Wale wa kukimbila kucomment 😂😂😂 Tijuana hapa enjoying from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AsimweMzawa
16 күн бұрын
Tupo live
@Fatima34-px1qd
3 күн бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@-kagerayetubw9jx
24 күн бұрын
Leo sitaki mtu anipe like yake bali tu niwape pongezi kwa kazi nzuri wana BUSAT TV 📺
@Mutugi-ik9tx
23 күн бұрын
Sema unaomba chini ya maji😂😂😂
@officialbasheer13_tz
23 күн бұрын
😂😂😂 hiyo nikwel Kaka hujakosea@@Mutugi-ik9tx
@SelinaChristopher-h7b
24 күн бұрын
Ila Saivi Mmekua Mnachelewa Sana Nyie Sijui Kwakua Mmeona Watu wanawafatilia Sana ndio Maana Mnabadilika hivi
@Noorat-hg8ut
24 күн бұрын
❤
@AminaNgumba
24 күн бұрын
Umeon eeenh
@AbdulazizMussa-sy2mz
24 күн бұрын
Jamani nami leo nimewahi naombeni Lake hat 3
@user-cd3xo4mc9h
24 күн бұрын
Ndio kwanza movie Ina dakika nne mnadai like mmeangalia saa ngap
@sifamaureen2792
24 күн бұрын
Banaweee,nawashangaa,nikama wanataka kuzipekeka bank
@HudhaimaYussuf
24 күн бұрын
Wengine wafike tu wanadai like hat dakik 2 hazifiki
@Nassrah737
24 күн бұрын
😂😂😂
@EsterEster-mo3hd
24 күн бұрын
Wagonjwa nae
@MaryPendo-gy4yr
23 күн бұрын
Imagine😹😹
@aminahhuawei1133
24 күн бұрын
Kendi wewe unalaana ya mama kamwe huwezi fanikiwa jamani tusiwadharau wazazi wetuu maana wawo ndiyo nduzo yetu 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@user-jl8kp7gu7x
24 күн бұрын
Wow ❤❤❤ from USA wakwanza Leo Ni peni like nzangu ❤❤❤
@shakilasharifa9
24 күн бұрын
Wa Kwanza leo uwiii nipeni like zangu 😂😂❤
@azizawaziri9190
24 күн бұрын
Chukua ulipoziweka
@JladyKadzo
24 күн бұрын
Ushamba huo we jichekee kama zumbukuku tu hujui ila hata kipindi kimekuchoka like like na Huna maoni yoyote mpunguze upagal hapa
@sergenshimirimana-wf2uk
24 күн бұрын
We noma
@Mutugi-ik9tx
23 күн бұрын
😂😂😂@@azizawaziri9190
@Fatma-yf6qb
24 күн бұрын
Atimaye Leo WA kwanza ngoja nijilike mwenyewe 🎉🎉🎉
@MaryChemnyetich
24 күн бұрын
Leo nime jaribu nipeni like zangu❤❤❤❤❤❤😂
@user-fw2zn2os8g
24 күн бұрын
waliokua wanasubili kam mim like ap
@JanethHaule-vk2us
24 күн бұрын
Mbona mnapenda like jaman wapendwa
@user-uo2xk2et5n
24 күн бұрын
Waah,,😀😀 karibia nianguke 😂😂
@ZaynabSimai
24 күн бұрын
Vz@@JanethHaule-vk2us
@BenadethaSamila-gv7pj
24 күн бұрын
ila inaisha haraka jmn daah😢
@RehemaKakulu
24 күн бұрын
Nikohapa 😂
@jaimesilvestre2058
24 күн бұрын
Like zangu jamani leo nimewai naomba tanooo tu..😅❤
@KiboxMedia
24 күн бұрын
😳😳 Hivi Candy Anawadudu Kwa Head au khaa Jamani hebu Busati Tv, Fanyeni Adundie Pua kwa Miba 😂, Halafu nimeona Anasodolewa kuwa kikwapa Kinanuka Ndio maana Kai alipoingia Chumbani baada ya Candy Kuweka Urembo alitaka kuzimia , kumbe kikwapa bhana Bora akajilalie kule Kwa Zuu Wetu 😂😂
