Venance Mabeyo mkuu wa majeshi wa zamani nchini Tanzania 🇹🇿 mungu akubariki Sana
@homeboy2307
2 жыл бұрын
Mheshimiwa mabeyo watanzania tunalitaka dokezo ulilo achiwa na baba yetu kumbuka alikupa dokezo kwa ajili yetu tafadhari
@homeboy2307
2 жыл бұрын
Huyu alitumwa pamoja na magufuli amepambana Sana tunamshukulu MUNGU kwa ajili ya inchi yetu Tanzania
@homeboy2307
2 жыл бұрын
Kuna watu wao mawazo yao ni kuitafuna inchi tu ila mabeyo alipinga Sana tena hata anasitafu anaumia Sana kwaajili ya watu anao waacha
@andrewmagwila1602
2 жыл бұрын
Hongera sana Mabeyo umefanya kazi kubwa Mungu akubariki sana akulinde na kuutunza sana
@rezegerezege691
2 жыл бұрын
Mungu Akulinde Daddy Mabeyo Umetueshimisha sana Watanzania
@eriqemarson2362
2 жыл бұрын
Proud of you General! 👊👊
@owennicholous9706
2 жыл бұрын
He deserve special respect👏👏👏
@abelchacha5977
2 жыл бұрын
Mungu akubarimi mzee mabeyo
@misschagga8042
2 жыл бұрын
Tangu raisi magufuli ameondoka duniani tunajiona tupo na ukiwa sanaa😭😭😭😭😭
@MAGARITanzania
2 жыл бұрын
Mfate
@mandelamandela3150
2 жыл бұрын
@@MAGARITanzania Huna akiri wewe !!!!!! We Mzanzibari nn !???
@misschagga8042
2 жыл бұрын
@@MAGARITanzania haya naenda🙏
@isackmabanza4937
2 жыл бұрын
Mfate pia 😀😀😀😀
@misschagga8042
2 жыл бұрын
@@isackmabanza4937 nitamfwata tuu
@ibrahimsanga690
2 жыл бұрын
Mseminary kumbe afu Mnubi kama mimi (kasoma mzumbe)....hongera na tunashukuru kwa utumishi.
@abbassalum1864
2 жыл бұрын
MwenyeziMungu Ampe Afya na Maisha tele CDF wetu Mstaafu.
@nestor384
2 жыл бұрын
Majestic CDF of our time!.. In the history we had real man Gen. David Musuguri, Gen Mirisho Sarakikya, Asante baba kwa utumishi halisi wa 'kiume'
@emmanuelmafuru5621
2 жыл бұрын
Congratulations CDF Mabeyo
@husnaameen9309
2 жыл бұрын
Kastafu mashaAllah mungu atakulindeni viongozi wetu🥰
@florameza1028
2 жыл бұрын
Huyu baba a.namuhheshimu saaana Mungu
@rubensaitoti6839
2 жыл бұрын
Mungu akulinde akuepushe na mabaya
@nyamtigaibrahim530
2 жыл бұрын
Ama Kweli Ulikula Kiapo Cha Utiifu Kwa Taifa Lako Hakika Wewe Ni Mwamba Imara Hakika MUNGU Akutunze Katika Maisha Yako Hakika Ulipitia Kipindi Kigumu Cha Kuondokewa Na Kiongozi Mkubwa Katika Taifa JPM Uliongoza Nchi Kwenye Wakati Mgumu Covid 19 Na Kumpoteza JPM Ila God Bless My CDF Venance S Mabeyo.
@suzypaul4559
2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana aendelee kukupa maarifa Zaid mkuu
@fadhilsanga9180
2 жыл бұрын
Baadhi ya watu nikiwaona namuona jpm Ila ndo hvo master kashatangulia tuko pamoja mungu akupe maisha marefu uendelee kuidekelee nchi inaendeshwaje🤔
@johnmalembo6464
2 жыл бұрын
Éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@kessyjonastv1803
2 жыл бұрын
Daaaah HUU NDO MWAMBA MWINGINE WA MAGUFULI UNAONDOKA UMEBAKI MAJALIWA TU SIJUI TUTAWAPATA WAPI TENA BUT MUNGU ATATUPATIA MANA NCHI INAKOELEKEA KWAKWELI 😭😭😭😭😭😭
@misschagga8042
2 жыл бұрын
Bora umeona daa roho inauma sana.
