Wale ambao tumemaliza ote season 1 na Bado tupo ote season 2 gonga like hapa
@LeilaAdija
2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@Violethsoory
2 ай бұрын
Tupo wengii
@YohanaPatrick-u9f
2 ай бұрын
Tupo sana
@MailesYanga
2 ай бұрын
Tupo@@YohanaPatrick-u9f
@BitrisiOswadi
2 ай бұрын
😊
@ShAMIMURASHIDI
2 ай бұрын
Nawapend wotee tulikua seoson1 mpk seoson2 sas hivi kam mnanipend na me like 1 2w♥️♥️♥️♥️❤️❤️❤️❤️
@جاااحظمجنون
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🇸🇦🇸🇦🇰🇪
@LeilaAdija
2 ай бұрын
Tunakupenda pia kipenz ❤❤❤❤❤
@sumsum9493
2 ай бұрын
Tunawapenda sana halafu tunatupa kwa wakati bila kuchelewesha nawatakia kazi njema@@LeilaAdija
@PaulOjiambo-p1f
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@Zulfa-j1r
2 ай бұрын
Nice
@MauwaSuleiman
2 ай бұрын
Aya na mm nimewai like kwa ajili ya bby Kai mm apa kutoka Zanzibar❤
@aminahhuawei1133
2 ай бұрын
Nimekuwa wamisho tu mm kila ckuu najitahidi kuchubgulia chugulia iliniwahii ilaa wapiiiii zeen mubarikiwe sana nawapenda sana tupo pamoja 🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘😘
@MwaminiJingu
2 ай бұрын
Hongereni mnatoa Move kwa wakati🎉🎉Mnaopenda House girl like hapa.
@AminaBakar-q1x
2 ай бұрын
Jamani nilikua naisubili kwahamu pia sijachelewa nipeni like japo 10
@musasaganda4597
2 ай бұрын
Ushashenyentwa tayar😮😮😮😮
@WinnieNtoiti
2 ай бұрын
Kazi nzuri jamani siamini utamu imeanza Tena ,nilikuwa nadhani season 2 haipo kama zingine
@Regina2000Nelson
2 ай бұрын
Sania nipo pamoja nawewe mpaka umpate tasha😂😂
@AnsilaYohanaMwangu
2 ай бұрын
Kama unapenda house girl ya season 1hadi 2 naomben like hapa ata ya season 2
@RitahKedi-h3e
2 ай бұрын
😂😂😂sikutaka candy apewe hiyo nyumba angetapeliwa milele mnabooa 😅😅chisaaa hangerudi
@ministerlightnessrobert5342
2 ай бұрын
😂😂😂kwa wale ambao tunaona dada ake chiko ata mkumbuka zatiti like apa
@zainabzain3434
2 ай бұрын
Atajua hajui
@everlyneouma-ss5zc
2 ай бұрын
Atajipanga mwache aoneshwe moto😂
@ministerlightnessrobert5342
2 ай бұрын
@@everlyneouma-ss5zc kwel
@ministerlightnessrobert5342
2 ай бұрын
@@zainabzain3434 yan
@Edna-w3z
2 ай бұрын
Kapat kiboko yk atamkumbuka san tyuu bd na mimb Cy ya chiko😅
@VanessaZumbe
2 ай бұрын
Ila sania anavishawishi huyu mtoto😂😂😂
@HyasintaWisdom
2 ай бұрын
Jmn waomba like amjambo 2merejea tn seoson 2 wapenz wa zuu na Kai gonga like ap 😂😂
@NeyHerman
2 ай бұрын
Hooooo waooooo tulio anza na seoson 1 now tupo seoson two tugonge like apaaa
@IvoneKyandohsony
2 ай бұрын
Ndo msinambie kama season2 imetoka
@shamsijuma5050
2 ай бұрын
Na mie jaman nipo bega to bega sema sijionyeshi tu nipen na mie like
@AminaHamisi-y7c
2 ай бұрын
Leo nimekua wa kwanza kutoka kenya
@sharifanyumayo6314
2 ай бұрын
Nimewah jmn mda wote nilikuwa naisubiria, Candi punguza hasira ww Kila kitu wapanik TU 😂😂😂😂😂
@festoerastoerastoerasto5587
2 ай бұрын
Una sis ambao huwa tnachlew hamn hata like10
@jellymagoha
2 ай бұрын
nawapemda sana jamani❤❤❤❤
@YohanaZ-b3e
21 күн бұрын
Nimependa Sana hii move congratulations
@AndrewHendrickRusimbi
