Bonyeza link kujiunga Whatsapp Group 👇👇 chat.whatsapp.com/FO70mhi1wWF9xNBRUPBDT8
@MarthaAlly-y7s
2 сағат бұрын
Jmn naomba namba ya Kai me najua kuigiza
@MonieNathan
3 сағат бұрын
Chiko mpango wako utafeli kama tuko pamoja gonga like apa❤❤
@samuelnthia8858
2 сағат бұрын
Like
@Scolayusuph558
2 сағат бұрын
Kashaanza kua chiz
@DivineIngabire-lj3sr
2 сағат бұрын
Muace acizii jamani 😂😂😂 uyo atakuja kurukaruka barabarani ako uci😂😂😂
@PhilimonJosephu
2 сағат бұрын
Kamuweza kabisa
@VeeMoraa
2 сағат бұрын
Kwa hii harakati ya chiko ningependa xatiti awe ako na mimba,,,,,, maombi yangu tu🙏🙏🙏🙏
@AntyBy
3 минут бұрын
Hapo sawa
@EmilianaTemba
Сағат бұрын
Jmn jmn nataman zatit awe na mimba ya Mr Tasha wanaotaman hvy gonga like ❤❤❤❤
@PatrickKimaro-do3lj
2 сағат бұрын
sema huyo dogo kamuweza chiko kama umemkubal huyo dogo aliemfanya chiko aludi mwanzo ili asalimie kwanza gonga like
@latifahkambi453
2 сағат бұрын
Nmependa sana ahahaha
@sharifamahamudu182
2 сағат бұрын
Nimempendraa atariiii
@annahnyansiaboka451
2 сағат бұрын
Yaan amenitendea haki kweli
@pilicharo4123
2 сағат бұрын
😂😂😂naye kamuweza kweli😊
@MarthaAlly-y7s
2 сағат бұрын
Yaani nimeinjoi mpaka bx
@AgnesDavidmtalemwa
2 сағат бұрын
Ila chiko kama mchawi jamn kama unakelwa na tabia za chiko 😅 gonga like tujuane
@QweenNickson
3 сағат бұрын
Mungu azidi kumbariki kila mtazamaji wa House Girl.
@JanepherBudodi
2 сағат бұрын
Yaan busati hamjawahi kutuangusha kabisa saana ni saanane kwelii kwakweli mpewe maua yenuu tunaokubali wanabusati like hapa❤❤
@AliJussa
2 сағат бұрын
Mpumbavu mwezangu bado haja uwezea jasmin origino kama umeliiona hilo gonga like
@JmaexChambo
Сағат бұрын
Bado
@rahimaaaaa5682
Сағат бұрын
Mpunzisheni Dada wawa2
@ReneNzeyimana
49 минут бұрын
,👍🇧🇮🇧🇮
@AminaAmina-wm1og
31 минут бұрын
Yani mpumbavu mwenzio alienda wapi?sisi tunamtaka Jasmine original
@SadaDjuma-e9b
Сағат бұрын
Amani ya Mungu iwe juu yetu sisi ote tunaofuatiliya hii movies BUSATI TV, nina Imani mpo salam,anae furahi jinsi Chiko ame ayibika kijijini, anipe like zangu, n, anae furahia jinsi mimba ya Kamkonde imekata kutoka hadi amzalie Ngonde anipe like zangu maan wamezidi ushirikina, Chiko toa Rushwa ila hutofanikiwa,ndug zangu nawatakieni Heri nyingi na Baraka n, Afya njema.
@TanashaPamelah
3 сағат бұрын
Kama unasubiri kendi aone moto niekee like tu 😂😂😂🤭Yani mie nasubiri tu majuto ya kendi mama yangu 🤦😂
@Milkah-x1r
2 сағат бұрын
Mzee mkoloni ana msimamo dhabiti kwa zariti wapi like zake🎉🎉🎉
@FaithGeoffrey-i8c
2 сағат бұрын
Wanao furai mimba ya Sania n wagapi
@JaneChaula
2 сағат бұрын
Candy kasem ma kirikuu😅😅
@JoannaHemedy
23 минут бұрын
Chiko una leta aibu na weye nadada hamu zai ni fujo tu wenye wana kubali like basi
@stanleycylidion1560
2 сағат бұрын
Duh kilamba napenda sana uigizaj wako Mungu akutunze jmn
@ASHANDEGWA
2 сағат бұрын
Dada unajitahidi kuwa jasmine OG hongera sanaa kwa kazi mpumbavu wa kilamba🎉🎉
@SaufatBaraka
2 сағат бұрын
Jaman weka makopa kopa❤❤❤❤❤ kwa tasha na zatiti
@Saumu-vr4bc
3 сағат бұрын
Leo kwa mara ya kwanza naombeni like
@YusraSiyaleo-yk2fz
51 минут бұрын
Tunaoomba cend adhulumiwe nyumba haraka gonga like h@pa tujuane 😂😂😂😂
@onesmusfondo7679
2 сағат бұрын
Chiko,kula jeuri yko mpuuzi wa maisha wwe... Natamani ningekuwa ndani ya hii tamthilia ya house girl,ungenyooka tu ...
