Mama yangu alupokua Zanzibar alipozaliwa 1932 alikuwa mgonjwa mara kwa mara ,babu yangu alikwenda kuchukua dawa kwa huyu shekh ambae aliitisha nguo yake kaisomea basi mama yangu hakuwa mgonjwa tena isipokua maradhi ya mwisho alipoaaga dunia umri wa miaka 75 .Allah awarehemu wote ,Nilihadisiwa na mama yangu mwenyewe
@duntxmezz
5 жыл бұрын
In english translation please? En anglais s’il vouz plait
@reymamita3398
8 жыл бұрын
Assalam Aleikhum. hellow. can i get ypur contacts, email etc... samahani, naweza pata email yako?
@Albanabdullah1232
Жыл бұрын
Sasa sisi tupohapa unguja twataka tuje tuzur tufanyeje
Пікірлер: 5