Walaikum salamu tunashukuru tushasali. Tayari na shukrani Kwa ukumbusho👏
@Sofiashabani780
7 күн бұрын
Kwa nafsi yng nishaswali
@FaithJoshua-n8n
7 күн бұрын
Mm apa wakwanza ata msipo Nipa like ni mm tu😂😂😂
@user-oo1rl6ke7y
7 күн бұрын
Wa kwanza kutoka moshi naomba like zangu tafathali waungwana 🙏
@CarolineBosibori-r7r
7 күн бұрын
Wa kwanza kutoka Kenya,,,tulionza kutoka episode 1 ,,tuliotoka TikTok mpo
@WitnessMaile
7 күн бұрын
Nasktika kwamba da candy unaenda kutapeliwa jaman pole 😢😢 kama na ww unaamin eb like tuone😅😅
@milkamafu
7 күн бұрын
Nimekuwa wa kwanza Leo like zangu naombeni 👍
@user-st3wo7qi2v
7 күн бұрын
Mapema ndio best ❤❤
@maxmiliankadawiibalaja2198
7 күн бұрын
Twenzetuni pamoja mpaka kieleweke Candy 🍬 na jopo lake la kuangusha upendo wa Zuul kwa Kai pia Zatiti na Tasha
@irenirenemickdadi
7 күн бұрын
Yani kwenye hii movie wanaume ndo wambeya kushinda wanawake,mfano chissa Kwa mimba ya candy na huyo papaa ndo usiseme❤❤❤❤❤❤
@SandrineDupfiki
7 күн бұрын
Dakika tano2 watu wamejaa kibao naomba liké hâta tano basi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@NasraHussein-jf5qx
7 күн бұрын
❤
@Liam-rh7ps
7 күн бұрын
Wakwanza mim lei😂😂😂😂
@Mariamujumainne
7 күн бұрын
nimewah leo wanawotaman zatiti aolewe natasha gonga hapa
@mwanakombopopo5117
7 күн бұрын
Nilitaman kappa nimeshukuru maana sioni dalili😢
@user-sv5te9ft9m
7 күн бұрын
Kazi nzuri nilikuwa nimekaa nasubili episode 54
@dianaqueen7967
7 күн бұрын
Nko ndani kama mimba ya Zuu❤❤❤❤
@LydiaCostantine
7 күн бұрын
Humu tu humu tu 😂
@dianaqueen7967
6 күн бұрын
@@LydiaCostantine yeah 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
@zawadiKimaro-xh6wx
7 күн бұрын
Wakwanza Leo kutoka zanzibar gonga like hapo😂
@MshefaMshefa
7 күн бұрын
Naomba kendy atapeliwe adi nyumba alie😂😂😂😂
@user-tx6ir9oe6u
6 күн бұрын
Wololo hiyo imeenda hivo😂😂😂😂😂
@user-iv6yx5ot6f
6 күн бұрын
Yani akitaperiwa nitafurahi asikwambie mutu
@PriskaKapinga
7 күн бұрын
Wakwaza😂😂❤
@Liam-rh7ps
7 күн бұрын
Wallah Leo house girl haijabamba😢😢
@ModestaValensi
6 күн бұрын
Wanaoamini kama kandry kitamlamba😂😂😂😂😂😂
@AshuraIssa-j8s
7 күн бұрын
Dah!mama candy eti pakubonyeza anatoboa😂😂😂
@haluarahma3071
7 күн бұрын
Candy na kibenduu waah ni balaa😂😂😂😂
@Rtyf4
7 күн бұрын
Ila leo nimewasili mapema naopeni like jamani team strong 💪
@AllyBabu-kr6lg
7 күн бұрын
Nyie mnao omba laiki ebu acheni ukochokoleti mtapelekwa sengerema mwanza
@MGASHATV
7 күн бұрын
Mbona hii picha inazidi kushwawishi kama na ww inakushawishi kama mm like hapa ❤
@JoyceCharo-s4n
7 күн бұрын
Kibedu unacheza kihuni huni lakini uko sawa sana 🎉🎉🎉🎉 congrats❤
@TimotheoNdonde
7 күн бұрын
Leo kwer sijacherewa sana nawapenda san
@emtonboyofficial1134
7 күн бұрын
Wanaohisi sania atanyanduriwa namganga weka like hapa😂😂😊