@InnocentJohn-u4e
2 сағат бұрын
xana broo 😂😂🎉🎉
@Juliety-v3o
2 сағат бұрын
Mwenyekit na chiko kimewaramba but chiko kimekuramba zaid coz pesa tumekula na mke atukupi
@DivineIngabire-lj3sr
2 сағат бұрын
Ayende kwenye alitoka
@HhUhh-io8ix
Сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂aiiiiiiiiii chiko Kila pahali haaaa unakera munooooo
@MariamRiziki-o8x
3 сағат бұрын
Wakwanza tokea nianze kufuatilia house girl sijapata lkis hata moja🎉🎉🎉🎉
@InnocentJohn-u4e
2 сағат бұрын
😢😅😅😅
@bayubaheallydelly-rn2zv
3 сағат бұрын
Kuna Siku moja chiko atakiona camtemakuni kisha Candy nae bakiz upweke jmn unaamini ilo gonga apa like
@JentrixSungu
2 сағат бұрын
Cendy uko na vituko ety mama kirigu😅😅😅😅
@Jenniffer-m9k
Сағат бұрын
jaman mr tash kamuweza chiko 😂😂mwenye anaamini mipango y chiko haitafanikiwa gongen like
@Viviankemunto-p4k
3 сағат бұрын
Sania leo kafurugwa kafurugika😂😂😂😂😂😂😂😂na vile alikuwa kiherehere na mambo ya wtu wee tuletee kitoto cha ngonde mamulaka😂
@JescaYusuph-m4y
3 сағат бұрын
Kashapewa na jina mama kiriku😂😂😂😂😂
@Dorcaskw
2 сағат бұрын
Kwa hii nalo ni moto fire kwa siku zote nimeenjoy😂😂😂 don't forget me just like my comments❤❤❤ much love for this team ❤❤❤
@NeemaJulliet
3 сағат бұрын
Wakwanza kutoka kenya like zangu apa
@SalamaRajabu-c6h
2 сағат бұрын
Chiko kishamramba anakalibia kua chiz maan mateso alopitia zatiti nayaona ni madg kuliko anayoyapata chiko kwa ss endeleeni kutupa raha wanabusat tv🎉🎉🎉
@irene-pw4dw
2 сағат бұрын
Boss candy Pamoja na mama kijachooo 🎉🎉🎉 Maua yenu maana mnakoelekea mtalia sanaa😅😅😅😅😅
@Najmahnyangasi
2 сағат бұрын
Kiukweli 😂😂😂😂😂😂😂😂nacheka chiko ameyatimba mbio sana kumbe yuaogopa acha nione candy na laana yake iliyo mpaka jaman naomba like zenu 🙆♂️🙆♂️😅😅
@Saidahkims
3 сағат бұрын
Chiko ata ufanyeje hauna kizazi na uwezi pata mtoto ata kwa tabia zako mungu awezi kupea kizazi wewe
@marymele9714
2 сағат бұрын
Mwehu uyu😏
@AishaMbuba
3 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂 Sania hicho kisiran adi kwa BFF wako nahs una mtoto wakiume na JINA makubwa candy kashatoa ataitwa kirikuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@pilicharo4123
2 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@Bint-Zanzibari
2 сағат бұрын
Yani nimecheka ila candy Kwa sania huwa hachukii😂😂😂
@user-Ambani
54 минут бұрын
😂😂😂😂😂
@SandrineDupfiki
2 сағат бұрын
Kendi nakwambiaje mbavu zangu utazilipa 😂eti mama kiliku😆😆😆
@FaisalAlrefai-u2y
38 минут бұрын
😂😂😂😂😂😂
@nurusaid4698
Сағат бұрын
Meno Ya Kuoza Mbele Uyo Jasimini Kma Mmi Kucheka Au Kusimaili Pia Ni Shida😂😂😂😂😂😂
@AisherJuma-d2q
3 сағат бұрын
😂😂😂😂😂chiko ashaanza kuchangnyikiwa
@medytrueboytz8450
Сағат бұрын
😂😂😂 mwenye kiti tuhalawe hano konda watubige oshe namwenye kiti😅😅kumbe kodumba kubigigwa😂😂
@Smart7-b5e
2 сағат бұрын
Candy jamani sometimes nakuchukia sometimes tena nakupenda mama ❤❤❤❤ yaani usha mpea kijajo jina ety kirikuu😂😂😂😂😂😂hapo sasa umenichangamsha na vile sania alikua anajifanya kua yy ndiye mama mshauri kimemramba na mganga wake 😂😂😂😂
@RizikiHaji-y4p
2 сағат бұрын
Hahahaha chikoooo umepatikana dogo umetishaaa
@MwanamisiMuna
2 сағат бұрын
Jaman kujiamini muhim wala kwa olilosema Mr Tasha usihofu mama n mkubali hta kuangusha,chiko garareee wewe ,n hii part y mjinga mwenzang sijapenda mwenzenu nilikua hta na hisi usingizi
@Idmmuedacente
3 сағат бұрын
Hongera sana Ndugu zangu pongezi kwenu wakuuu❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@JoyceKizo
3 сағат бұрын
Nimekuwa wa 4 leo wow like plz😢
@TONNYBOYMSAFI
3 сағат бұрын
Big up from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wapi likes kutoka kenya❤.
