Mimi ndie wakwanza ku comment 🎉nipeni like zangu ❤❤
@PrinceBonnyTz8
Жыл бұрын
Likes hua inawasaidia nin
@BarackOmary
Жыл бұрын
Nice
@MikaelAmr
11 ай бұрын
Kosa wa2 wasifie kwamba wa2 wana Fanya kaz nzur kazi kuomba like 2
@MikaelAmr
11 ай бұрын
@@PrinceBonnyTz8 wame kosa kaz hawa
@cosmascastory9193
11 ай бұрын
Kazi wafanye wengine likes uombe wewe duuuh
@berthamavere5671
Жыл бұрын
Kusema ukweli huyu dada nampenda, toka enzi zile za MKOJO WA NGEDERE🤣🤣🤣😋
@jacquesmulalirya1704
Жыл бұрын
Wamama wa ki Africa😂😂 mama sele😂😂,,hii from congo 🇨🇩 pamoja 🤝sana nawapenda sana
@annasaidi5613
Жыл бұрын
Uyo dada anaongea saaaaana jamani 😂😂
@hashimuyiredisawiniq8992
Жыл бұрын
Stivu , Nakuomba uyo Dada Usimuache, Anatuongezea ziku za kuishi kwa kweli'
@kingrabi5118
Жыл бұрын
Ndio kbs hata Mimi nimempenda
@Bushman5444
4 ай бұрын
Huyu mama ni danger. 🇰🇪
@tozzymusic254
Жыл бұрын
Huyoo dada simpendi anangea mpaka Ana boa yani Steve na ndaro mob love from kenya bros
@emmanuelbernard9552
Жыл бұрын
Huyu dada yupo vzur sana,sana tu.
@daaemerson3586
Жыл бұрын
Uyu dada nime mpenda❤🇧🇮🇺🇸
@jovithatibatekeleza6598
Жыл бұрын
Steve huyu dada ni kiboko usimuache😂😂
@qaseemayoub6758
Жыл бұрын
Master of ending ndaro😅😅
@francismuthiani349
Жыл бұрын
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪😅😅😅😅.
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Tatu unarangi nzur Mpenzi usijichubue jaman umependeza haswaaa❤❤❤
@abdulrahimdasilva3966
Жыл бұрын
Stive unaongeaga sana lkn uyu mdada kiboko 😂😂😂
@Izohdemepp
Жыл бұрын
Black is beautiful, being African is sweet.... What a beauty!! I love the Energy of Mama Sele😂😂. Onelove from Kenya
@erickkalama382
Жыл бұрын
Tatu 😂😂😂 new signing ina mdomo😂😂😂😂😂 one love from kenyaa
@hajrabablysh8892
Жыл бұрын
watanzania bana, we angalia content iliyopo sio kubagua, talents zamtu huyo dada yupo fresh, sema mnayataka yakilasiku, hkaaah, kazi nzuri sana Steve support wengine
@hatangafelix5598
Жыл бұрын
We dada kama uko ivo na maisha ya kawaida mume wako ana shida kweli kweli 😢😢mtu unaongea kama umewekwa batteries
@user-qs3mr5ze7g
Жыл бұрын
😂😂
@eugenenkandu1287
Жыл бұрын
Such people they are so quiet in their normal life
@mercy342
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@owenjuniorkravecki7874
Жыл бұрын
@@eugenenkandu1287 sio kweli
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@elijahclassicboy8228
Жыл бұрын
Stive uyu dada usimwache jamani ana mambo uyu jamani ❤
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Sana anajua
@PacifiqueSumaili-xg5xk
Жыл бұрын
Nipeni jina la uyu mdada mama SELE, namkubali kabisa 💪💪💪💪💪💪💪💪 mama kazaa kokoto.
