sija furahisha na huyu mganga kutamka kina swahaba mkumbwa abbakari sidiki kwa mambo haya mwe anaangalia majina yakuchezeahezea huyu ni swahaba mkumbwa sana
@nasrachimamy
9 күн бұрын
@@busatitv kusem ukweli busat asahv mnaanz kufel movie mnaanza kuiyairib sis mashabik zen mnaanz kutuker chwa kwanz candy asahv ayupo kweny uwalisia wa maisha Cha pili movie mnaanza kuirudish ten nyuma km jua Kali yan Baad ya kwend mbele mnatuboa sasa story mnaanza kuiyairib tupelekeen matukio mbele sio kuirudish nyuma ilikuwa inaenda vizur to lakin asahv sijui mnaanza kufel wapi zuu asahv ingebid afurahie maish yake Tasha amoe zatit candy Sania na chiko wajutie walichokifany lakin mnaanz kuirudish ten upya story mnatuchangany Wana busat rekebishen story yenu jamni
@ShAMIMURASHIDI
9 күн бұрын
@@MuzznaMo12kwely😢
@manirambonajeanne3876
6 күн бұрын
Busati mumezidi kendi munamupa maneno makali sana yy niwakuongea hivyo mbele ya baba kayi hapana mulipofika mumupee matose nasania na ciko munaendelea kutuludisha nyuma
@user-cg8ti1re1t
10 күн бұрын
sania umuache mr tash jaman maana hatutaki kumuona zatiti wetu akiwa n huzuni🎉🎉🎉n candy nawe uachane n kai wetu kbs 🎉🎉sipend kumuona zuu akilia plz🎉❤❤❤nawapenda nyote munipee like
@RehemeAlfonce
9 күн бұрын
Ni vizuri pia tukamkumbuka allah na tuombe mwisho mwema najua habari ya allah hamta like lkn ukisoma tu kwangu mimi ni faraja ijumaa kareeem🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@asuhabib8103
9 күн бұрын
Amin
@RehemeAlfonce
9 күн бұрын
Amin insha allah🙏🏾🙏🏾
@saumodzumbo9671
9 күн бұрын
Amiiiiiiiiiiiiiiiiiiin yaraabiiilaalamini nawe pia kipenzi cha Allah 🎉🎉🎉🎉
@RehemeAlfonce
9 күн бұрын
Asante sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@يعقوبالغماري
9 күн бұрын
Ameen inshallah ❤❤
@MariaFelix-le7ph
10 күн бұрын
Kai usiogope wala kutoshwa na maneno ya candi .candi atoweza lolote juu yenu bibi zuu anailinda vizur ndoa yenu.kama unaamini hilo gonga like🎉🎉🎉
@JescaDenis-d2r
10 күн бұрын
Sania na candy mtuachie wapendwa wetu kai na tasha hatupendi mnavyowafanyia kama na nyny wenzangu mnachukizwa na matendo yao gonga like nyingi tujuane😢😢
@mwajeirajabu9154
10 күн бұрын
Yan we ndo umeongea point aswa Yan uyu candy ni mwezi mchanga Yan me simpend
Wa2 wanajaribu sana kutuumizia zatiti we2 na tasha lakin tunaamin mungu atawasaidia watakua p1 tu haijalishi nini😂❤❤❤🎉🎉 tupo kwaajil yao mpk ndoa iwepo jmn😂❤❤❤❤❤ atakae kubaliana na mm atie lykes zake jmn❤❤❤❤
@saumodzumbo9671
9 күн бұрын
Amiiiiiiiiiiiiiiiiiiin
@irenirenemickdadi
10 күн бұрын
Anae amino house girl inaenda kufikia mwisho tujuane kwa like apa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HalimaCharo-n2b
10 күн бұрын
Zatiti usiwe na hof . Tasha yuakupenda Sana achana na hao .. endelea na Tasha yuakupenda kwa dhati ❤❤
@user-uo2xk2et5n
10 күн бұрын
Baba mtarajiwa kai maua yko 🎉🎉
@MullaMbodo
9 күн бұрын
Ila hii movie ili ishie pazuri ni lazima Mr Tasha na zatiti wafunge ndoa na zatiti apate ujauzito kama mnakubaliana na Mimi naombeni like zenu❤🎉🎉❤
@user-zc1qh6ti2p
9 күн бұрын
We mulla wewe apo kweli umeongea vile vya mawazoni mwangu.