@HudhaimatHaji-wf8nh
7 күн бұрын
nimewahi jmn like hp❤🎉nawapenda wote usk mwem vipenzi 🎉
@Swabraguga
7 күн бұрын
Nimeidaka😅😅😅
@daphinekemto3094
7 күн бұрын
Hooyaaa tangu kufike 100k subscribers nmetafuta wageni tisa nani mwingine ametafuta tuendelee kushirikiana kwa hii channel ya busati ❤
@MagrethMwajombe
7 күн бұрын
Wakwanza
@JosphatNzumbi
7 күн бұрын
Mko sawa kabisa
@ElizabethNanjala-lm5ec
7 күн бұрын
Mlio online Sasa nawatakia usiku mwema Mungu awalinde 🙏🙏🙏
@RenathaKalamage
7 күн бұрын
Number one
@sifamaureen2792
7 күн бұрын
Munatubeba Vibayaunqsahau Sisi ndio wateja wenu,mbona muendelezo unakawia,mnatoa movie INGINE,mbona mwatuchanganya?? Munapoteza utamu WA house girl,sio POA lakini,misionesuko na wateja wengi,twaeza potea mwalijua hilo??, yenyewe mukitoa ni dakika kidogo tu,angalieni mufano WA baba karobo,( baba yangui kipofu) makinikeni kameni😮😮
@prettyney3812
7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 watu mko wapi leo
@AbedMmm-o4p
7 күн бұрын
Mapema ndio best nalo nalo lakini like hazipo jamani
@HilgathRamadhani-zh8ru
7 күн бұрын
Candy kwisha
@SuzannMukuna
7 күн бұрын
leo mimi wa kwanza naombeni likes hata moja wapendwa
@PhinahPaschal
7 күн бұрын
Jamani leo ni leo
@IshaNandanje
4 күн бұрын
Jaman katika hii move nampend xan dad dhatiti na tash mung awabarik mahuxian yen kingn dada dhatiti uxikubali kulud kwa chiko tulia na tasha
@user-yb6wh1bk9d
7 күн бұрын
Jamani tuonyesheni Tasha na zatiti😂😂😂
@NadiaRamadhan-q1m
7 күн бұрын
Leo mewakwanza naombeni 🎉🎉like
@KuvunaGonda
7 күн бұрын
Twendeni nalo kwawakati huu candy kitamramba 😂
@SharonJovin
7 күн бұрын
Jaman Leo nimewai candy anaenda tapeliwa
@user-hp3vn4kc4s
7 күн бұрын
Kazi nzuri sana team Busati tv🇹🇿
@KhairaSalum
7 күн бұрын
Jmaniiii💥💥💥💥💥💥
@HarrietNeema-d9v
7 күн бұрын
Wakwanza leo jameni team busati ❤❤❤❤❤
@CarolineBosibori-r7r
7 күн бұрын
Wa kwanza leo team strong mpo ndani ❤❤,,wapi like za mama tasha
@catherinemuema1761
7 күн бұрын
Leo mimi wa nne kufika nipewe haki yangu 😂😂😂
@ZayNiyonzima
7 күн бұрын
😂😂😂😂watu tuko vizur goma likija to tumeinasa
@Anjira960
7 күн бұрын
Nawe papaa kuongeza majina tu kutoa hela haaaaa
@maimuna9132
7 күн бұрын
😂😂😂😂😂 Ajabu leo mimi wakwanza jamn sitaki like mimi
@AminaPtg
7 күн бұрын
Ila mama ety kibend hana dogo pakubonyeza anatoboa😃😁😁😁😃😃
@marymele9714
7 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@didaAli-p9w
7 күн бұрын
Asalam alikum Leo nimewahi nipeni like jaman
@Hapygideon
7 күн бұрын
Mganga anataka upwiru😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@SamwelyNyabenda-k5u
7 күн бұрын
Jamani mwenzenu mimi sina hata like 👍👍 naomben like 👍👍 hata mm🎉🎉🎉🎉
@JaneChanga-pi6lq
6 күн бұрын
Candy wee candy utakunywa pombe chooni utaona
@richardmchau6779
7 күн бұрын