dah apo kwa amadi kijicho apo ndo balaaaaaa...nmecheka sana aiseeee...you guys are so talented ..mnaishi sana na uyu amadi kijicho. Big time
@user-qo7ql6xg5b
Жыл бұрын
Uyu mama Ana weza sanna fundi asa❤❤❤
@dannydz97
Жыл бұрын
😂😂😂.....yn kwa huyu dada moto mmeuona hadi sele. Kanywea
@lilianalmas5911
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 Huyu Dada nampendaga Sana Steve mweusi usimuache Nimecheka Kwakweli ety Sipendagi mtu anakaa kiboss kwa watu na Mdomo ufanye kazi ya kula 🤣😂😂😂
@agnestemu8382
Жыл бұрын
U dada anaongea sana bwana atoke watu tunataka kucheka tu
@truedthchannelde_lucasz7382
Жыл бұрын
Mama kelele...African mums mdomo waah😂😂😂
@rajabushedafa6397
Жыл бұрын
Wakwanza leooo Mimi 😂
@appolinairendihokubwayo3594
Жыл бұрын
Lakusema sina from 🇧🇮 nimeona mama Steven,steven unaongeanga leo umepatanaco ❤😅😅😅
@pascalbaya1399
Жыл бұрын
Nilisema uyu dada kiboko yake ni kile kisauti Cha eliudiiiii😂😂😂
@muzafarsharif9465
Жыл бұрын
huyo dem anaongea Sana mpaka anaboa ,,,
@hamisissa1115
Жыл бұрын
Kabisa
@robsonwisdom1994
Жыл бұрын
We mama utamuuwa mtt wa preshaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂selee Leo amekamatikaaaaa hili sio gubu ni gubunoooooo la kwendaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
@FathmaIbrahim-pj7es
Жыл бұрын
Huyu dadaa weeh kiboko 😂😂😂 ukiingia kwenye kumi na nane zake umeishaa😂😂😂😂😂😅kudadeki 😂😂
@alfredkasololo5242
Жыл бұрын
Ata kasuku aseme kama dada huyu. Pole sana kama maisha yake ya kawaida ni hivo.🇨🇩
@annayambayamba8614
Жыл бұрын
😂😂😂
@djsafourmdy782
Жыл бұрын
dada michambo ameuwa sanaaa unyama sanaa
@noahkajinga7599
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 mpaka waganga wanadhurumiwa 😱😱😱👉🔥🔥🔥🔥🔥
@moodykassim4029
Жыл бұрын
Kwa taarifa tu,, Atakae bahatika kuoa huyu dada Kaishaa
@YUSUPHMWAINUNU
Жыл бұрын
Kaz atujapata lkn hum ndan Kaz ipo
@josiahsimon5333
Жыл бұрын
Hawa ndio wadada waswahili kinona bonge la muigizaji huyu dada
@saidmohammed2830
Жыл бұрын
Dada upo vzr ilaa waregelea maneno Sanaa
@jamesmasinga1535
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 huyu sister ni fireee
@ndikumanaarchimede3172
Жыл бұрын
bumekuca sasa.mpaka steven kazima na akaziba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@f.GastonAwazi-hj5tf
Жыл бұрын
uyu mama niatari daa 😂😂
@callmeog4786
Жыл бұрын
God job
@banzamukalay5396
Жыл бұрын
Ahahahahaha😅😅Watanzania wanasema kabisa kama kapalata wa congo kabisa, sijawahi kusikiya watu wanaongeya kama wa tanzania kweli. Steve usimuache uyu dada kweli..
@fedhyful
Жыл бұрын
Aache kujirudia rudia ina boa. Akisema wenzangu wamezaa watoto mimi nimezaa kokoto aseme mara moja tu tosha.
Steve huyo dada atakupotezea wafuasi, maana sio komedian bali ni mlipokaji, , maana watu wanataka kucheka. .. huyo sio mchekeshaji. ...
@clintonikyando6410
Жыл бұрын
Acha zarau ofsa Yani huyu dada hachekishi utakuwa unaumwa ww
@juliusmwiburi8117
Жыл бұрын
Stive hyu dada smpend bas tu
@melchiorndayizeye9761
Жыл бұрын
Huyo demu sijui ni mama ana once kwa gufokafoka atoweke kwenye mucezo au afundishe na waking johali
@hafidhabdi2004
Жыл бұрын
Hahahaha umepata msaniiii bora 😂😂😂😷😐🤐🤐🤐
@user-xf6cm3in8t
Жыл бұрын
Ndaro na Steve nawakubali sana
@andallaathman3856
Жыл бұрын
Hii vedeo huyu mama sele aongea na mda mrefu Hadi ameharibu ladha ya comedy
@AshaBakari-vo3ng
Жыл бұрын
Steve na ndaro saiv mtakoma Kwa uyo mdada
@rendee267
Жыл бұрын
huyu dada anajua sana
@user-fs7hl6vg2p
Жыл бұрын
Mumetisha saaaaana mwaaaaasmbaaaa