@minakhamiskhamisi6193
2 жыл бұрын
Kwan nae ameferiki au
@neemakilomoni4258
2 жыл бұрын
Majaliwa mnafi tu
@homeboy2307
2 жыл бұрын
Natamani kusikia hilo dokezo mm jamani moyo unanifukuta najua hilo dokezo ni mhimu mno
@khadijanjama8721
2 жыл бұрын
Kachapa kazi huyu baba simchezo
@evanccast6228
2 жыл бұрын
Mungu akubariki mkuu wa majeshi rispecti 👏👏👏
@Ambagaye
2 жыл бұрын
Nilisoma Namibu mwaka 1969 hadi 1971; kumbe ni school mate wangu huyu. Nitamtafuta kwenye maisha ya ustaafu tuongee kuhusu waalimu wetu wa wakati huo akina Dibogo, Meru, Zeramula, Makaranga, Kasula na wengineo.
@erodeshayo123
2 жыл бұрын
Nilimpenda sana na nitazidi kumpenda Mung amtunze Baba huyu Hakika ameifanya kazi yake Vzr na kaimaliza Vzr Mungu akizidishie Ungeamua kufanya kitu Baada ya kifo cha Jpm lkn ulisimama na kutokua na uchu wa Madaraka hakika wewe Mungu akujalie sana ninamengi ila niishie Hapo natamani Kukutana na wewe mzee wangu Neno lako litanivusha mbali sana Ayo ukiona sms hii ni ombi langu kumwona mzee huyu cha kumpatia bali ni umwona kwa macho yangu live
@kananipius2649
2 жыл бұрын
Ni vema akaandika kitabu kuhusu ufanisi na changamoto aliyopitia kama mkuu wa majeshi.Hayo yataisadia jamii yetu ya sasa na baadaye. Ni kiongozi mzuri sana.
@bahatichombo7209
2 жыл бұрын
Hongera sana
@maryfransince7038
2 жыл бұрын
Millard Ayo Ndo habari pekee ambazo Hazina Mambo Ya Kutoeleweka kutoaminika. hapa nasikiliza na kutazama Nikiwa Nina Amani na Uhakika.Naomba msipunguze kasi Yenu na Umakini Wenu.
@ananiamkasu8847
2 жыл бұрын
Wewe ni sawa na mimi!
@tvsafi8738
2 жыл бұрын
Nakubari sana nyinyi ni wakimataifa kwasasa kwaa abari mnzuri
@johnsonlweyemam7944
8 ай бұрын
Mungu ampe umri mrefu mwamba uyu aliyetukuka ..
@mabulakenedy704
2 жыл бұрын
Congratulations Chief 🙏
@rassimbaengswahili6191
2 жыл бұрын
Hongera baba
@mungholomakalanga8958
2 жыл бұрын
Hongera
@edwinjohn6334
2 жыл бұрын
hongela sana baba mabeyo
@silverrichard1211
2 жыл бұрын
Kanda ya ziwa inatoa viongozi wazarendo sana
@zuenahamoud1532
2 жыл бұрын
.ndo wenye nchi nyerere aliwanyima elimu mapema wangepata elimu mapema ni nomaaa
@ramadhanimtetu7246
2 жыл бұрын
Kila anaejikweza atashushwa na anaejishusha atakwezwa
@adamdaudi6191
7 ай бұрын
@@zuenahamoud1532😊
@gideonsapunyumunei5815
2 жыл бұрын
congratulations 👏
@homeboy2307
2 жыл бұрын
Namkubali Sana mabeyo
@patrickKitambo
2 жыл бұрын
Kanda ya ziwa inatoa viongozi imara sana ,wazalendo na wenye hofu ya Mungu..hongera kamanda na mwanamzumbe mwenzangu
@bjzee1981
2 жыл бұрын
Wasukuma waliongoza nchi kiukweli
@titosanga9602
Жыл бұрын
Heshima kwako mkuu ulifanya kitu cha busala mno Kwa taifa la Tanzania mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏🇹🇿❤️❤️❤️
@witidavid8328
2 жыл бұрын
Mungu akubariki ulikua unawito sasa umeutumikia wito wako mapumziko mema baba yetu kwa mungu ukiulizwa ulifanya nn utajibu kile ulio tuachia tz🙏
@Asheri-k5k
2 жыл бұрын
Mungu akulinde
@sixseven3405
2 жыл бұрын
Mungu Akulinde Mkuu uliwekwa kwa Makusudi ya Mungu. 🙏🙏
@MosesOsiday
Жыл бұрын
Hongera sana mkuu kwa uzalendo wako
@hadijajohn7434
2 жыл бұрын
Asantee. MWAKYOOMA KWA HISTORIYA. FUPI YA CDF MABEYO
@zimbwerajabu1894
2 жыл бұрын
