Achani kudanganya watu Kwan mtume alinyoa ndevu adi munasema ndevu zake zimeifadhiwa muogopen Allah
@fatimahirakoze7311
Ай бұрын
Nitatuliza sana tu kwaiyo kusema ivyo vitu vya mtume kufika uko uturuki makah n'a Madina walikosa sehem yakubihifadhi?iyo bangi zenu n'a njaa zenu mueshi kwa kujiandalia majini mtakauo kwenda jibu mbele ya Allah
@FelixMurishi
Ай бұрын
Swadqta, Tupeni na Picha za Mtume Muhamad S W
@salimk.3562
3 ай бұрын
Tafuteni machimo halali, hizi njaa zitawapeleka pabaya. Mnamihusisha mtume wa ALLAH na upuuzi huo. Laahaulaa walaa quwwata illa billah.
@RahmaIddi-s2s
4 ай бұрын
Inna lillah wainna illaih Rajiuun ,,hii ni duniya ya mwisho hujui umuamini Nani wallahi,,, Yarrab tuoneshe njia haki waja wako ili tusipotezwe
@ashasalmin1625
3 ай бұрын
hujui umuamini nani? soma utaelewanani wa kumuamini ondoa shaka
@yusuphmoshi
4 ай бұрын
Naam kweli wazushi hawa.
@awadhally1052
4 ай бұрын
Uongoo mkubwa huuu haya masufi ni maongo sanaaaa.
@MwanakhamisSalehe
4 ай бұрын
Mashallah
@amadeomarsaide5023
3 ай бұрын
Mimi hua nauliza hivi Hizo nywele mlizipata je mpaka mukazihifadhi uturuki? Watu wabidaa hupenda kudanganyana sana. Mcheni Allah na kueni miongoni mwa wasemao ukweli.
@rashidkihunga2938
3 ай бұрын
kwani ww ukianza kuweka nywele zako sehem sio kuziacha saloon hawatozikuta tumia hata akili tu
@SaidMkambo
Ай бұрын
Kazaluwa maka kafia madina
@binurusm8886
4 ай бұрын
Viatu inawezekana vikawepo mahala Pa makumbusho, Lakini nywele Mhh KwaKweli Sio rahisi.
@AminaMakera
4 ай бұрын
Acheni ulaghabu msipende kuzusha vitu mkavifananisha na hizo ndoto mnazoota nani alimnyoa na akazitunza msichume madhambi mtaulizwa mshindwe kujibu
@mwajumaAbdallah-t2s
14 күн бұрын
Hamumuogoo hat MUNGU uzush huo
@Abuusaid-bm2go
4 ай бұрын
Mcheni Allah msiwe wanafi mkapitiliz kia's hicho ndev adhali Gani inayothibitisha kuwa alinyowa
Ichi kiti njo alikuwa anasomea eko maulid mtume???
@JohnMuhogo
3 ай бұрын
We mwongo
@salehsleyum
3 ай бұрын
Kwaiyo unataka kusema kipindi cha mtume kulikuw na maulidi na watu walitengez kiti maalumu????
@KhadijaRamadhan-fo4gt
3 ай бұрын
Weee vp?😔😔
@allymohamed9137
2 ай бұрын
Viatu na vyombo vyake vinaweza kuwepo ila nywele na ndevu za Mtume(s.a.w) huo ni uongo mkubwa sana Mtume kafa madina na kazikwa na nywele zake na ndevu zake
@Gamba177
3 ай бұрын
Kwani Saudia hawajui kutunza hivyo vitu ? Acheni kudanganya watu jamani uwongo usiyofanana na ukweli mnaongea pumba siyo kweli kabisa.
@markabibrahim2397
4 ай бұрын
It's true god is great
@salehedikupatile
3 ай бұрын
Naomba kuuliza khahaba ninini?
@richardhosea8827
3 ай бұрын
Kumbe vinahusishwa tu si vya mtume?
