“Ningalipendelea uwe mmoja kati ya hawa baadae hapo utakapo maliza masomo. Kwanza uwe padri. Ikikushinda hiyo.. Kama haitawezekana, natumaini utakuja kuwa daktari. Kama hayo mawili hayatawezekana, basi angalau uwe Mwalimu...(Mwisho wa kunukuu kauli ya baba mzazi wa Rais Mstaafu Mzee Mkapa) Kama mnavyojua badala yake nimekuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10 kitu ambacho Baba yangu hakuwahi hata kuota na hatimaye baadae hata kuona.” -
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Mhe Benjamin William Mkapa
Uzinduzi wa Kitabu chake, #MyLifeMyPurpose
12 Novemba, 2019.
Негізгі бет Hotuba ya Rais Mstaafu Mh Benjamini Mkapa alipozindua Kitabu chake "My Life, My Purpose"
Пікірлер: 9