all have talent so gud kaa la motoo you are doing great job may god blesa u all da way from Germany
@delsbeatstz4732
7 жыл бұрын
Safi sana, sema statement uswahilini wanaishi waislamu, kidogo sio sahihi, uswahilini wanaishi watu wote na wa dini zote, kuna tafsiri kwamba uswahilini wanaishi watu wenye maisha duni so wengine wanaeza sema umechukulia kwamba waislamu wana maisha duni kitu ambacho sio sahihi !! USWAHILINI NI KWA WATU WOTE
@sharpaliofficial7455
6 жыл бұрын
Dels Beats 2
@saidamour2635
3 жыл бұрын
Nikumbuke nlipotoka kwa kuisabu zile hatua, kwa kua mshika dau akikua hushika mashua, natokea mashariki so napaswa kua jua, wakinitupa wataniokota mchungu kama ganda la mua, one love from Zanzibar tunakucklza sana tukiwa pande za Zanzibar University.
@husseininteligence6234
5 жыл бұрын
Yeyooooo misufini wanangu nakubali
@sharpaliofficial7455
6 жыл бұрын
That a good job bro ni powa sna kuigiya mtaani na kucheki vijana wasipote
@saniaqutereem3801
5 жыл бұрын
Nawajua wote 😂😂😂😂mambo fire
@husseininteligence6234
5 жыл бұрын
Mwaramiaaaaa kali mwanaa
@abrahamzuma6554
7 жыл бұрын
Uswazi talent ipo wanangu......
@hassanjumachipua2836
5 жыл бұрын
Msio soma dini mwafanya upumbavu huo
@ummarrashid3687
5 жыл бұрын
Safi sana
@jaye_geehad_Rap
Жыл бұрын
Oye Kaa mbona haukuji bombolulu
@abubakaromarkhan1398
5 жыл бұрын
Where are this people ?...............Just one is on the race
Пікірлер: 17