@SaidMkambo
Ай бұрын
Alipokua ana nyoa anahifazi ndevu lakini mbona kidogo hizo
@BilaliIloko
3 ай бұрын
Ukisoma sira unajua kabusa ni uongo,eti nywele za mtume😂😂😂
@MartinOnesmo-rk7hy
3 ай бұрын
Mh hicho kiatu kinasema mengi
@ramzanqarim4977
3 ай бұрын
Hili ni jumba la historia ..kuna vitu wa mtume s.a.w..kuna vya othman..na kunanvitu vya historia vya turkey
@Mabahdl
4 ай бұрын
Hizo ni ghurqfaati za masufi
@RashidMtoi-o4k
3 ай бұрын
Ni Kwa Nini Yakahifadhiwe Utuluki Nayasiwe Sehemu Husika Hapo Huoni Kama Unatudanganya
@fatinaselemani9859
3 ай бұрын
T
@salimk.3562
3 ай бұрын
Uongo
@AlawAdam
3 ай бұрын
Tumu amini nan
@babatidaawa6550
4 ай бұрын
Liongo sana
@ShafiAthmani-bu6hq
4 ай бұрын
Mh acha uzushi ww
@shabanimussa4269
3 ай бұрын
hivi mbona watu hatumuopi mwenyezi mungu viatu Gani acheni uwongo Tena acheni kabisa hiv hamna KAZI zakufanya nyinyi?
@SaidMkambo
Ай бұрын
Vili fikaje huko uturuki
@KhamisAli-r1w
Ай бұрын
?????????.
@Saidfadhil-o3o
23 күн бұрын
Wacheni uzushi huo
@hezronjoseph405
3 ай бұрын
Kiatu namba 60
@andrewkissava9184
2 ай бұрын
Ni uongo wa mchana hata usiku wa manane mhamadi yeye alikaa kwenye pang la kijiwe pale madina na makha hivyo vitu vilikuwa wapo na alivitunzia wapi hebu acheni swaga na promo zenu ndugu zangu acheni kupotosha umma wa watu
@SadikiKiriti
3 ай бұрын
Huo ni uongo maana. Hizo nywere mmezitowa wap
@SWABRASWALEH-nc2lf
4 ай бұрын
Vitu vilikua turkey sio masri
@Shariffshariff-q7j
4 ай бұрын
Hakuna alico kiaca mtume zaidi ya quran ,,aca uwongo mzushi wewe
@A.a.m-b4y
4 ай бұрын
Kweli mawahabi ni wapumbavu na niwajinga hawataki kusoma firauni yuko misri mbona wapuuzi nyinyi hamupingi
Hakuna alico kiaca mtume zaidi ya quran ,,aca uwongo mzushi wewe
@hilalkhalfan1452
4 ай бұрын
Wehu huo ushakupanda
@ZenaMsumagilo
4 ай бұрын
@@hilalkhalfan1452wewe ni zaidi ya mwehu
@BradothAdm
4 ай бұрын
Kwa nni yaletwa msri acheni kupotosha waislm
@RahmaUdi-jx1rz
2 ай бұрын
Hii ndio tabia mbaya ya waislamu kukashifiana kwenye mitandao makafiri wao wakitukashif mnakuja juu wanafiki ni wale wote walio toa kasoro mitandaoni kwa nini usimtafute kivyako ukataka akure ukweli na wewe umpe ukweli unaoujua wewe? Walsham mwapigana vita kwenye mitandao aibu
@RahmaUdi-jx1rz
2 ай бұрын
Hii ndio tabia mbaya ya waislamu kukashifiana kwenye mitandao makafiri wao wakitukashif mnakuja juu wanafiki ni wale wote walio toa kasoro mitandaoni kwa nini usimtafute kivyako ukataka akure ukweli na wewe umpe ukweli unaoujua wewe? Walsham mwapigana vita kwenye mitandao aibu
@AllyAhamad-y3s
Ай бұрын
Hawa wayahudi jamani duh wanazaririsha dini yetu
@nunumrisho6548
Ай бұрын
Sasa wewe unaebisha Una masnisha nini?
@abdulbonomali6548
3 ай бұрын
He he he he he 😢😢😢😢😢 hivyo vilitumiwa na mababuzenu mtuachie mtume wetu apumzike
@IbnKhamis745
Ай бұрын
Uongo majambazi nyieee
@Gamba177
3 ай бұрын
Acha uwongo wewe huoni haya kwa uwongo wako
@SaumuSaidi-z2v
4 ай бұрын
Acheni uongo
@harshkirit6780
Ай бұрын
SubhanAllah.
