Mimi YANGA lakini mzee Said anatupa burudani kubwa sana 😂😂😂😂😂😂 MZEE AONGEZEWE MKATABA KWACHAGAMBA TUZIDI KUBURUDIKA
@bakarimmbukwini9623
Ай бұрын
Mzee said mwamba kweli kwelikweli sasa niambie anayefuata nani baada ya saido
@trice_yanga
Ай бұрын
wanayanga lazima tumfurahie siku timu yetu ikiyumba hutomtamani mzeee😂
@errydeo8865
Ай бұрын
Atatuchamba huyooo😂😂😂@@trice_yanga
@errydeo8865
Ай бұрын
Mzee Said ,TOENI SADAKA KWA WALEMAVU,WATOTO NA WAHITAJI, NDO DUA ITAFIKA! YANGA KUSHINDA FA,ZILIKUA DUA ZA WALE WATOTO! HERSI ALIWAHIDI KOMBE! MUNGU ALISIKIA DUA ZA WALE WATOTO SAID! DUA YOYOTE ITOKE ROHO SAFI! SIMBA HAMNA ROHO SAFI BADO!
@roi2554
Ай бұрын
Hata mi pia😂😂😂
@raphaeltanzania
Ай бұрын
mzee said leo uko na Furaha sana hongera kwa Maombi yako leo yametimia
@AlexMakanta-zn3zc
Ай бұрын
Hamisa mobeto na Azizi k wameingia kwenye formula ya Mzee Said 😂😂😂 Mbona wataisoma Number
@MathiasFungavyema
Ай бұрын
😅😅😅😅 Mzee said amekua anatukosha sana sisi mashabiki wa yanga😂😂😂😂😂😂
@OmanAlkamil-nl2zw
Ай бұрын
Hatimae vita ya Mzee saidi na saido imeisha
@mnyongeiddi2454
Ай бұрын
Man of the mach Mzee said 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@shabanihaji3896
Ай бұрын
Yan chagamba na mzee said uwa nawamic sna nikiwa saiz uku🏅🏅
@omarymuya142
Ай бұрын
Ugovi umeisha wa mzee saidi na sadiyo bado jobe na huyoakitoka sikuiyo atafanya sheele kubwa
Chagamba tutaomba namba za Mzee said Hadi lini kaka ,acheni roho mbaya aiseee...tunataka tumpe 🥤
@mwanangusana
Ай бұрын
Sio rahisi kihivyo kutoa namba za mtu kirahic rahic hivyo ndugu zanguni.... Sio wote wanaweza kuitumia kwa Nia njema
@JosephineItambu
Ай бұрын
Namba yq chagamba iko hapo upande wa kulia chini....kama unamhitaji Mzee Said inabidi upitie kwa Chagamba kwanza kwa sababu za kiusalama wa Mzee wa watu maana sio kila mtu ana nia njema
@fatumasophu5855
Ай бұрын
Haaah sa itakuwaje hata mi nataka no ya huyu mzee Yani I'm in ❤❤❤ with huyo mzee@@mwanangusana
@user-xq7xy9xq4n
Ай бұрын
Unataka kumtumia mzee saidi hela tumia namba ya chagamba ipo hapo chini upande wa kulia ukisha tuma unamwambia hela ya mzee saidi
@jumannemohamedy1456
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Nkwiooooo nkwiiioo nkwioooooo
@AchileusNshekanabo
Ай бұрын
hahahahaha mzeee said jaman utaniua
@KadajhKadigh
Ай бұрын
😂😂😂😂 sema mzee said 😂😂
@trice_yanga
Ай бұрын
Saidoo kaondoka sasa itabaki kwa aziiiiiiiiiiiiiiiiiiii kiiiiiiii na hamisamobetto😂😂😂
@OmanOman-hj7tv
Ай бұрын
Yanga mzee saidi kaongea kwa upole😂😂😂😂😂😂
@user-eh6wn9qf4b
Ай бұрын
Nimesubili sherehe ya mzee said 😂😂😂😂😂
@juma6253
Ай бұрын
Hahhahhah mzee side mtata sana eti atamkumbuka saidoo kwa kugombania penati🤣🤣🤣
@user-ks9tn4uw1m
Ай бұрын