@salhaissa-xq9ov
3 сағат бұрын
Fundi saa alipoteza nati kiramba😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-Ambani
50 минут бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-Ambani
41 минут бұрын
Candy aty *Mungu wangu*😂🤣😂🤣😂🤣😂🎉🎉🎉🎉
@SALIMAMALIKAGHAJOK
2 сағат бұрын
Mwenye kito good nikupeke mau yako mmmwa❤
@ShamimShamy
Сағат бұрын
Kendy. Unenongesha hatar movie 🎉🎉🎉
@Amena-z5r
2 сағат бұрын
Mpumbavu mwenzangu meno yaisha mbele kwa kula sukari 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@Juliety-v3o
3 сағат бұрын
Chiko umepatika kwel kwel
@TabiaMwaisumo-ss7pz
21 минут бұрын
Wanaume wenye huruka kama ya chiko mjifunze sana hapa ridhikeni na mlivonavyo tamaa ni mbaya mtakufa😂😂😂na nyinyi mnaoomba like sijui wa kwanza au wa mwisho mna shida gan ninyi mfyuuuu
@lucasdaniel-bu8mp
3 сағат бұрын
Watu hamlali jamani Aya naombeni ata like moja
@Fathasssane-vs2th
3 сағат бұрын
30nimekua naomba like za oman Qatar saudia tz ❤❤
@DeboraReuben
2 сағат бұрын
Jamani huyu Jasmin mpya hafai hata kidogo hajui muondoen anaboa
@swahibumaliki1547
34 минут бұрын
Jamani chiko kimemlamba kitu bado candy nae
@franktodory
2 сағат бұрын
sania kashaanza kuwehuka sasa 😂😂😂😂
@Lucy-t7n
2 сағат бұрын
Ila baba zatiti na hicho kizee mumejua kunichekesha kimeumana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@buru1235
2 сағат бұрын
Baba Zatiti umenimaliza mm wallai umeshika mwenye kiti.hdi akaona km Dunia yke inapasuka 😃😃😃🤦Alf chiko amesema ety yy n babake Tasha au nimesikia Nini mm😮
@PatrickKimaro-do3lj
2 сағат бұрын
sema kwa upande wa hao wapumbavu bora ingeonekana jasmin mwenyewe ingeonekana ndo kafa baada ya kutekwa na kilamba ameamua kuoa kwanamke mwingine ila huyu hawezi vaa viatu vya jasmin hata robo
@DivineIngabire-lj3sr
2 сағат бұрын
Chiko aca kikulambe kabisa kumifukuza zatiti virikua laisi kumupata tena ngumu na usahau kabisa 😂😂
Chiko ishafulia huko kwenda mwana kwenda na pesa ushapigwa na mwenyekiti 😂😂😂
@MaryBosibori-xm7us
29 минут бұрын
Waah kutawaka hapa next episode m naona chiko mzensi ataenda kwa mama Tasha na vile alijukua self na mama Tasha uuuii
@DianaMkembelwa
2 сағат бұрын
263,chiko wewe 8:48 na ndevu 2:42 zako za kusungulia sufulia.una kela.😅😅😅😮😮😮😮.ndiyo maana umenyooswa na mtoto mdogo😮😮😮😮😮😮😮
@samsonkaboko5137
2 сағат бұрын
Chiko msenge sana
@sayunimnguruta98
32 минут бұрын
Zatiti hongera sana Tasha ni mume sahihi na mwenye hekima ❤❤❤ Hongera sana Chiko huna chako hapo
@EUNICEBENDERA
Сағат бұрын
Acha shobo chiko kwanza ko maa muache zatiti wetu❤❤
@AminaAli-u1h
53 минут бұрын
Jamani Chiko ajua kuigiza hongera Sana kazi safi😂
@SesiliaTemu
2 сағат бұрын
Chikoo 😂😂😂😂nenda ukale uliko peleka mboga 😂😂
@samsonkaboko5137
Сағат бұрын
Unacheza na mzee mkoloni wew shauri yako
@FelistusKimanzi-f2g
Сағат бұрын
Nice one 🎉🎉🎉
@ShombeShombe-wg6gu
