Injili hii ya uandikishaji wapiga kura inatakiwa kuenezwa nchi nzima Vijana wengi wanajua habari za mpira kuliko habari za kuandikishwa kwenye kura
@leokamil6284
3 ай бұрын
Inabidi wabadilike wao wenyewe kabla ya kusaidiwa kiakili.
@gowekogoweko5803
3 ай бұрын
NO ONE IS ABOVE THE LOW
@PaskaliCharles-pz8ds
3 ай бұрын
CCM basi 2025
@leokamil6284
3 ай бұрын
Haitoki bila watanzania kujitambua na kupambana kupata katiba mpya. Tatizo njaa ndogo ndogo ndio zinatumaliza
@HaulSidney
3 ай бұрын
Chadema komboeni nchi hii,haya mafisadi yatatumaliza watanganyika
@gowekogoweko5803
3 ай бұрын
👏🏼👏🏼👏🏼
@jumakilinja6341
3 ай бұрын
Ila mkoa wa mbeya nawapenda sana kila mtu anajitambua
@PeterJonathan-c8k
3 ай бұрын
mbeya mnajitambua, kama tz yote ingekuwa kama nyinyi uhuru w kweli tungeshapa,
@usembiphonedar5632
3 ай бұрын
Elimu ya kujiandikisha apeleke Nchi nzima kwa kila kitongoji ili wananchi wajiandikishe na kupiga kura kwa wingi kisha walinde kura mwaka matokeo yatangazwe.
@francismomo7067
3 ай бұрын
Waov wasipodhibitiwa wangali wachache,wakikua wengi huwez kuponya Hilo janga
Пікірлер: 12