Dada zetu viduki au isha shauzi inshaallah mola awaonyeshe njia ilonyooka
@mcmassanza4284
7 жыл бұрын
Maashallaah Kazi nzuri mnoo... Nimeipenda sana jamani hamjatoa zingine?
@mariammfinanga4430
4 жыл бұрын
I like it most
@faridaabdallah7620
5 жыл бұрын
Masha Allah masha Allah mungu awabariki
@HabibaHabiba-mi1ez
6 жыл бұрын
kazi kweli uwislamu saiz ni kazi
@hammybeshan7537
6 жыл бұрын
mmmmmh Aisha asalam alykum BT sio viduku ila alla alisema wakat wakumtukuza yy chezen muwezavy so alhamdulilah
@jumannemashaallah.mrimbeni5103
6 жыл бұрын
Mko vizuri,ila muwe mnashusha shungi mpaka vifuani,hatutaki kuona hayo matiti.
@zuberijuma1982
4 жыл бұрын
Mashanlaa
@rahmamavura406
8 жыл бұрын
muache kucheza viduku jamani.alaf mtumie dufu kama dini inavyosema
@dijamonta3894
7 жыл бұрын
mashaallah
@suleimansuleimani8495
6 жыл бұрын
nice qaswida
@hamzadaud3073
9 жыл бұрын
jamani nyinyi unautani izo sio qasda bali ni taarabu ila nyibo nzuri sana
@fidhatihassan3763
7 жыл бұрын
Hamza Daud30 nakuunga mkono
@aishaommy5093
8 жыл бұрын
kinanda ni kharam mtme hapend na hii sio kaswd ni taarabu kama si taarb basi ni mziki kwasabb mwacheza hadi kiduku bdo jitahidi na allah awaonyeshee njia nzuli
@yusufaura8237
5 жыл бұрын
Sikia ujumbe ulio ndani ya wimbo hiyo ni mawaidha mazuri sana wacha kuharamisha kila kitu
@خديجهعلي-خ4ص
8 жыл бұрын
group mashauz
@rahmamohamedi1471
9 жыл бұрын
jamani. hii. ni nyimbo. hivi. mnafundisha. nini. waislam. wenzetu
@saidmussa8694
8 жыл бұрын
Baada ya miaka kadhaa mbele kizazi cha Kiislamu kitakuwa kimepotea mbali na misingi ya dini yao kwa kuendekeza Vinanda kama hv.
@abupeter9561
6 жыл бұрын
Ipo vizuli xna
@saphinatmsawa4492
7 жыл бұрын
jaman acheni hila waislamu wenzangu mbona hii qaswida n nzur tuu haina tatzo lolote.....kikubwa wanamtaja mwenyez mungu na mtume wake tuwape support jaman sas nyie mkiwaponda tena mnakuwa mnawapa makafir nguvu...tushirikianen jaman
@zuberijuma1982
4 жыл бұрын
Mashaanlaa anla awape kila LA kheri
@donaldmwangobhe
6 жыл бұрын
Asalam aleykum, jamani ninashida na ile qaswida inayoimba ..nenda mama nenda mama nendaaa kamuheshimu mumewako nenda,hiyo ndiyo pepo yako nenda.... Ninaitafuta sana msaada jamani.
@jumachaula737
6 жыл бұрын
kweli kaka watutumie jamani
@abibabakari1932
8 жыл бұрын
dada acha utani na allah hiyo ni nyimbo au qaswida nzr lkn
Пікірлер: 26