2 ай бұрын
Nampnd san zuu
@janeburu6538
2 ай бұрын
❤❤❤❤ karbuni turkia tumewakumbuka
@glorysimon4021
2 ай бұрын
😂😂😂wakwanzaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@TeamBabajoan
2 ай бұрын
Mamake Tasha ni Vyenye hajui kwamba Sania ni sawa sawa na Chui kavaa ngozi ya kondoo
@SitiSaid-ol9rm
2 ай бұрын
Ni mamaake Tasha au chiko
@TeamBabajoan
2 ай бұрын
@@SitiSaid-ol9rm nimeghafilika but nmechange
@sofiakinyia2734
2 ай бұрын
Twendeni nalo😂❤❤🎉🎉🎉
@mejumaabaraza3989
2 ай бұрын
😢Duuuh mm yani fikia sahii kumbe uimekuja kitambo😊
@RukiaJuma-kh2ed
2 ай бұрын
Jamn nipenda mov yenu na wapenda na wotw❤❤❤❤❤❤
@MaryamShabani-n2u
2 ай бұрын
Tena Sania umepatika maana sio vazi lako😂😂😂😂😂😂
@MaryamShabani-n2u
2 ай бұрын
Mambo yashaniga nice
@KhamisJuma-ni1vk
2 ай бұрын
Wauuu Movies Ndio Ya Anza hau Ndio Ya endelea Ongerani Sana.. Hila Sania Anaonyesha Dalilizoto Zaeshima Anajua Kucheza Na Akila Za Watu Nlinukuu Maneno yake Akisema Kama Kupiga Magoti Ndio Heshima Basi Itakua kwake Ndio Kazi.. Na Vile Mamake Tasha Kwa Muonekano Alivyo Muona Shania Kumpigia Goti Amefurai Sana Sasa Kama Mama, Kashasema Wewe Unafaa Kua Mke Wa Mtu Ki mm Alivyo Amani Sha Mtu Mwenyewe Ni Mwanawe Tasha Nasio Mwengine.. Bt Mubarikiwe Sana Chatusubiri The Next Movies
@busatitv
2 ай бұрын
Asante 🙏🙏
@MERCYMWIAMUSEMBI
2 ай бұрын
Nakupenda bibi na wajukuu wako❤❤❤❤
@GhaniaNassor
2 ай бұрын
Karibun Tena season 2 tupo pamoja wadau
@JeannetteManirambona-o6m
2 ай бұрын
Kazi nzuri
@KongoJefwa
2 ай бұрын
Sania umeuwa mama WA maigizo😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@KuruthumAmiri
2 ай бұрын
Zuuh ilo wigi sisi hatulitaki bola usuke rasta tu basi
@yamunguprince7923
2 ай бұрын
Poleni sana kwa kazi muli ifanya kipinfi kwa kwanza na iki kwa pili acha tuh ni mipe pogezi na penda sana housse girl ❤
@DamarisMoraa-e8s
2 ай бұрын
Jaman naona sania ashapewa baraka na mama mkwe kwa kweli Tasha umepata mke 😂😂
@solomonmashauri1553
2 ай бұрын
Kama mama kashakubali Tasha ataruka kweli🙆
@RahabuMwashilinde
2 ай бұрын
Unyama ubwela ❤❤❤ tunaendelea mpk ituue na pressure 😂
@JackilineKashindi-bj9iq
2 ай бұрын
tupo nayo mpaka kieleweke
@JamilaDushime
2 ай бұрын
Wawuuuu hatimaye s2 imekuja nawapenda nyinyiyote akini muwongezeye muda
@KhadijaRajabu-br1zf
2 ай бұрын
Yan nyie nawapenda sana mnawahisha mnoo tim strong twend kazi
@VanessaWilliam-m5i
2 ай бұрын
Nzuli sana nawapenda
@mesamesa3698
2 ай бұрын
Wow ❤ nawapenda burrre
@BethaGodfrey
2 ай бұрын
Nyie bhna tumewchoka like like kwani nyie ndo mlioigiza
@AminaKavuo-gj3oc
2 ай бұрын
Ss kamukondee hamenichekesha tu San kwa sababu hanajiuliza eti mim kaveah nin leo 😂😂😂
@AbdulkadirBarre-o9p
2 ай бұрын
Sania kipenzi umeniangusha kuleta soda bila glass ila hongera🎉🎉❤❤❤❤
@Mwanalimamasumbo
2 ай бұрын
Shukran wadau wngu❤❤
@mwanakombopopo5117
2 ай бұрын
Uyu dake zuu mshamba sana
@HudhaimaYussuf
2 ай бұрын
Watu wanalala humu humu jaman 😂😂😂
@LatiffahHassan
2 ай бұрын
Nakwambiy niatar udug😂😂😅😅
@QweenNickson-r8s
2 ай бұрын
Hatimae tumepaona Oficini kwa Kai.