Wanaoamini candy atajuta maishan make gonna like😅😅
@Rehemamakuka
7 күн бұрын
Kwa jinsi ninavyoona akina papaa watakuja kugeukana
@NeemaLuambano
7 күн бұрын
Kwelii kabsaa
@marymele9714
7 күн бұрын
Kabixaaa
@user-ni3bd2hs9x
7 күн бұрын
Hello wao namba moja piga kelele
@user-gg8kt2jm5y
7 күн бұрын
Af kibendo ni handsome kweli❤❤
@DianaDenice-py4im
7 күн бұрын
Tupo❤❤❤❤
@everlinenjuguna2281
7 күн бұрын
Wueeeeh ya leo kali ❤❤❤❤
@MichaelMosesmg
7 күн бұрын
Nafurahia hii kitu kama unawakubali dondosha like me wa kwanza kabisa
@Leilajepmtu
7 күн бұрын
Nini tena Kwa mnganga tena dada😂😂😂😂😂
@jackmsuya9599
7 күн бұрын
❤
@AgnesDavidmtalemwa
7 күн бұрын
Leo nmewahi jaman kai na timu yako kila mmoja agoñge like 50 tu zinatosha
@user-iv6yx5ot6f
6 күн бұрын
Nikigupa linki yangu ufike unaenda kuiripa kodo😂😂😂
@herveiratunga3656
7 күн бұрын
Wakwanza kutoka hollande nipeni ata 2like
@Binty-z7g
7 күн бұрын
Tupoooo
@annnafula7476
6 күн бұрын
Candy be careful 😂😂
@RoseNjoka_23
6 күн бұрын
Na kizungu my wangu 🤣😂
@user-wc3ke7ee3y
7 күн бұрын
Mbona nyumba ilishagauzwa jamani na ilionekana Kuna mtu anaishi 😮😅😅 kwenye kipengele Cha nyumba mmetupiga
@0maryMathias-e8y
7 күн бұрын
Wa kwanza leo hahaha
@user-yb6wh1bk9d
7 күн бұрын
Tupo sote online ndomana tunaangaliya na ss tupewe hizo like 😂😂😂 Muda mwengine huwa tupo busy tu na kazi
@MwanakAbdullahi
7 күн бұрын
Mimi ningependa bibizuu hawakinge Tasha na zatiti Ile huyo kikondee akifanya ubaya usiwapate zatiti na tasha
@AminaNgumba
7 күн бұрын
Busat tv mufany hvhv ili movie iish jmn unajua movie ikiw ndefu sanaaaa inaharibu uhondo wote
@ignitiussilungwe7930
7 күн бұрын
Assalam alaykumu walhama tullahiwa barakatuh Candy anaya timba takayari zamuyake yamajonzi inafika Nyumba inatapelia pole sana Candy kwacho chote kitakacho kukuta tunao amiin kua Candy anatapelia Nyumba gonga like
@gracenyevu8082
7 күн бұрын
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
@lavenderokunani
7 күн бұрын
Candy kinaenda kumramba zaidi,,
@ZainabuKakozi
7 күн бұрын
Huyu sania na candy 😂😂mwisho wao mbaya😢
@nasibujuniorbd5698
7 күн бұрын
Hata Mimi siwezi kuomba like kwasababu sifaidiki cocote.ila itaniuuma Sana kuina zatiti na Mr Tasha penzi lao halito dumu
@bihadibavu
7 күн бұрын
Na mm nimewahi jamani japo like kidogo ila naomba hii house girls isiishe kwa sasa kwani kilamtu anaipenda naomba iwe kama huba jamani kwani watu wengi hujifunza vitu vingi na vyakutia moyo katika kipindi hiki wanao niunga mkoni like hapa🎉🎉🎉
@OmaramimoOmar
7 күн бұрын
Leo wa kwanza mimi
@RizikiNyale
7 күн бұрын
Hi guys io pesa ya mafuta yenye kapewa uo na papa huku kwetu n mia tano tuu much love my country 🇰🇪
@GladnessLeodegadi
7 күн бұрын
Apa candy kwishaaaaa.... Dah mue na ucku mwema wana na Mungu
Пікірлер: 542