Ndoo maana katiba mpya ni kaa la moto kwa serikali hii kuikuikubali.INSHAALAH haki itakuja na ikaribu.
@annamanyama1247
9 күн бұрын
Tumechoka kilakitu huyu mama anauza da mungu atashugulika naye sisi watanzania tutalua na mungu
@hildandumbalo5827
13 күн бұрын
Lisu barikiwa sana umesema ukweli
@CastrolSebastian
18 күн бұрын
Mungu ibariki Tanzania viongozi na watu wake , waepushe na tamaa mbaya
@marandoruzali1946
13 күн бұрын
Mungu ibariki Tanganyika
@MagrethKatondo-qs9oz
18 күн бұрын
Mambo mazito haya Mtanzania maskini hakika hana haki. Ee Mungu haki ya taifa hili iko mikononi mwako baba. Utuhurumie.
@JoyceKabula-in1sh
18 күн бұрын
Hahasema uongo anakujua see we ndo dume la simba pokes mauwa yako mbowe na we pokes mauwa yako kwa kutuletea tundu lisu
@leonardlameck7486
7 күн бұрын
Mbona huko kwao Zanzibar hatusikii chochote alichokiuza, ina maana wao hawataki faida? Kuna watu hapa miaka ijayo watakuja kutafuta pa kwenda kuishi kwa madudu yao wanayotufanyia Watanganyika, Tanzania ni kivuli cha kutupora raslimali zetu tulizopewa na Mwenyezi Mungu, iko siku tu
@JaphetMulungu
18 күн бұрын
Watanzania tusipuuze hayo maneno ya lisu.tukumbuke hata wakati wa raisi aliepita yalisemwa maneno na badae ikawa kweri
@hildandumbalo5827
13 күн бұрын
Ajiuze na mwenyewe na family yake sio laslimali za Tanganyika tu inauzwa sad kizimkazi iuzwe pia watu wanashida kufukuzwa kila upande Mungu anajibu soon nina uchungu sana
@giftkalenge418
6 күн бұрын
wazanzibari mdai katiba mpya akija raise was Tanganyika atalipa kwa kuuza visiwa hivyo
@bensonkaduvage9549
18 күн бұрын
Tundu Lissu, "toto-tundu" you our Salvation, the serviour of and for recovery of our "lost Tanganyika and our Natural reources now being being sold left & right". Tell us the people, owners of our beloved Tanganyika" We morn and cry for our land, and long to see the day when we shall recover our country.
@Landisy
5 күн бұрын
Lisu tunakupenda sana.
@mohdhussein4548
18 күн бұрын
Huyu mama s rais wtu kbs amechuma mal anapeleka nchi yk
@gidongailo7174
18 күн бұрын
Kwahiyo mtangazaji hukuwa na habari hii ya zamani kabisa. Tuniulize Watanganyika huyu anapotaka kugombea anataka kuja kumalizia nini hasa alichokiacha?! Kama tungekuwa na jeshi la kizalendo kama vijana wale akina Traole ingetosha kufanya kitu, lakini jeshi letu linahitaji kukombolewa kwanza kutoka kwenye makucha ya sisiemu
@BraxedaDomina-xn4zc
18 күн бұрын
Kbs
@yonazimpombe1160
15 күн бұрын
RAISI HASHITAKIWI KWA JINAI LAKINI MADAI TUTAENDELEA KUDAI MALI ZETU ........ na raslimali za Tanzania zitalindwa na watu WA bars na sio wanzanzibar .... pale kia CHINI yake Kuna MADINI ya Tanzanite
@RizikiMlela
4 күн бұрын
Akimariza kirakitu anarudi kwao zenji
@SharifuMsawanje
18 күн бұрын
Tundu lisu yupo sahihi uyu mama anazingua hawezi kuongoza ni Bora awachie wanaume yeye ni mama tu aendele kuvaa siketi mdogo family kt mtwara tz
@margarethpolepole7438
17 күн бұрын
Jamani akauze kwao Zanzibar mbona anatufanyia hivyo kama ni kweli hii maajabu
@margarethpolepole7438
17 күн бұрын
Makubwa haya mpaka Viwanja vya ndege vinauzwa kwa Waarabu Mungu kitu gani hiki
@henrymligo2440
8 күн бұрын
sahihi
@Gaynor1234
16 күн бұрын
Huyo mama kauza nchi yote na watu ndani yake, majitu yapo yamekaa kimya kama vile hawapo. Na huyo mkuu wa majeshi atakuwa mzanzibari mwenzie la sivyo angekuwa mTanganyika angekuwa amejiunga na wananchi yaani waTanganyika.