Mzee anamkataa wajna wake😂😂😂😂😂
@H3s4d
Ай бұрын
Hujui,Huu ndiompira!🎉 Unatukanwa. Wanakusifia
@chemstry409
Ай бұрын
Mzee wangu Mzee Said sasa hivi atakuwa na amani....😂😂😂😂😂
@B.M-ix4rz
Ай бұрын
Weee subir ligi ianze tunapata tu furaha nyengine Kwa mzee said❤❤❤
@kakwaleseleman
Ай бұрын
mzee SAIDI ulakoze chane mzee wangu, hii maana yaake ASANTE, umetisha saana mzee wangu hii ya saido kila siku nilikuwa nakusubiri hatimaye imefika ULAKOZE(Asante)
@AlexMakanta-zn3zc
Ай бұрын
Leo Mimi wa pili jamani kuwa nikutamu kumbe
@westonyjob1747
Ай бұрын
Ila Mzee said dar mung anakuonq😅
@remidusmwanandenje-yy5gs
Ай бұрын
Eti amisa mbetoo 😂😂😂😂😂😂
@gaspermathayo5204
Ай бұрын
Mzee side😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@ngido255
Ай бұрын
Mzee saidi very charming 😂😂
@Jastans-di5xn
Ай бұрын
Hata kama angefanya vibaya kuliko wote, hakustahili kuitwa "NUKSI" Ww huenda ulikuwa na tatizo nae toka awali aidha chuki binafsi. Mungu akusamehe na akurehem, haya kaondoka next season nisione interview yako ukihuzunika kwa matokeo mabaya Simba kwakuwa umeshasafisha "NUKSI"
@josiacharles2778
Ай бұрын
Ivi tukitoa magoli ya saido, Simba tungekua nafasi ya ngapi?
@ChenchiKing
Ай бұрын
Mzee Saidii Uwaga Anajuwa Kutufurahisha Xana ❤🎉
@kibasamohamedi8029
Ай бұрын
Dah! Mzee Said nakupenda! Unajua kunifurahisha
@dicksondkaganga1290
Ай бұрын
Mzee Said… Ana kipaji. He is smart!
@user-ix4uw8ke5t
Ай бұрын
mzeee saidi sidooo kafanya kazi sana mpenin tu jeshima yake mtawaogopesja wachezaji wengine kujiunga
Mimi Yanga,Chagamba😂😂😂😂mzee Said anajua sana Kithungu! Najiproud😂😂 Chagamba nipe namba ya mzee Said,nimtumie ela ya JOGOO! HICHO KIKUKU CHENYE MAYAI HAKITUTOSHI WANNAYANGA TUKIJA 🤣🤣 BORA NGOZI ( SUPU) LETU.....
@lumistarboy8499
Ай бұрын
Hahaha 😂😂😂Yanga😅😅😅
@flaxbeatman
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nge imepigwa kule😂😂😂😂
@zainaburamadhani1444
Ай бұрын
chagamba mwambie baba yetu ampumzish sasa SAIDO atwambie next ambae hamtakiii😂😂😂😂😂
@user-zi8zz2vy6t
Ай бұрын
simba kua sawa mpak dulla atoke
@bernaberna4159
Ай бұрын
Ila huyu mzeeee😂😂😂khaaaa
@costadaraja2327
Ай бұрын
😂😂😂😂 mzee saidi eti anashika bukta utachana
@user-fw6pv8qw3j
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 Hadi kuku 😅😅😅
@JeniphaRobert
Ай бұрын
Asa imebaki vita ya mzee saidi na alajiga😂😂 kuku anasafilisha nuksi
@BarakaNjamag
Ай бұрын
Nasubiri hii interview
@saidkibabe7131
Ай бұрын
Aaa yanga😅😅😅😅wajinaaa😂😂
@ngwilunyiga2447
Ай бұрын
Mzee said uko na mambo leo sana
@N0RBETHMPOLOSI
Ай бұрын
MZEE SAID NGUVU MOJA ONE TEAM ONE DREAM FOREVER
@user-jo5ts1se2i
Ай бұрын
Mzee side❤❤❤❤❤❤
@ndayiragijevenant
Ай бұрын
Kpenzi changu said naomba uongez mkataba kwa chagamba jaman
Пікірлер: 213