@KemmyMercy-my9uf
2 күн бұрын
Ukweli mtupu 🙌
@aishaomar2287
9 күн бұрын
Nlipenda ubunifu wa dalili za mimba🎉🎉🎉 sio kila mimba mtu atapike❤...Mashallah
@SalmaJumanne-sn7tt
10 күн бұрын
Kama mtu anaboreka na upole wa Tasha kwa sania kama mimi like hapa.
@aminaomar6267
10 күн бұрын
Tasha ni mpuuzi sana niliona ni mwanaume rijali lakini hamna kitu
@nasrachimamy
9 күн бұрын
@@aminaomar6267San yan
@TeresiaJohn-wk3sz
9 күн бұрын
Hat mm nakereka hatr
@fatumakamwendo7894
9 күн бұрын
Naboreka adi bc mzemb mzembe
@Maggy-nr4un
9 күн бұрын
Ananikera sana nigekuwa mimi ngempa vingoto😢😂😂
@QweenNickson
10 күн бұрын
Leo nimekuwa wa 29. More blessings kwako utakae soma comment hii.
@ShadrackMwahali
10 күн бұрын
Mi siombi like zenu bali nawatakia ijumaa Kareem ❤ wanaompenda zuli ❤ na baba kijacho
@HidayaMbodze
10 күн бұрын
Nawe pia
@ShadrackMwahali
10 күн бұрын
Okay 👍 my dear
@FaithJoshua-n8n
10 күн бұрын
Zatiti jamani very beautiful 🎉🎉🎉 nakupenda tu bure
@lavenderokunani
10 күн бұрын
Wenye tuko na imanini sania hatafaulu piteni na likes
@hassanrashidy3490
9 күн бұрын
Jamani mm Leo nimekuwa wakwanza naombeni like
@SarahCharls
10 күн бұрын
Kilamba nakupenda buree style zako hizo unanifrahisha, alaf tasha kuwa na msimamo
@prettyney3812
9 күн бұрын
Mnajifanya hamjaona kumbato la kiramba na mkewe❤❤❤😂😂😂😂😂😂
@FrankLuhaha-dt5sh
9 күн бұрын
Jamanii tunaoaminii movie nzulii gonga like ❤❤❤❤😂😂😂😂hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@AngelMoses-pd3bo
9 күн бұрын
Yaan hii mv sio ya Kuisha Leo wala kesho ndo Kwanzaa kumeanza kuchangamka team zuuu mkuje apa😊😊❤❤❤
@KhadijaMdee
10 күн бұрын
Waooo mapema 2 gonga like tujuane
@RehemaMwakisyala-k9u
10 күн бұрын
Zatt sio Kila kitu kulia vingn vya kujiuliza sana na kunifanyia uchunguz
@fammamaboko6543
10 күн бұрын
Chap chap li saa limoja tu Niko wa 190 Busati TV n'a groupe lote Mungu awabariki
@SelestineNgongesa
10 күн бұрын
Kazi nzuri sana nawapenda sana muwe na siku njema
@FarhhFarhh
9 күн бұрын
Kendi dunia utayona shungu kai usimusame atakumaliza me dear zoo mama kijakyo ❤❤❤❤
@TabiaMwaisumo-ss7pz
10 күн бұрын
Mwanakulitafuta mwanakulipata candy na sania waalijifanya vichwa maji ona wanavyoteseka ujeuri haumwach mtu salama😂
@Viviano-z6i
10 күн бұрын
Jaman si huyu candy alikua na mpambe wake sijui anaitwa masozi ako wap vile si amfuate akamuombe ushauri😂😂😂
@carolinenyadzua2458
9 күн бұрын
Mubarikiwe nyote mnaofuatilia movie hii
@Nadzuwamangale
10 күн бұрын
Candy utaniuwa na kicheko mamaaaa 😂😂😂😂😂😂😂
@mwanamisikifogo869
10 күн бұрын
Dakika 8 watu 130 kwa kweli 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤mr Tasha na imana utatobowa na zatiti wetu mko kwa vita kubwa sana😢😢😢😢😢❤❤❤❤
@fatfat9093
10 күн бұрын