@NduwimanaMariam-hl9tn
3 ай бұрын
Tunavyo faham kua mtum wetu Muhammad s.a.w.alizikwa madina je hizo nywele zikafikaje kuhifadhika huko utirik ? Subhannallah
@KhamisiMulusi
19 күн бұрын
Alizikwa wapi?
@AbdallahSalum-vi3tw
3 ай бұрын
Kuhusu mtume (S.a.w)Huo ni uwongo unakithiri.Nani aliyeokota nywele za mtume ? Isitoshe na vitu alivyotumia ! Wewe watoka planet gani ? ACHA UWONGO .WE DON'T NEED SUCH A FUCKEN STORY !
@Anthonyzombie-d2s
4 ай бұрын
Uchawi tupu
@RahmaUdi-jx1rz
2 ай бұрын
Hamkupaswa kujibu hayo mlio yajibu km ni waislam kweli nyinyi mtafuteni msitusi mitandaoni
@maulidbaggo6144
9 ай бұрын
Maa shaa Allaah!
@TatuRashid-d6t
2 ай бұрын
Iweje vitu hivo viwekwe huko na si maka?
@BradothAdm
4 ай бұрын
Sio kweli ni uongo hakuna athari ya mtume iliyo baki zaid ya qur ani na sunna hao ni wazushi ktk dini
@SWABRASWALEH-nc2lf
4 ай бұрын
La si uzushi kama hujui fanya utafiti
@IssaMangala-j5e
4 ай бұрын
Nyie mbona munaangaisha saana, kila kitu ni uzushi ivi ku madrassa yenu hakuna kitu chochote mnachokisoma ya kufundishwa bidaa , ile yote ni ufinyo wa elimu
@hilalkhalfan1452
4 ай бұрын
Ukafiri wa kiwahabia umewehuka sasa
@ramzanqarim4977
3 ай бұрын
Tembea ujioneee usiseme ni uzushi
@ustrashidsalimtz9316
3 ай бұрын
Vilichoma moto?
@SwalehMkuki
3 ай бұрын
Huu ni uzushi zahiri kabisa wala hakuna chenga.
@kateadam8204
3 ай бұрын
Allah tufungue macho waja wako
@mussasaidhamad1891
3 ай бұрын
Basi alikuwa na mguu mkubwa sana
@latifasuleiman7527
3 ай бұрын
Allah ndie anaejuwa kama ni kweli au sio kweli
@RamadhaniallyMavumbi-gb9hf
3 ай бұрын
Wew ni juha kabisa
@HAMISISHABANIDAUD
3 ай бұрын
Acheni kutudanganya
@KassimKhalaid
4 ай бұрын
Nimefurai kuina wallai
@salehengoma5550
4 ай бұрын
Uongo
@shabanihugo8332
4 ай бұрын
Acheni uongo
@Rukaiya-lt3hm
4 ай бұрын
Lakini kweriiiiii
@mealiipafu-wg7dx
4 ай бұрын
MashaAllah tabarakallah
@LatifaLatifa67-ho1zr
4 ай бұрын
MashaAllah ❤
@aishaabdullah837
4 ай бұрын
Mashallah mashallah
@AbujadiAbdalaAbujadiAbujad
4 ай бұрын
Masha allh
@hajihaji123-lp5lx
4 ай бұрын
hakuna chochote alichotumia mtume kwa sasa tangia zama za imaam dhahabi alikanusha kuwepo mabaki ya mtumme acheni uongo
@comredmuslimmputa2275
9 ай бұрын
Mhhhhhh
@AdamrohoRoho-fr1kz
4 ай бұрын
Uzushi(bida'a)
@hilalkhalfan1452
4 ай бұрын
Umewehuka na mawahabi
@markabibrahim2397
4 ай бұрын
Nii ukweli mashaall a
@MuhammadShariff-ji9ye
3 ай бұрын
Ikiwa firaun amehifadhiwa akiwa mwili mzima kwanini washabga na nywele za mtume Muhammad s a w
Пікірлер: 106