@RichardKabasa-iu4gp
9 ай бұрын
KHAA 😮 SELE kazi unayo dogo 😂😂😂 mmh ndaro nao Kaz bado hawajaanza kimenuka
@kalibuoy3850
Жыл бұрын
Steve kaimba hehe😂😂😂
@GhislainNyakasane-sb9tl
Жыл бұрын
Amesema sana mpaka masikio yamefungana
@SuLeimanHusseinShehe
Жыл бұрын
Hahahahaa nampenda uyo mdada akiongea hamezi mate
@user-ys9hb1pm1g
8 ай бұрын
Nimempenda uyu dada anachamba😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Barry.ginger
Жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰👊👊nice one🥰🥰🥰🥰
@ojunecyprian3727
Жыл бұрын
Enyewe humu ndani kazi ipo
@benmpoletv683
Жыл бұрын
Shabiki mkuu from kenya. My likes please
@user-nm8fk6ui4r
7 ай бұрын
mmetisha ndaro na steve
@SaidSalum-bo1bg
3 ай бұрын
STEVN namtafta uyu dad
@agostinhocosmetobias8971
Жыл бұрын
Dada umetisha kama ni hivyo ni bora kukaa bila kuowa from 🇲🇿
@Mr_moneyu
Жыл бұрын
nimependa sana ❤❤❤👊👊 👊👊 👊👊 👊
@Relaxer02
Жыл бұрын
Waah Tatu ni Kijenereta cha Tiger😂😂
@ambrose-exclusive-hunterst353
23 күн бұрын
Steve et hataki kazii 😂😂😂😂😂 kakomaa leo😂
@mbogazamajanicrew3326
Жыл бұрын
Kwani huyu HAMADI mwenyewe kasemaje
@HeroJoseph-nm8pv
Жыл бұрын
Stivy ameshtuka 😂😂kumskia amad kijicho kumb mam sio poa,mumezoeya ma bodaboda sas huyo hapo jee mpo kikazi!!!!?😊
@mercyfaith8566
9 ай бұрын
Waongea sana adi waboesha aalaa
@irfanabdi8877
Жыл бұрын
Anaharibu hatupat kucheka mtoe huyu mwache akaigize serius movie
@ugisingoma9397
Жыл бұрын
😂😂😂 dogo sele 😂
@fatmaally7252
11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 atuja pata kazi lakini umu ndani kazi ipo uwiiii 😂😂😂😂😂
@sospeterkinunda
Жыл бұрын
Nainjoy Sana kutoka mbinga ruvuma tz
@auleusmuyamba4208
Жыл бұрын
😂😂😂😂Daaaah huyu dada!!!!!
@DIEUMEJRTZ-wu3cw
4 ай бұрын
niatari 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 africa moja iyo
@hamisisalim
9 ай бұрын
Steve unaweza kaka
@omarokech7395
11 ай бұрын
Dada unasema kama chiriku Duh! Nakukubali
@scholarrimoy8132
4 ай бұрын
Unaweza mudog wangu
@RemmesNemmes-uo6gj
Жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁 Ndarooo uachweeee Ila Humo ndani kazi Ipo Kwel
@user-uh2yu5sp5c
7 ай бұрын
Uyu Dada mwisho aloooh dah no comenty
@user-ux2nr5yw2p
5 ай бұрын
Uyu Dada mm namwagiya manji
@irfanabdi8877
Жыл бұрын
Steve mtoe huyu hii ni comedy sio serious
@alfredkasololo5242
Жыл бұрын
Dada Hadjira ameishiwa. Amepata muloba deni kiboko😂. Dada huyu jina lake nani ??? Ameweka mtoto Sele fasi yake. Steve na Ndalo wanakosa la kusema. Katika lugha ya likala wanasema Dada huyu na misemo yake ni "sukisa tebe" kweli 🇨🇩
@godfreyally-ps3fo
10 ай бұрын
Kwa stuvu Mimi nafuata tatu tu..🤣🤣 tatu 🔥🔥
@SaidSalum-bo1bg
3 ай бұрын
Aseee uyu dad duuuh
@absalommashoto6097
10 ай бұрын
Jamani like zina Liwa aya kula izo maana naona usipo pewa autashiba ❤❤❤❤❤
@hopkali
Жыл бұрын
Yule yule dada wa mambo mengi huyu tena
@SheivanToti-zh9cn
Жыл бұрын
Kama unatazama,ukiwa Kenya ngonga ,,,,like,,,
@sane_kidd
Жыл бұрын
Au ni mwehu ndalo lakin 😂😂
@jacksonmadulanga7121
Жыл бұрын
Duuh huyu kaweka chelehani mdomoni ase
@tumajunior6080
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hatuja pata kazi lakini hapa ndani kazi ipo😂😂😂😂😂😂😂❤❤🥰🥰🥰🥰🥰
@twaibumikidadi7377
Жыл бұрын
Duhh huyu mama wa sele wanawake kama hawa wanaongea kama mota ya kusukuma maji huwa siwapendagiiiiiii katk maisha tangu na mashukuru mungu mke wangu sı wa kubwabwaja kama huyu mdada Nakımbıa nyumba kwa kweli huwa naweza kushindaa mskitini mpka saaa sabaa. maana cıo kwa maneno haya😅😅😅😅😅
Пікірлер: 316