@NeemaJustinekanje
2 ай бұрын
nyumba ya candy hajanunua chiko kwel
@MejumaawasaaPesa
2 ай бұрын
Wale tumekaa tukisubiria season 2 tujuane na like basi msiwe wachoyo❤❤
@LeilaAdija
2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@MwajumaAyubu-t3t
2 ай бұрын
❤❤
@Hawatito
2 ай бұрын
Ote tuko pamoja 😅🤣
@EstherMutisya-rf4qq
2 ай бұрын
Wewe tasha bona unauliza kai mambo ya kendi,,,hyo sijapenda
@FghgRyy
2 ай бұрын
Woyooooo mambo ndio hayaaaaa sasaaaaaa twendeeeee nalo mpaka mwisho 🎉
@naifatally8034
2 ай бұрын
Kazin kwa Kai Kuna kazi😅
@everlyneouma-ss5zc
2 ай бұрын
Umetisha sana sani kwa kumkaribisha mama hongera❤
@MorganTLavence
2 ай бұрын
Tafathali Tasha husimukumbushe Tena Kai kuhusu candy naomba tu
@barakamshefa6426
2 ай бұрын
Team Kai tugonge like🎉🎉🎉🎉
@fatuma6011
2 ай бұрын
Sania wasema hukati tamaa mpka kieleweke 😂😂😂
@MrsMariam-x2s
2 ай бұрын
Afu mnatudanganya mnatupuguziya mda jamani aaaa busaty msitufantiye Ivo bana 😂😂😂
@agnesiluoga
2 ай бұрын
Mmetisha mpo vizuli
@NajmaHaji-k4b
2 ай бұрын
Lakin kendi nampenda man namfananisha na tima wa huba hizo heka heka zake
@Madam255
2 ай бұрын
😂😂😂😂tasha kazi unayo sania anapiga magoti
@EdnaBushuru
2 ай бұрын
Season 2 pamoja....kwa mpigoo🎉🎉🎉
@افلينافلين-ي9ك
2 ай бұрын
Uyo tasha. Na pua lake. Limekaa wazi. Anaanza kuniuzi😮
@ReginaAli-f3d
2 ай бұрын
Tulio subiri kwa hamu tujuwane na vilele wakuwe wanatutolea vipande viwili kwa siku 😂😂😂🎉
@HumudiLailathi
2 ай бұрын
Jamn we zuuh na Kai kheee ko kwamba simu ya dada ako ukimpigia shemeji ndo anaitikia babe mbn sijaelewa😅
@aishaomar2287
2 ай бұрын
Aijua sauti ya beb wake
@etsareliza6687
2 ай бұрын
Dada ake zuu anawivu na maisha ya mdogo wake
@EvarSeveline
2 ай бұрын
Hatimaye kazini kwa Kai na Mr tasha pameonekana 😅😅😅🙌🏽
@FatemaOman-i7r
2 ай бұрын
Nimewai leo 😅😅😅😅😅
@Haleemamuhammed-ub5ip
2 ай бұрын
Nimefurahi san kuon movie yangu pendw haijaish nawapend san ❤❤❤❤❤❤
@NyamiziPongwe-by8px
2 ай бұрын
Hatimae imefika niliisubir kwa hamu
@JoyceElias-bd3kt
2 ай бұрын
Jmn zuu Vaa brezia bwan kifua kinakusariti
@PrettygirlPretty-ck9dj
2 ай бұрын
Hongera sana kwa kuwahisha, Lkn mgeongeza vidakika viwe vingi kdgo
@matihassanmwachigutu-hq7ei
2 ай бұрын
Tumerudi tena kwa season 2
@farajakandonga3994
2 ай бұрын
Jamn tulio anza na house girl season1 na hatimae tupo season 2 ebu tujuane kwa kugonga like hap
@marykiduda7466
2 ай бұрын
Wa kwanza
@VannyleyQessa-sn2eg
2 ай бұрын
Jamani tunataka kujua kuhusu zatiti me nampenda❤❤❤
@B.M-ix4rz
2 ай бұрын
Watu wa busati tv shkamooo dk ya 13 nimekua wa 104k
@FaithwiliamLutindi
2 ай бұрын
Kazi njema
@DianaRumbanisa
2 ай бұрын
Movie nzuri Ila mnatubania dkk dkk 20 ni ndogo xan😢tuongezeen angalau hat dkk 30-35 plz😢😢
Пікірлер: 774