@sifamaureen2792
24 күн бұрын
😂😂😂❤❤🎉🎉
@dorcaswandera8829
24 күн бұрын
𝐻𝑎𝑡𝑎 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑛𝑎𝑠ℎ𝑎𝑛𝑔𝑎 𝑡𝑢 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑤𝑒𝑤𝑒 𝑛𝑑𝑢𝑘𝑢 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑑𝑢𝑢𝑢ℎ
@KiboxMedia
24 күн бұрын
@@sifamaureen2792 😁😁😁🙌🙌
@KiboxMedia
24 күн бұрын
@@dorcaswandera8829 Yaani simwelewi Kwa kweli 😂😂
@user-jf9pt8bu5j
24 күн бұрын
@@KiboxMedia😂 hatari nakupenda sana
@FurahishaMtendjwa
23 күн бұрын
Ba Congolais tuko yulu 😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@AdamZainab-mb7qj
24 күн бұрын
Jaman mbon mm sijawah kupewa lake hat 10 naomben munipe jamn plz😜
@FurahishaMtendjwa
23 күн бұрын
Njoo byangu byakuhangalia wa mwisho 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙌🙌
@Igra254
24 күн бұрын
Waaa mwanaume anagongwa Kofi na mwanamke❤❤ likes hizo hapa
@ElizabethCostantine
24 күн бұрын
Ivii nyie izoo like mnazinyweq chai auu
@user-yh9uq9xj5p
24 күн бұрын
Hii movie imechenzwa vizuri sana ila candy jamani kama wewe hyo tabia yako kiuhalusia uko hvyo daa dada nakuomba badilika jamani daah
@FelisterBuhitu-xf9qv
24 күн бұрын
Watu sijui mpoje mwanzo mpaka hapa mnafukuziana like kama machizii vilee😪😪😪mnashindwa kutoa vit vya maana kaaaah mtulize makomwee au muanzishe vituo vyenu vyakuomba like
@JladyKadzo
24 күн бұрын
Washamba hawa sijui hawajui mana comment ama vipi😢
@HopeMmbando-wb8ci
24 күн бұрын
Yani mpka kero mbuzi wale
@user-qq6mv6vh3e
24 күн бұрын
@@FelisterBuhitu-xf9qv sjui izo like wanazipeleka wapi kwa kweli🤣🤣
@GloriaMwaiteleke-vf4kj
24 күн бұрын
Yaaan wanakera Sana.
@BishopSam003
24 күн бұрын
Wanaboa sana wapo bizze na like tu
@KelvineMbulabasika
23 күн бұрын
Ce que me retiens ici c'est eza nga Bana Congo Congo hakutoki yuma
@busatitv
23 күн бұрын
Asante sana🙏
@user-vz7qe8im6d
24 күн бұрын
Duh watu mnalala KZitem nn anyway nawapenda sana
@Giftbugalama
23 күн бұрын
wooh, pongenzi kwetu wa congo maana mmoja wetu kashiriki ndani ya series yetu hii kali, kama na wewe ni mkongomani tujuane kwa ku like comment hii
@gracenyevu8082
24 күн бұрын
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
@NasraKingazi
24 күн бұрын
Nivile tu nimuvi ningempiga huyo Candi mpaka azae
@user-zu2ki2uh9m
24 күн бұрын
Jamani Leo wakwanza nipeni like ata Mimi nifurahi, kutoka Kenya tujuane🎉
@user-rm2lk8se3w
24 күн бұрын
Wakenya yupo tunafatilia ak
@OmanNizwa-uc4ub
24 күн бұрын
❤❤❤
@JladyKadzo
24 күн бұрын