Mungu akulinde baba mabeyo nakpenda na kukuheshim kama nilvyokua namhuheshim magufur najua umejiuzulu kutokana na unayoyaona hayakupendez e mungu tulinde sis na nchi yetu
@sadiqueibrahim5439
2 жыл бұрын
Kamaliza muda wake hajajiuzuru
@florameza1028
2 жыл бұрын
Hilo dokezo tungelijua wa TZ ingependeza
@RoseBwire
Жыл бұрын
Bless for you dad
@asiaoman3040
2 жыл бұрын
MashaAllah honger baba tutakukumbuk sana
@aminaomary5567
2 жыл бұрын
Ongera sana Mabeo
@joramkimario9321
2 жыл бұрын
Mi namkumbuka kwa kutuma ile krain ya jeshi kwenda kutoa ile gar ya yule mama ilotumbukia mto wami
@ayushsaeed1051
2 жыл бұрын
Rais atapendeza Zaid
@mwakwelisaid3152
2 жыл бұрын
Hongera mzee wangu
@abineryjoseph3473
2 жыл бұрын
Hongera xnaa
@LeilaKanyinyi
9 ай бұрын
Ulikosea sana nchi ulikua umpe mbowe ss watanzania tungekula maisha mazur sana
@samsonisaack5145
2 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutunza Jembe letu Mabeyo
@saidizuberiissa7286
2 жыл бұрын
Chuma hiki nakikubali sana
@jumamathias8903
2 жыл бұрын
Alizaliwa katika kijiji cha ichila kilichopo masanza Kona wilaya ya Busega mkoani simiyu zamani ilkuwa wilaya ya magu mkoa wa mwanza kabla ya mabadiliko.. barabara ya kwenda musoma kwao mabeyo ni njiani kabsa
@kassimayoubmohd6313
2 жыл бұрын
Bado namba ya nyumba umeisahau hhhhhh
@dianakitika
2 жыл бұрын
@@kassimayoubmohd6313 🤣🤣🤣🤣🤣
@nunumrisho6548
Жыл бұрын
Mwanaume wa shoka Mungu amlinde
@mustaphersamson6174
2 жыл бұрын
HAPA SHEIKH UMETUPIGA MB ZETU, LAKN HAYA BHANA.
@issasalim7688
2 жыл бұрын
Saluti kwako General 🙌
@evankya1955
2 жыл бұрын
Humble person!
@justinefelis8772
2 жыл бұрын
Alihudhuria konzi😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎
@hermanfundi605
2 жыл бұрын
Mtaraibu sana huyu msoja wetu
@baizoboy1719
2 жыл бұрын
Ndo apewe hata ubalozi USA 🇺🇸 basi
@anettmwebrania504
2 жыл бұрын
Urais unamstahili zaidi
@juliussilvestar8988
Жыл бұрын
Baizo boy huyooo cheo alichonacho ni zaidi kuliko balozi rafki yngu.Mkuu wa majeshi hivoooooo hyuuu marekani anaitwa chairman of the joint chief of staff
@makulanangale588
2 жыл бұрын
Msaliti wa Jpm
@homeboy2307
2 жыл бұрын
Asante Sana mheshimiwa mabeyo ulipambania haki hakika umetenda jambo Tanzania
@barakakamuga4474
2 жыл бұрын
Hiki ni kifaa Kati ya vifaa vya taifa
@assab3167
2 жыл бұрын
Kweli
@mpokimwakaje8178
2 жыл бұрын
Kiongozi yoyote anaetoka madarakani kwa upondo na amani na furaha huyo anastairi kupewa heshima zote, Maana anapanda mbegu nzuri katika taifa letu ,mwanzilishi aliepanda mbegu katika tiifa letu mzee wakungatuka,mwalimu Julia's I nyelele mbigu hiyo imeendelea kwa viongozi waliachia uongozi kwa amani loo nawapongeza mno mwinyi mkapa kikwete ,kwakweli viongozi wetu wepewe heshima zote,maana kazi yao Ni njema Sana, Tunamashaka na vyama vya siasa jee wakichukua madaraka.watafanya Kama wanavyo fanya viongozi Bora wa ccm,hapo kwa watanzania wenzangu,ndipo pakutafakari Naipanda nchi yangu na viongozi wangu pamoja na mapungufu yao,
@congomokonzitv
2 жыл бұрын
Safi kabisa!
@kaizamulinda633
10 ай бұрын
Hilo dokezo lisije likawa la kutokuajiri, kutokupandisha mishahara na madaraja nk.
@jacksonwilson3625
2 жыл бұрын
Naomba huyu mwamba awanie urais kura yangu nje nje.
