Poleni sana kwa kuondoka na mpendwa mzazi. Mungu wetu awafariji katika kipindi hiki kigumu. R. I. P. Amen
@ashooraashoora1180
3 жыл бұрын
Innalilah wainnaillah rajiuun polen sanaa familia Allah awape subra njemaa
@everlynespaete3074
3 жыл бұрын
Poleni sana.
@ruthmdamo7661
3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulaze pema peponi shemeji yangu na . atufanyie wepesi. Ameen
@benedictmrisho2361
3 жыл бұрын
Mfano mzuri wa kuitumikia nchi yake. RIP mzee. Wanao wafuate nyayo zako za utumishi.
@jessicabrown5885
3 жыл бұрын
Yani 2020 iishe tu Tena ikifika date 28 kaa nyumbani usitoke nnje
@mariamwakajinga3680
3 жыл бұрын
Rest in paradise Mr mwegelo
@rahabnkya8276
3 жыл бұрын
Pole saaana. RIP . SAFARI YA KILA KIUMBE CHAKE MOLA. BADO KWELI ALIKUWA ANAHITAJIKA KABISA KAMA SAFU YA CV YAKE. OOH
@hivemutongore7638
3 жыл бұрын
Poleni familia
@catherinejohn5157
3 жыл бұрын
Kwani msiba ni kulia mumuache jkt jaman.
@badenbensoni7516
3 жыл бұрын
Tumtegemee mungu Mali sio kitu
@fredreckmwakalinga3475
3 жыл бұрын
Amen
@elizabethmwandu6937
3 жыл бұрын
R.I.P
@mrs2918
3 жыл бұрын
bongo ndio eneo pekee mtu anakunywa panadol kwa kuumwa kichwa mwingine
@sebastiankulaya2432
3 жыл бұрын
Utaulizwa wewe kutokana na unacho amini in jesus we believe
@elizabetherick9231
3 жыл бұрын
Jocket mbon unacheka tuu
@oceanocean9585
3 жыл бұрын
Mmm ila joket unaroh ngum da ulivyo vaa kaa unaenda kwenye harus Yani mfiwa umevaa viat virefu ivyo unasalimiwa we unacheka daaaaa
@mishimzihir7301
3 жыл бұрын
Bora umenitolea dukuduku langu Yan hajakaa kmajoz jaman
@polinahkilunju6529
3 жыл бұрын
Mlitaka alie kila siku? Hebu muacheni
@aishaarusha894
3 жыл бұрын
Hivyo unavyo visoma havimsaidii kitu huko aendapo msimchoshe kamzikeni anasubiriwa na mukari wa nakili
@onlinetv2269
3 жыл бұрын
Nazani sio ustaarabu wetu Allah yeye ndio mjuzi zaidi punguza ukali wa maneno
@jeyshillyjack4470
3 жыл бұрын
Mmmmmmm,hii niazishi ya mkirto lazima wafate yaratibu
@aishaarusha894
3 жыл бұрын
tv kwani mimi hapo ninetukana mpaka nipunguze ikali wamaneno hata wewe ukija kufa wenyeji wako ni mukari wana kiri wata kuuliza maswali kama ulifanya kheri watakupokea vizuri kama ulifanyashari watakupokea tatizo lako wewe unataka kuufanya ukweli kuwa uongo hayatuambie wewe anaenda kupokelewa na malaika gani mimi sijasema neno baya wala sijasema vibaya nime ongea maneno ya haki wala hayana ukali wowote
@ey3022
3 жыл бұрын
@@aishaarusha894 YESU #KAMSEMA👇 YOhana 3:36 #Amwaminiye #Mwana yuna uzima wa milele; #asiyemwamini Mwana #hataona uzima, bali #ghadhabu ya Mungu inamkalia. YOhana 5:24 Amin, amin, #nawaambia, #Yeye alisikiaye neno langu na #kumwamini yeye aliyenipeleka #yuna uzima wa milele; wala haingii hukumuni, bali amepita #kutoka mautini kuingia uzimani.
@aishaarusha894
3 жыл бұрын
@@ey3022 usha sema yesu kasema yesu ni bina Adams kama wewe mimi na kwambia mwenyezimungu anasema kwenye kitabu chake kisio kuwa na shaka ndani yake aita mfaa mtu mali yake wala alicho kichwa bali amali yake mema ndio itamfaa kama katenda kheri wafirdausi ita minus kama hakutenda 💔
Пікірлер: 67