Kai unakosea ungeruka nanteke baba anaitwa mbwa upo 2 Mr Tasha xv ishaaribiwa maskini .zuu unamimba oyeee❤
@AzizaAli-nh9zm
10 күн бұрын
Mimi siombi comments wala likes maana ata nikiomba sipewi😢😢😢
@nancyg8664
10 күн бұрын
😂😂😂comments tena
@carolineoganda4277
10 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@KilebeJr
10 күн бұрын
🎉
@AzizaAli-nh9zm
10 күн бұрын
@@nancyg8664 🤣🤣🤣🤣🤣🤣ukweli usemwe bana
@FetrissJanni-lb5il
10 күн бұрын
Shida ime aza apo kwenye comment!! 😮
@HudhaimaYussuf
10 күн бұрын
Watu wa humu ndani wanapenda kuomba like kam wao ndo wanoigiza hizi movie 😂😂😂😂😂😂
@haluarahma3071
10 күн бұрын
Mpumbavu mwenzangu nawapenda bure❤❤❤candy na Sania Wana laana aki😂😂😂😂
@merinazyd0532
10 күн бұрын
Zuuri anamimbaaaa😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
@MaryMichael-w1l
9 күн бұрын
Jmn tunaotamani house girl ioneshwe dstv Maisha Magic Bongo ichukue nafasi ya jua kali likes hapa🎉🎉🎉🎉😂😂
@happybalence
10 күн бұрын
Nimewai jmniii naomb like bsi
@MariamHamisi-ti9vb
10 күн бұрын
Aky naumia pindi nikiona Tasha na zatiti hawana Amani kbs 😢😢😢😢naona ni basi siangalii tena hii movie 😢
Hiyo nzuri Candy alivyofanya, natamani Kai anusuru uhai kwa Zuu kwa kukubali kuachana Ili movie ichangamke Candy aingie battle na boss, ndio I like
@ZamdaMouhammed
10 күн бұрын
Ww kaka mnafika unataka kuwagombanisha wapendwa wetu zatiti na tasha
@IptisamAbdul
10 күн бұрын
Am the first one 😢nipeni like zangu🎉
@JullianaEmmanuel-tm5xg
10 күн бұрын
Vp tena zatiti wana mvulunga jamn , hzo pcha vp
@nasrachimamy
9 күн бұрын
Hii movie inaanz kunikera wallah yan candy anaigiza asahv hayupo kweny uhalisia yani mnaboa sasa mnamtesa mr tasha na zatitnaboa wallah
@Kibofuguidefrancophone
10 күн бұрын
Mimi leo ni wakwanz kwaio naombeni 2:34 i like zenu please leo😊
@fatmahaji7639
10 күн бұрын
Kai baba mtarajiwa safi sn nawapena wote niko omani nikirud niwatafute jamani
@wemaruth6068
9 күн бұрын
Pesa kidogo unataka kutafuta actors 😂😂😂
@MrsMariam-x2s
9 күн бұрын
Nauyo saniya jee bado mshirikina tu daa jamani kayi ukimrudisha shida basi mttukera Masha biki wenu
@user-rp4qz5xs2t
9 күн бұрын
Ongera sana zuuu kwa kubeba mimba ya khai nawapenda sana
@Marlenapilikitsao-gk9je
9 күн бұрын
Candy Sania hamjaacha wenzenu wanywe Maji Kisa wivu mtakula jeuri yenu mungu Wa Nema Yuko upande wawaco Na dhambi kumbuka WW umetengemea mwana Damu huku wenzio mungu mbele mtashindwa mtaona watu wakinawiri hatimaye mtajutaa.Bibi ashayaona hayo maovu yako atadili Na wewe shinda
@user-xf3uj9xg2o
10 күн бұрын
Ila jmn mbon wamfanyia ivo zatiti chawa wa chiko mungu anakuona mwachen jmn mr tasha na zatiti wake ila naamin mahusiano ya ivi ndo huwa yanakuaga yanadumu 😢😢😢😢 zatiti pamban na huo kimbaombao ukamnyongelee mbali kule 😂😂😂😂😂