@ericmgongolwa6314
2 жыл бұрын
Yani
@azamajid9530
2 жыл бұрын
Mie namkuka alivyumsaidia yule mama gari yake iyozama wami
@othmanmapunda2310
Жыл бұрын
Kwa lipi ulitaka iwe vipi
@josephlushinge8156
2 жыл бұрын
Ana umwAmba gani Angechikua inchi leo tunauzwa yupo mafizsdi wanazid kumununua
@enocksilungwepondajr9707
2 жыл бұрын
Konzi...?
@mosesMussa-wb3up
Жыл бұрын
MUNGU AMPE MAISHA MAREFU KIONGOZI WETU AMEONGOZA NCHI YETU KWA UEREDI MKUBWA SANA MUNGU AMUSAIDIE
@msomimosomy9812
2 жыл бұрын
Ngoja.tumuone hyu je?
@paulokiwango21
Жыл бұрын
Amejtahd kwa amani y nchi
@salumugidion
2 жыл бұрын
Very strong CDF ever ✊
@msafirifabian2143
Жыл бұрын
😂
@ebrahimosman5477
2 жыл бұрын
🤲🙏
@christophermartin4572
2 жыл бұрын
Huyu ataendelea kukumbukwa kwa mengi sana pia ni amestafu kiheshimazaid
@mwitamalwa2773
2 жыл бұрын
Sasa hapo mm c jaelewa amestafu au vp
@allymohamed8157
2 жыл бұрын
Zuchu fire fire
@faustinecelestine3882
2 жыл бұрын
Jirani yangu huyoo
@misanamaige490
2 жыл бұрын
Hongera sana baba, Mungu akubariki.Watanzania tunakutakia mema katika maisha ya kustaafu.
@@khdigahk4246 Khidigah mi ni mtu mwingine, sijaoa bado pia
@eliakweya4766
2 жыл бұрын
Shwali babu kubwa endelea kutuhabakisha
@maimunamohammed5877
2 жыл бұрын
Kula bhabha uhangame mabeyo
@ulricamakalla5565
2 жыл бұрын
Kwan amestaaf au kavuliwa madaraka?
@erickphilipo6058
2 жыл бұрын
Kastaafu umri umemtupa mkono kulitumikia jeshi
@georgemassebu2083
2 жыл бұрын
Unaishia nchi gani?
@brightonchannel4997
2 жыл бұрын
Kaomba kustafu
@sonicaghendewa9886
2 жыл бұрын
Kwa nini ametaka ivoo 😢
@georgemhalla8853
2 жыл бұрын
## mkuu wa majeshi hawezi kuvuliwa madaraka kiurahisi, sio Kama unavyodhani Dada, Amestaafu
@williamdetkvant1313
2 жыл бұрын
Tumefurahiii alivyostaafu,Hana jipyaaa
@justinemangari2890
2 жыл бұрын
Heshimu huyu mwamba acha dharau ndg ungekuwa unajua majukumu ya vyombo hvi vya ulinzi na usalama usingeandika kwa kejeli kiasi hicho
@deusdeus6396
2 жыл бұрын
@@justinemangari2890 kaka nakuambia kun watu huw wapumbavu yaan huwa wanaropoka tu hebu tumpeleke hatwez mmoja tu jkt huy... Angejua ilivyongumu kaz ya jesh kujitoa hakuna malipo ya uhai wa mtu
@justinemangari2890
2 жыл бұрын
@@deusdeus6396 muache tu aandike ushudu,akiwa ameshiba alizeti,
@justinemangari2890
2 жыл бұрын
@@deusdeus6396 jina lenyewe Kvant,😃😃😃😃
@King_Of_Everything
2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️
@hamisimaumbi6986
2 жыл бұрын
03
@mpondaambrose2231
2 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔
@brother_majesty
2 жыл бұрын
HIVI HAWEZI KUJA KUWA RAIS?
@joesimba
Жыл бұрын
Naona mmechukua wasifu wakati wanavishwa nishani ikulu, mka copy na ku paste, alafu sio konzi ni kozi
@nasembakihara3024
2 жыл бұрын
Utakumbukwa MKIRU
@mwitamalwa2773
2 жыл бұрын
Duu
@mashamasha2854
2 жыл бұрын
ᴜᴍᴇɴɪᴠᴜᴛᴀ ɴᴀ sᴀᴜᴛɪ ʏᴀᴋᴏ ᴛᴜ ᴍᴛᴀɴɢᴀᴢᴀᴊɪ🔥
@ndimimaskati3641
2 жыл бұрын
HUYO NDIE ALIYELETA JESHI ZANZIBAR OKTOBA 2020 ILI WATUMIE NGUVU KUDHULUMU CHAGUO LA WAZANZIBARI.
Пікірлер: 155