55 минут бұрын
Dogo yupo sawa sana namkubali sana ila huyu mke wakilamba wamchongo au vip
@ZubedaBita
2 сағат бұрын
Chiko Hela ishaliwa Rudi 2 nyumbn
@KhadijaMwinjuma
36 минут бұрын
Uyuu chiko nayee atuqche bnaa .agongwe ata na nyoka uko kijijin
@Farthun
3 сағат бұрын
Chiko kweli akili zimesafiri 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 sasa ndo unazidi kuliamsha kweli unapandisha tasha kufanya kitu chenye hakutaka afikie huko wacha tuone kama utawezana
@buru1235
2 сағат бұрын
Weeeeseeee Kai n Zuu Kuna Nini tane😮
@Fatuma-u8d
2 сағат бұрын
Aaah uyu nae ywaboesha jaman mrudisheni jasmine wetu
@marymele9714
2 сағат бұрын
Jasmin yuko shuleeee
@DanielMagaga
40 минут бұрын
Huyu kaka comedy nyingi msiwe mnampa vipande virefu
Sania ukijifungua kitoto cha ajabu kirukuu ndo jna alolipenda BFF wko uniambie nije kulea pia mm nko na matatizo hope kirukuu atanisaidia matatizo yangu😂😂😂😂
@celestinemakolo3954
15 минут бұрын
Anayopitia Chiko nlishawah pitia mwanamke akaolewa kabisa familia nzima ilinikataa lakin baada ya miez mitano kwenye ndoa yake jamàa akabadilika kumbe ana tabia chafu sana ,badae nkaonekana mtu sahh kiufupi maisha ya mahusiano hayatabiriki familia ya zatit ingempa tuu heshima Chiko pamoja na madhaifu yote no body knows tomorrow ukiona mtu anakupigania after break up is the one who loves you real
@allymasms4140
Сағат бұрын
Chiko akili zko hazina akili 😂😂😂
@DevidMfikwa
Сағат бұрын
chiko kayakanyaga kwa tash ajifuns kaz kwen
@tigejuma9865
26 минут бұрын
Alafu mwenye kiti atakuja umbuka vibaya xna mbele ya watu....chiko ataongea kuhusu pesa zke alivyo muhonga.....Aibu kubwa😅
@TheresiaMoses-g7w
6 минут бұрын
Jaman chiko leo kimemkuta na bado atavuna alichopanda kwasababu hawezi kutungisha mimba sasa anaona aibu
@MaryMichael-w1l
Сағат бұрын
Tunaoamini kuwa chiko ni comedian tujuane hapa 🤣🤣🤣🤣😁😁
@Asiamohammed1317
25 минут бұрын
Kendy umepigaje hapo, mama kirikuuu 😅😅😅😅🎉🎉nimekupenda leo ❤❤❤
@rahemh1234
39 минут бұрын
Babake na zatiti mkali kama babangu ❤❤❤❤❤😂 ila mwenyekiti na chiko wameyatimba ila chiko zaid maana pesa tumechukua na mke tunaye 😅😂
@RachelEmid-jq6eo
2 сағат бұрын
😂😂😂😂 candy mpuuzi San et kitoto kitaitwa kirikuu kitoto Cha maajabu wallah nmechek
@TitoMichael-np2kh
2 сағат бұрын
Baba zatiti jaman amuoneeebhuruma Mzee Wawatu 😭😭😭😭
@Amal-iq1wg
2 сағат бұрын
Kwaniniii anakulaa hongooo hakunaa kitu kama hiyoo😂😂😂😂😂😂😂naa gongweee kugongwaaa
@kombojuma312
2 сағат бұрын
Huyu binding mbona huyubint siye kabisa katika hiifilamu mbona mnatuboesha au tuna tatizo
@AsumtaMwitumba
2 сағат бұрын
Kalale chiko huna chako hapo
@AgnessDama
28 минут бұрын
Chiko amewezwa leo😂😂😂, leteni like za huyo dogo pls
@jacklineteresia2629
51 минут бұрын
Kwasabubu ya hesima mr tasha ungempiga chiko na kitu kisito 😊😊 juu ana kera yule dogo kamweza 😂😂😂
Пікірлер: 489