@user-yt3nn9gz8u
10 күн бұрын
Hafu Hawa wadada wawili kendi Na chembamba wetu hapo😮😮😅 wanaboa sana utakuta hâta kwenye maisha Yao Iko hvo
@AshaKadzo-d9s
9 күн бұрын
Mbona mwanitesea zatiti lakin aaah sipoa tasha fantastic haraka umuoe zatiti angalau apumuzike kilio cha kila siku
@zawadichengokatana4750
10 күн бұрын
Candy kubali matokeo tu ulilikoroga linywe 😂😂😂😂😂😂
@EvaluluMpandagoya
10 күн бұрын
Nimewahi jaman naomba like na mm
@MohamedMwaya
10 күн бұрын
Mbn hakuna sauti jmn
@ErastoNgerangera
9 күн бұрын
Da zatiti unapenda sana kulia ebu punguza kulia jamn adi na mm natamn kulia khaaa😢😢
@uwizeyechristine2704
9 күн бұрын
Jamani Tumuombeye Zou Mungu alinde kiumbe chake kbs wasiji kumzuru🙏
@FetrissJanni-lb5il
10 күн бұрын
😂😂😂😂 nyie Candy kuomba msamaha awezi 😂😂😂😂
@nasrachimamy
9 күн бұрын
Hayupo kweny uhalisia anaigiza Yani
@user-lo5jz9ds4s
9 күн бұрын
Ujeuli tu kuomba msamaha aaah
@nasrachimamy
9 күн бұрын
@@user-lo5jz9ds4s sana
@JanetRiziki-ut2is
9 күн бұрын
Jamani candy muache kai na zuu waishi kwa furaha jamani 😢😢😢😢
@ShababiHalidi
9 күн бұрын
Ila candy sijui hata yukoje😅😂😂😂😂😂😂😂😂
@RehemaMakita
10 күн бұрын
Tasha we mwanaume Fanya maamuzi unaruhusu vipi Sania kukushikaaa
@user-zc8lx5nf7t
9 күн бұрын
Woyooooo 😂😂😂 kendi bhana anachekesha 😂😂😂😂😂
@gracenyevu8082
9 күн бұрын
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
@carolinesidi-od4ni
10 күн бұрын
Jamen ata msamaha hajui kuomba Cady 😂😂😂😂😂
@brendanawanga
10 күн бұрын
Zuu congratulations ❤❤Kay congratulations ❤❤
@RazikeRara
9 күн бұрын
Kilamba aky umenichekesha sana yan ufungue macho alafu ufunge mmmh
Jamn wawe wanamuacha zatit at afurah kwa sk mojmoj jmn kil sk ye kulia tu daah😢
@SelestineNgongesa
10 күн бұрын
Congratulations zuu na kai
@JohnsonChristopher-my8lz
10 күн бұрын
Leo nimekuwa mtu wa kwanza, Kaz nzuri ndugu zangu malizeni jamani tunasubiri MY MOTHER
@AnnoyedMarsh-is4nr
9 күн бұрын
Jamani nimefurah sanaaa nilipockia zuu ni mjamzito nimepata furaha isiyo na kifani mashaallah Allah amfanyie wepesi Zuu wetu aweze kuitunza mimba yake na aweze kujifungua salama inshallah
@sofiakinyia2734
10 күн бұрын
Huyo chawa wachiko simpendi 😮😮😮😮😮
@jacklineteresia2629
9 күн бұрын
😂😂😂😂chawa kweli😢
@user-xo7ns7bc8c
9 күн бұрын
Anakera ss mbona apige tu picha.yaani kaz yao ni kuharibu ila ukwel utabakia kua ukweli mbona hachukui video juu anajua si ukweli
@TamariLucas
9 күн бұрын
Jmn xjiu wafanyajee tashaa
@Scolayusuph558
9 күн бұрын
Congratulations Kai bey
@CatherineChege-w5x
10 күн бұрын
Wakwanza like zangu from kenya 🇰🇪
@user-bg8qi9cx9w
9 күн бұрын
Zatiti usiangaike sana tasha anakupenda
@JenifaLameck
10 күн бұрын
