hii sauti ndio inafaa kuwa default voice kwenye Kila habari
@vibetz9991
3 ай бұрын
Wenye HeLa wanaishi na vizazi vyao sita,, wanazaa mapemaaa
@Babyzay178
3 ай бұрын
Trump anaweza shinda Uraisi tena ooooh 😅👏
@allyngitu4584
2 ай бұрын
Good
@boscow9380
2 ай бұрын
Sauti ya kai iwekwe kwenye GPS zote ❤
@EmmanuelSima-qz1gd
3 ай бұрын
Natabasam tu hata sjui anaongea nn😂😂
@FatumaMuya
3 ай бұрын
😂😂😂
@daslamonline4665
2 ай бұрын
Bora umejisemea ukweli wako
@onesmomasala-rg2wd
2 ай бұрын
Uko sawa mjukuu trump
@kafitiwilliam8358
3 ай бұрын
Safi story nzuri
@Shafikimanga7
3 ай бұрын
Hilo tukio limeongeza wigo mpana wa familia na marafiki kisaidia kampeni zake na kutikana na kuchangiwa kwa wengi wenye umri tofauti tofauti kunazidi kushawishi rika hizo kumpenda na kumchagua trump,
@hamoudcreator6343
3 ай бұрын
Hawa Jamaa, Me Siku Hizi nawaonaga kama Mazombi, Sijui Kwanini...
@starfocus-9
3 ай бұрын
Hunizidi mimi kwl unajua tangu nianze kufatilia sns kuna kachuki fulani hivi ninako kbxa
@brytonstwange6833
3 ай бұрын
Wezii
@hurumajosephat6333
3 ай бұрын
Kai ni mwafrika au
@NeemaSamson-ti8pc
2 ай бұрын
Nahisi wazazi wake hasa baba yake ni muafrica maana ana uafrica kwa mbali
@Adamson-kz2pn
3 ай бұрын
Weka matangazo yanayoeleweka kaka ..utatupoteza ilo la safari ya mama abduli litatupoteza 😂😂 go cuba kwa maelezo zaidi
@davidndayizeye1207
3 ай бұрын
Vipi kuhusu hutuba ya vivek ??
@JohnCage-we6tp
3 ай бұрын
Sem dogo mzuri htr natamn nimtumie dm huyuu tumlete tz😂😂😂
@leonarddamian
3 ай бұрын
The media makes my grandpa seem like a different person,but I know him for who he's.He is very caring and loving he truly want the best for this country and he will fight every single day to make America great again.
@MsAggie5
3 ай бұрын
Anaongea kwa confidence hadi raha, kweli media ndizo zinafanya watu wamuone Trump aonekane mbaya.
@paschalfausitine7108
3 ай бұрын
Trump kashakuwa RAIS wa marekani tusubili kuwapishwa
@AFRICA_D669
3 ай бұрын
Watu wenye maisha yao, mzungu ni mzungu tu hawa watu walituchuma kweli kweli dadeq africa pumbavu
@malongoisack5811
3 ай бұрын
mpaka sasa hivi wanatuchuma tena sasa hivi wanachuma vingi kuliko mwanzo
@AFRICA_D669
3 ай бұрын
@@malongoisack5811 yeah asa tunapigwa parefu kwel kwel, ukoloni mambo Leo
@mwenebatuetabo5515
3 ай бұрын
Mmh jamani kuwa mjukuu wa trump utapewa kendi tu we kai hacha kutuweka kitambaa machoni, kwahiyo utuba tu babu yako alikupa gari la Tesla yenye samani 100 000$
@swazi-bmzwabusarawysd8083
3 ай бұрын
Alie na number yake Ailete chap malkaida tufanye kazi yetu
@comics3437
3 ай бұрын
Trump anabeba kombe
@jacksonngusi4122
3 ай бұрын
Habar hizi nnazipenda zinaonesha wazi mwelekeo wa nchi kubwa Duniani
Пікірлер: 33