#ontrending #UhamiajitzNews Historia yaandikwa kwa mara ya kwanza Jeshi la Uhamiaji lafanya onesho la kwata ya kimya kimya (Silent Drill) mbele ya Mgeni Rasmi Mhe. Kassim Majaliwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa hafla ya kuhitimisha mafunzo ya awali ya Askari wapya wa Jeshi la Uhamiaji yaliyofanyika katika chuo Mafunzo ya Uhamiaji Raphael Kubaga kilichopo Wilayani Mkinga Mkoani Tanga.
Негізгі бет #HISTORIA
Пікірлер: 13