Wakenya sio washamba wa like jitafute uliko chimbuliwa wewe mana unakaa mhogo haswa😢
@Quinter-he8xj
23 күн бұрын
Gen z sasa ,,ama wewee ni millennial 😂😂
@kashrajabu5744
24 күн бұрын
Candy eti aoni kosalake 😂
@user-jf3qz3il3u
24 күн бұрын
Mashallah congratulations kai really appreciate ❤❤❤🎉
@faithkalulu
24 күн бұрын
you are doing great job, nawapenda sana,nipeni likes
@busatitv
24 күн бұрын
😍😍
@lilianmoraa4690
24 күн бұрын
😊😊😊😊😊
@lilianmoraa4690
24 күн бұрын
you are doing great job nawapenda Sana nipeni likes
@AshuraKigoma-vf7wb
24 күн бұрын
Dah hii move kila uchao inanogaa🎉🎉🎉🎉
@PrimitivaPriscus-hb7yj
24 күн бұрын
Meitafuta San hii epsod no 41 daah😥
@RehemSheha
23 күн бұрын
Yani kunawatu wanaomba like lakini kutoa wao aahhhh
@petermakemba3655
23 күн бұрын
Nice movie.... Peter from Kenya
@ashuramohamed1895
24 күн бұрын
Jamanai mbona watu mko bize na like Kuna nini🤔
@happymkasiwa5944
24 күн бұрын
❤❤nimewahi le mimi ❤❤❤
@Tamarimduge
24 күн бұрын
Kazi nzuri❤🎉🎉 busati tv, penda sana kwa kazi yenu🎉
@elvinakalu6991
24 күн бұрын
Mulamba na mkeo ,love yenu iko 🔥 kweli ❤❤❤❤
@AliceCharo-wz9oz
24 күн бұрын
13 minutes bsi comments kibao hamulali😂😂😂team oman kujeni
@tabithanzisa9755
24 күн бұрын
Mnatisha sana good work team❤❤❤❤
@Mr.franckayo
24 күн бұрын
Aya sasa wa 457 naombn lik zang
@SilivesterkalaniJr
23 күн бұрын
Busat TV 📺 ni ❤️🔥❤️🔥💟💟💟💟💟
@Rahema123
24 күн бұрын
😂Mie wangapi jamani maana kila mtu wa kwanza 🎉🎉
@PrittyMacha
24 күн бұрын
Good job❤❤
@YusraSiyaleo-yk2fz
24 күн бұрын
Na mm like ndio kwanza dakika ya nne 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@CarolyneNyanchama-yk1gf
22 күн бұрын
Nawapenda sana kilamba na mkeo mnapendeza aki❤❤❤ naona candy anaendelea kufunzwa na ulimwengu
@user-qr6wq9kk6c
24 күн бұрын
Mashaallah movie nzuri
@user-rm1bd7uc4s
24 күн бұрын
Yamekufika candy 😂😂😂
@AtiAlsarsi
24 күн бұрын
Weee kaii kazi unayo hapo sasa weeee candy nayee nacheke 😂😂😂😂😂 sanra nayee nacheke 😂😂😂😂 weee kikweli hii mvi inafunza kitu ama kweli weeee ongera sanaa kwa bsati tv🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@DoreenOmmy-gw3op
24 күн бұрын
Haha haha sasa kendy wew namama yako nani nani kamfatilia mwennzake alafu shida ya kiburi unaona Kama wanakuonea kumbe ww ndio shida
@fammamourchy2164
24 күн бұрын
Sana Kai Zuu Malaika N'a wengine pia mpewe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Busati TV nasubkri movie mpya kutoka kwenu ❤
@user-rf2cg9tv3u
24 күн бұрын
Cdy awo shida wenishida na umemzarau mama Yako mzazi ndio mana unapata matatizo kila bukicha na zambi unazo nyingi
@user-wt1dn2dy6o
24 күн бұрын
