Shaikh Othuman maalim yupo vizuri katika kufafanua Qur'an na Hadith za mtume s.a.w mungu akupe maisha marefu shaikh wetu tuzidi kufaidika na iilmu yako shaikh
@PrincessZAmlima-qh1uq
21 күн бұрын
Elimu kubwa ....Allah awafanye wengine waipate kupitia hii clip ya Shk Othman
@andrewmoi2186
Ай бұрын
Kama wewe unawaogopa Majin ebu jaribu kumuifathi mwenyezi mungu ndani ya moyo wako alafu utaona uwezi kuogopa majini na wachawi
@awadhrajabu1403
2 күн бұрын
Mimi Kiukweli Uyu Shee Napenda Sana Mawaidha Yake Mana Anajua Kufafanua Kwa Umakini Sana Kwa Mujibu Wa Vitabu Vya Imani
@sidesaid4604
Ай бұрын
MIE NAKUELEWA SANA SHEIKH WANGU...ALLAH AKUBARIQ SANA
@user-fy4op1sw2f
Ай бұрын
Ma shaa allah Tabarakallah napenda sana unavyo ichambua Qur'an Sheikh Othman Maalim Shukran sana sheikh wangu ❤❤❤❤
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤
@MwanlyGogo
9 күн бұрын
Waisilamu hatuwaogope majini ila tumuogope mwenyez mungu ametakasika subuhanaka
@NgarigariOmari
2 ай бұрын
Jazaakallahu khair
@dokadoka9426
9 күн бұрын
❤
@NanaHsn525
Ай бұрын
Allah akupe afia ma umri sheik Othman
@husseinibrahim5438
Ай бұрын
AMEEN YAA RABAL ALAMEEN ❤❤❤❤
@MindaWilson-d7i
27 күн бұрын
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo
@UstadhiRai
27 күн бұрын
Taybu taybu ❤🎉mufti Athuman
@husseinchaka1821
Ай бұрын
Somo zuri Sana ,Dr sullez ako Sawa Kwa mafundisho yake .
@lovemamsafricana2611
Ай бұрын
Sema tu ilmu yake ya ufafanuzi haimfikii Sheikh Othman
@Kautharkabanga
Ай бұрын
Shukran yaaah shekhe Othman maalim
@farris_2549
25 күн бұрын
Sheikh wet u Allah akuhifadhi.
@user-hu4sd7bg8n
Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@azzaaltouqi2323
2 ай бұрын
بركه الله فيك شيخنا الله يحضيك ماشاء الله تبارك الله
@IbrahimMambo-l9r
19 күн бұрын
❤Mashaallah
@husseinchaka1821
Ай бұрын
Masheikh ambao hawana elimu ya majini wakubali na kujitokeza mbele ya Dr sullez kabila umauti umechukue ,wanyoshe Jambo hili,sio kupiga makelele mtandaoni.kenya kulikuwa na sheikh aboud rogo ,alikuwa akipenda kuzungumzia jihad na kuhumiza waisilamu wasiwe wanyonge mbele ya makafiri ,wako masheikh ambao walimpinga ingawa walikosa hoja za msingi ,wakazua uzushi kitu kilicho sababisha umauti WA sheikh aboud rogo.tusiwe wanafiki Kwa minajili ya dunia .mwenye anapinga Dr sullez aende kumuona ili kuzidi kupambanua hili swala la majini.
@businesscenterenglishcours9136
26 күн бұрын
mashaAllah
@a.856
Ай бұрын
Jazakallah khayran
@IssaSalim-kv4gr
Ай бұрын
Jazakallah khaira
@alyehemed4477
Ай бұрын
Mashaallah Mashaallah sauti nzuri sana unapoisoma quran
@lovemamsafricana2611
Ай бұрын
Wallahi narudiarudia vipande anaposoma ❤
@WonderfulSeagull-lg1tz
2 ай бұрын
Waalykum Salam warahmatulah wabaraktuh
@user-dn7gn6ib4k
2 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-du2fy5sd5u
2 ай бұрын
مشأ الله
@OmarOmar-q2q
22 күн бұрын
Duh
@azizayassin3623
2 ай бұрын
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
@nabiimgongolwa8728
Ай бұрын
MIMI NASHANGAA, BADALA YA KUSHUGHULIKIA MAADILI YA TUNAHUBIRI KUHUSU MAJINI SISI MAJINI HAYATUHUSU. VIJANA WANAHARIBIKA VIONGOZI MMEKALIA KUHUBIRI MAJINI!!!!
@lovemamsafricana2611
Ай бұрын
Pole kwa kukosa kuelewa elimu ni nini.
@alijuma7674
Ай бұрын
Hakika majini ni viumbe km sisi tofauti yake ni kuwa wao wameumbwa kwa moto na wao sisi hatuwaoni
@user-wm9hr7fx9l
Ай бұрын
Bora umesema jini na sshetani kitu kimoja nimeukelewa
@zaidiissa3714
22 күн бұрын
Lakini lazima pia uwelewe wanapo kosea ndio wanaitwa mashetani yaani shetani nisifa ya tendo
@issackmakanga5603
16 күн бұрын
Majini walifukuzwa mbinguni kwa ajili ya kuasi,nyinyi waislam mumejiunga nao katika ibaada, Je! mna uhakika sala yenu inaenda mbinguni?
@user-oy8sb7jg3s
25 күн бұрын
Kuna watu hawana akili kwakwel hiv hujui afya ndo kila kitu lakin?hao vijana ndo wanaharibika na mashetan walioasi
@MindaWilson-d7i
27 күн бұрын
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤
@HeriethMatemba
Ай бұрын
Mungu akujaaliye barak na akujaalie mwisho mwema
@MindaWilson-d7i
27 күн бұрын
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo
@MindaWilson-d7i
27 күн бұрын
Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤
Пікірлер: 49