Mwanamke anaekupenda mahali unasema wewe;;;ye anataja tu kama ushahidi tu....wewe unaetoa ndo unachek mfuko wako upoje.. ukikubali manake unaweza ww,,dada yuko sahihi. 99%
Пікірлер: 125