Wangapii wanasema candy angejiua tuuu😂😂
@exaverysimon1064
24 күн бұрын
DUH YAN HAINA HATU NUSU SAA VIEWS 10000 NOMA SANA❤❤❤❤
@Sayd-pi5lq
23 күн бұрын
Uyu bwege anae himiza candy achukue hati naic km ana mpango kivyake
@user-ki9le1jy8e
23 күн бұрын
Pongez kwen busat kwa kaz nzuriiii mungu awatie nguvu Sana ❤❤❤❤
@user-rg5im1ls4j
24 күн бұрын
Karibu niangushwe na waomba like, jamani taratibu basi😂😂😂
@AggyMsoo
24 күн бұрын
😂😂😅
@buru1235
24 күн бұрын
Wooyii Tasha ugeambia kai achukuwe sitakabathi za nyuma afiche uko kwa ju candy akipata we ndio.kwisha sasa😢😮
@RizikiZiki
23 күн бұрын
Yani iyi move huwa sipendi iishe kiukweli ❤ pongezi kwa mutunzi na wacezaji piya mungu awape kila lahery naawape itaji la moyo wenu
@linagervas
23 күн бұрын
Kwan umelazimishwa kuifatilia
@Marlenapilikitsao-gk9je
24 күн бұрын
Mungu awabariki kiramba Na mke_ wako mzidishiwe mnapo punguza Kwa ajili ya baba.kai kinacho nyelewa Na mwana hakikatwi baba Amini atakusamea mana anajua haikuwa akili yako.fanya Hima ufike ufunguke zuu anakutafuta mapenzi wako ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@zahraali5113
24 күн бұрын
Waooooooo❤❤❤ mbarikiwe sana
@Shinyg3l
24 күн бұрын
Yan candy hawez fanikiwa kwa lolote kwa laana aliyonayo🙄😉😉
@TatuWomen
24 күн бұрын
Watu wako macho du😂😂
@sommohd7903
23 күн бұрын
Sijawa kuomba like lkn Leo naomba msamaha kama niliwah kukoment vibaya😔
@user-yp7qy2qf7k
24 күн бұрын
Mnatuboo mnatuletea kipande kimoja na mlikuwa mnatoa viwili kwa siku
@user-yi9is9ng8w
23 күн бұрын
Waliokua wakisubiria Episode 41 kama mimi ebu eka like❤
@busatitv
23 күн бұрын
Tupo mpaka episode 43
@JladyKadzo
24 күн бұрын
Please hii series ni nzuri ila mnafupisha mno jamani mbona yani afadhali hata nyimbo inakawia hii hapana mmezidi hebu mtuongezee dakika bwana
@busatitv
24 күн бұрын
Asante tutajitahidi
@JladyKadzo
24 күн бұрын
@@busatitv tutafurahi mkifanya hivyo
@macrinafuraha-zg3mi
24 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂kumbe candy bado kinaendelea kumramba ebu acha tuone sania yuko na mpango gani
@NuruenezaJosephEnock
24 күн бұрын
Daaaahh jaman mbona hata sielewi tenah hapa kweli Kuna ndoa ya Khai na Zuuh aaaahh
@Mrslindemalaba
24 күн бұрын
Kai pea wenzako ua kutoka kwngu🎉🎉🎉🎉🎉,,kazi nzri
@ModestaValensi
23 күн бұрын
Kazi nzuri BUSAT TV
@MariahJuliuss
24 күн бұрын
Nipate wap lafiki km huyu wakutunza mzazi wangu km wake🎉❤🎉❤🎉❤😊
@user-qw6wq7in4m
23 күн бұрын
Np hapa
@bintiabdallahmwakulani6350
24 күн бұрын
Mashallah moive tamu❤❤❤
@user-gt6in2ru1b
24 күн бұрын
Polepole jaman mnanikanyaga 😢
@Saumu254
24 күн бұрын
