Masomo Yanazidi Kutatizika Pakubwa Katika Shule Za Sekondari Msingi Nchini Kufuatia Mgomo Wa Walimu Wa Jss Ulioingia Wiki Ya Tatu. Na Kama Anavyoripoti Mwanahabari Wetu Chrispine Otieno Walimu Hao Wa Jss Wameapa Kutorejea Kazini Hadi Watakapoajiriwa Na Serikali Badala Ya Kupewa Kandarasi Ya Muda Mfupi..
- 29 күн бұрын
Hofu kwa wazazi huku mgomo wa walimu wa sekondari msingi ukiendelea
- Рет қаралды 1,803
Пікірлер: 3