@YohanaPetro-xv9tp
18 күн бұрын
Kama niuongo Wampeleke mahakani lisu hafungwi kizembe Anacho kiongea anajiamini huyu mama Ataiuza Tanzania yetu
@aronimanirakiza5655
18 күн бұрын
Namukubari. Lisu. Hawed kusemauongo
@ValentineFrisch
15 күн бұрын
Jamani huyu sio mwehu anachokisema anauhakika nacho na kama ni uongo mbona hawachukui hatua??
@JoelRichard-hj3bi
18 күн бұрын
Huyu Rais ni mzigo kwa Rais ajae,Maana kuvirejesha vyote hivyo itamchukua gharama kubwa mno,Hii ni zaidi ya kufisi nchi Tundu lissu hajawahi ongea uongo haya maneno yasipuuzwe kabisa.
@YusuphassanSaidd
17 күн бұрын
Mh!! Nchi lnakokwenda nipabaya sana
@user-hi7df6js2m
18 күн бұрын
Vijiji vya KIA Kilimanjaro navyo viandamane mara moja
@fortyyellu9971
18 күн бұрын
ASante tundu.. ni kweli kabisa
@FrankMashoto
14 күн бұрын
Eeeh, haya makubwa tena!.
@JOANESSLVESTAR
18 күн бұрын
Saw
@ezekielmatondane714
17 күн бұрын
Kweli
@Bilioneabichwa331
17 күн бұрын
We anti pasi umejuaje?
@SuleimanMussa-x5i
18 күн бұрын
Nyie wabongo ni waongo
@user-rl6vf9tg8m
17 күн бұрын
Kama serikali inakanusha huu usemi impeleke lisu mahakaman tujue jambo hili
@melichmahingule2896
15 күн бұрын
Yesu arudi tu
@sylvestercameo6263
18 күн бұрын
We mtangazaji acha unafiki, eti "sisi hatufahamu kama aliyosema ni kweli au la"! Pumbavu wewe, maadili ya taaluma ya habâri ni pamoja na kuchunguza ukweli au uongo wa habari husika. Sasa wewe unatulishaje habari ambayo huna uhakika nayo? Unajitoa halafu unatutaka sisi tucomment! Acha uzandiki, acha uchochezi!
@kassidpandu866
18 күн бұрын
Fitna Tu hiyo haikusaidii ili upate Nafasi yake
@ChristerKoku
17 күн бұрын
Mnashangaa nini kuuza? Ndugai si alishasema.
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey
18 күн бұрын
HUNA SERA SIO MAPYA HAYO KUMBUKA KABLA ULISHASEMA UMENUNA KUITWA DUME LA SIMBA KAMA HILO TUKWITE JIKE LA NGURUE AU SOKWE MAANA MMEFANANA SANAAAAA
@BraxedaDomina-xn4zc
18 күн бұрын
Kaeni huko z'bar msituingilie
@samwelmohonge4573
15 күн бұрын
😢😢😢😢
@user-hi7df6js2m
18 күн бұрын
Wamasai wamesahau hoja Moja ni katiba, kurudishiwa serikali ya Tanganyika Ili Watanganyika na wamasai wawe salama.
@sylvestercameo6263
18 күн бұрын
Si kila kitu wafanye wamasai, wewe umefanya nini?Acha akili tegemezi!
Пікірлер: 52