Cronwn from South Africa 🇿🇦 Cape Town nawepata vzr San na enjoy San 🫰
@abeidmayanga809
3 ай бұрын
Safii sanaaa😂😂😂
@itikamwasimanga4202
3 ай бұрын
Paul Mkali King Kiba kapata mtu kweli kweli wewr unajua sana Paul mkali🔥🔥
@methuselambonimana4499
3 ай бұрын
Nanyi pia wachambuzi mnachangia. Team isipopata matokeo ndo ninyi wa kwanza kuanza kutengeneza pressure kwa uchambuzi wenu dhidi ya viongozi na mashabiki. Nanyi muwe mnajitathmini uchambuzi wenu.
@dicksonngasapa7007
3 ай бұрын
Malanyingi mtu ukiwa mee nimbahati kubakiwa na akili zote kama ulivyokua kijana
@itikamwasimanga4202
3 ай бұрын
Mjitahidi muwe wa tofauti na Crown sasa mana WACHAMBUZI wengi wamenunuliwa tayari awachambui wanakandamiza na kuweka mahaba WALIKO nunuliwa kuweni balanced mchote mashabiki wote wapenda michezo
@israelmunuo7938
2 ай бұрын
Crown wapo fear mkuu!
@kizakizapetro6205
3 ай бұрын
Kutoka south Africa ninawapata 100 kwa 100
@haidarimfinanga9755
3 ай бұрын
Hivi Jemadari ndiye Jimmy!!!
@hasheemmagayane3376
3 ай бұрын
Tunaitaj mataji wanasimba ishaallah
@MsafiliJumanne
3 ай бұрын
❤❤❤
@AbdulaziziPacha
3 ай бұрын
Kuweni wakweli kocha hudumu kwenyetim kutokana na matokeo mazuri nahapo inategemea nawenyetimu kwao matokeo mazuri nikitugani nikubakiligikuu,kucheza vizuri,au kuchukuakombe
@bakanga1410
3 ай бұрын
TBC haina uchawa kwenye mpira labda mambo yenu ya siasa..
@DoctorBaddest
3 ай бұрын
Tbc ndoamuna kitu kabisa
@SirajiRashidy
3 ай бұрын
mbon kama wasafi vp tena
@joshuasamson9618
3 ай бұрын
Tatizo media za Tanzania zipo kama TBC Tanzania zimejaza machawa vimbaya sana ccm mwingi
Пікірлер: 21