Leo wa 38 jamn like kwangu jaman ila watu hamlali😂🎉🎉🎉
@neemamwasomola8663
9 күн бұрын
Nawapenda mnavowaisha kuleta picha
@JohnJohn-z4j
10 күн бұрын
Wanao amini doa ya zatiti kutakuwa balaa lakini awato weza tujuwane kweny lik pia wanao amini kama khai ni mwana ume sai kwa mke weee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@chandeemanuel6303
9 күн бұрын
Shukrani yapunda mateke mama Olivia
@ChristineMakori-om7nt
10 күн бұрын
mm n mgeni huku na siombi like 😂lakini ivi candy hata msamaha hajui kuomba kwel yaani anaforce 😂😂😂😂😂
@Farthun
10 күн бұрын
Mmmmmmmhh hata naanza kuchoka kuangalia kwann zuu na zatiti waumie jamni hawana hatia jamni waacheni wafurahi japo kidgo maan candy atafanya kitu kwa zuu 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@user-tx6ir9oe6u
10 күн бұрын
Bibi atakua wapi
@Farthun
10 күн бұрын
@@user-tx6ir9oe6u hata sijui atazui vp maan vita sividogo
@MariaFelix-le7ph
10 күн бұрын
@@user-tx6ir9oe6uet bibi zuul namuamini ako makini sana mjukuuwake zuul aisha vizur na kai .
@tigejuma9865
10 күн бұрын
Nmecheka xna Leo....eti hio mimba itolewe araka upesi iwezekanavyo.....Yani candy Yule wa vurugu ndio huyu Leo hii ako na majuto.....Kai usikubali candy awe mke WA pili...anaiga huyo....atamtilia zuri dawa pregnancy itoke.....usicheke na nyoka Kai..😢😢
@MariaFelix-le7ph
10 күн бұрын
Kweli kabisa uyo candy afai ni muuwaji
@PriscaKagendo-w7q
10 күн бұрын
Wee cady ni shetani mkumbwa sana mkiwa na Sania wapuuzi sana
@MariaFelix-le7ph
9 күн бұрын
@@PriscaKagendo-w7q kabisa yani siwapendi at kidogo
@user-oj5ro4fk2e
10 күн бұрын
😂😂😂😂sania kitakuramba 😂😂 ila mkona kazi dzuri sana ila sijapenda mkaka mmoja kuchukua picha mbaya sana huyo mkaka jaman mgonganishi sana sijapenda
@FestusJuvinary
10 күн бұрын
Weweeeeeeee wale ambao hatulali mtandaoni tayali tushafaulu juuu ya kuwa mtu wakwanza by chai na nkozo mpenzi wa house girl
@KeristiStel
10 күн бұрын
Nampenda sana kiramba na la mshenzi wako
@DominikaBahat
10 күн бұрын
Candy umevaa Ivo jaman ongera nimekumbuka mbali sana nimekumbuka mwalimu wang wa mathematics madam batulii daah mung akupe maisha malefuu
@ZabibusuphianialisuphianiAlly
10 күн бұрын
Tasha kwisha habari Yao😂😂😂😂😂 guys tuanguke nayo sasa 😂😂😂😂🎉🎉🎉❤na mnipee like sasa
@esterkimalio8846
10 күн бұрын
Hahahaaaaaa😂😂😂😂😂nimecheka mnooo,,,candy unasemaje? Mimba itolewe zuu auliwe aloooh hapo umeharibu kila kitu😂😂😂😂na wewe sania hautafanikiwa unachotaka
@agapitshayo-cy7vy
10 күн бұрын
Hongereni sana leo nimewahi🎉🎉🎉
@user-nt1do3vn8x
10 күн бұрын
Yaani huy cand kapata nafasi kapoteza bahati haiji mara mbili
@user-xo7ns7bc8c
9 күн бұрын
Na alivyo mpuuzi hata kama mtu unaomba msamaha ni kwa namna ile kweli huyu kashindikana kweli
Пікірлер: 708