😅😅😅😅pole😮
@user-sc5gt6gs3s
24 күн бұрын
Tupishe sasa
@NeemaMbena-u1e
10 күн бұрын
Kaz nzuri jmn mbarikiwe💟🥀💌
@HadijaHamisi-yt3pn
24 күн бұрын
Next plz daah candy ulinishinda tabia😢😅😅😅
@user-lj3tc1xs5j
24 күн бұрын
Jamani mbona hii ni fupi Sana kuliko hile 😢😢😂
@zuleikhaissa684
24 күн бұрын
Kai jitaid candy asiipate hati nitafrai sana
@JackilineKashindi-bj9iq
24 күн бұрын
huyu naye apunguze kuongeya anaongeya sana sio poa
@Igra254
24 күн бұрын
Hizo episode Ina maajabu noma sana❤
@user-rz7hz6hz1i
24 күн бұрын
Mama ni mama atakuwe kicha ni mama
@user-pp3vo8rw5j
24 күн бұрын
Yan huyu mwanamume amefanana na serengo hayo maringo 😂😂😂
@JullianaEmmanuel-tm5xg
24 күн бұрын
Ila kiukwl candy au shida n mmbaya jaman Jaman, Mungu anisamehe
@asuminimiti
24 күн бұрын
Leo nimewah namim like jaman hata tano
@user-yb6wh1bk9d
24 күн бұрын
Anae jua km candy atafanikiwa kuchukua hati nani gonga like
@user-zc8lx5nf7t
24 күн бұрын
Jamani eee mi nasubiri episode nyingine aise ❤❤❤❤ yani kendi kimemlamba
@WAZIRIKITAMBI
23 күн бұрын
Very nice Mwandishi umeweka mazungumzo marefu wazungumzaji hisia na uhalisia mdogo Ila nawapongeza kazi nzuri
@MiriamSamita
24 күн бұрын
Busati tv ooyee😂😂😂
@ggfwtgg1652
23 күн бұрын
Candy bola ungejiua akuna kitu umebakiza nenda kwa mwenye uryauzito chiku 😅😅😅😅yaani Sania na Candy mumevurugwa kinoma ❤❤❤❤❤
@busatitv
23 күн бұрын
😍😍😍🙏🙏🙏
@TantineZuzu
24 күн бұрын
Pongezi kubwa jamani kwa team nzima ya Busati tv kwa kazi nzuri 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
@paulinekombe3753
24 күн бұрын
Good work ❤❤
@MwanakombomohammedKimbonja
24 күн бұрын
Huyu cendy mwamchekea 😂😂
@user-qu4qy3lp8y
24 күн бұрын
Kazi nzuri Mungu awatangulie
@busatitv
24 күн бұрын
Asante sana🙏
@user-yu9qn4oi3g
24 күн бұрын
❤❤❤ Kazi nzuri sana 👍 ila shida anamakasiriko jamani ndo nn Sasa kumharibia Sania 😢
@ashaomary249
24 күн бұрын
Mimi sipendi like zenu 🤣 Mimi na enjoy tuu Burudani 🥰
@fatumamkuzi8051
24 күн бұрын
Kwani mwaraukaje jamani 😢😢😢😂😂😂😂😂😂
@user-kr4xr7ix1u
24 күн бұрын
Nimefika mapemaa🎉🎉❤
@Betty-ls6yz
24 күн бұрын
Nimezani Mimi wakwanza kumbe mupo wengi😂😂
@angelmauja1846
24 күн бұрын
Wanaoungana na candy wote hawana maana
@ZayAwazi
24 күн бұрын
Siku nyingine mkiangalia kama mmewahi mueleze kwenye comment kilichoendelea maana naangalia huku nasoma comment hyu madevu ya mbuzi simkubaligieata kidg
@busatitv
24 күн бұрын
🤣🤣🤣
@Mwana85Mwana85-wz1ol
23 күн бұрын
Kiramba mchuzi mke wako mzuri san wallah mashallah kiramba mchuzi pote ulipo kuna wageni wanakuja je kazi utaenda au np mwana kutoka 🇴🇲🇴🇲 aya ngoja nione
Пікірлер: 666