Huyu jamaa naanza kuona umuhimu wake.kumbe sikujua tu.big up kikwete
@paideacram
4 жыл бұрын
Alikua baba kweli hutuba zake nzuri sana
@yohanadeus1292
4 жыл бұрын
Duuuh hakika alikuwa kiongozi mwenye kila sifa za kuwa kiongozi mh Kikwete!!
@wastaramanyimanyi9888
Жыл бұрын
Mungu akubaliki 🙏 na iwe hivyoo
@cheupemwanga3326
4 жыл бұрын
This is a leader not a ruler
@singamnunga8465
4 жыл бұрын
Safi
@roseanajophrey886
3 жыл бұрын
Mungu akubalik sana mkwere
@anjikimwaga6892
3 жыл бұрын
Dah Katiba hii ndo inatakiwa iwe maana ni ya wananchi wenyewe
@eliaskihara8915
6 жыл бұрын
nic speech
@cystowhatshedoesitsrealrej4248
5 жыл бұрын
Nice speech
@enockaward7346
3 жыл бұрын
Mzee wa msoga tunakumiss Baba
@benedictnziku127
Жыл бұрын
Huyo ndie jakaya mrisho kikwete rais mstaafu wa jamhuri yamuungano wa tanzania kiongozi sahihi namakini kwataifa letu
@hbalaka
10 жыл бұрын
Nitashukuru sana siyo mimi peke yangu, bali ninaamini na Watzania wengine kama utatuwekea na sehemu nyingine ya Hotuba ya Rais ili kukamilisha hotuba yote. Tanzania Kwanza, Vyama baadaye
@roseanajophrey886
3 жыл бұрын
Mkwere una akili sana ww bas tuu
@benedictnziku127
Жыл бұрын
Huyo ndie docter jakaya mrisho kikwete mtu makini nasahihi kwataifa letu
@wilfredsahila8727
3 жыл бұрын
Unaongea vizuri lakini rasimu zote zilipita kwako zikiwa na mapungufu hayo ulichukua hatua gani kushauri tume irekebishe hayo kabla ya wewe kusaini kama kutoa kibali cha hatua nyingine iendelee? Huo ni usanii, hukupaswa kusaini bila kuridhika na vifungu vya rasimu hiyo. Kwa sababu rasimu ilipita kwa wananchi kazi ya bunge la katiba ilikuwa ni ndogo maana walikuwa wanaangalia kitu ambacho wamekwisha kukitolea maoni kama wananchi; kazi yao ilikuwa kama proof reading tu na si vinginevyo. Kama rasi ya kwanza na ya pili ilikuwa na serikali tatu na rais kasaini; bunge la katika halikuwa na haki ya kubadili kifungu hicho. Maana wote walilidhika katika hatua zote mbili. Rasimu ya katiba kwa bunge la katiba kazi yao kubwa ilikuwa ni kuproof read na kuipitisha tu na si vinginevyo.
@allykajendaje7174
2 жыл бұрын
Ndy
@lgf7297
3 жыл бұрын
Huyu Baba aliokoa Nji hii sawa kabisa na Nyerere alivyotuokoa kwa Nduli Eed Alamin, au Karume alivyotugomboa kwenye utumwa wa Waarabu. Wasaliti wetu walikuwa wamejipanga vilivyo. Sasa wanataka tuanze tena, sijui wamekubali Serkali 2?
@yusufhemedyusuf3021
2 жыл бұрын
LGF acha ujinga. Nyerere hakutuokoa kutoka kwa Eid Amin, kwani Amin alikuwa na malosa gani? Jiongeze ktk histori sio unakurupuka tu, Amin alikwa kiongozi mzuri sana kuliko hata huyo Nyerere waulize waganda wenyewe. Zile ni njama tu za wazungu kwa kumtumia Nyerere. Pia kule Zanzibar Karume hajaikomboa Zanzibar kutoka kwa waarabu, bali ni njama za Nyerere kufanya mapinduzi kwa serikali ya Zanzibar ambayo tayari ilishapata uhuru wake kutoka kwa Oman na British mwaka 1963 tarehe 10 Desember chini ya waziri mkuu wa kwanza mzalendo MOHAMED SHAMTE. Usiropoke na usichokijua. Karume na Nyerere ni watu wabaya kwetu.
Пікірлер: 20