Huyu ndie Mzee Laban Kihongosi Baba wa Mkuu wa Wilaya ya Momba
Mzee huyu mwenye umri wa miaka 69 ni mpambanaji kwelikweli hasa kwenye shughuli zake za kilimo. Hii ni licha ya ukweli kwamba angeweza kuamua kutulia tu na kusubiri "matunzo" kutoka kwa watoto wake akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Momba Mheshimiwa Kenan Laban Kihongosi
Sikiliza makala hii mpaka mwisho upate kufahamu mengi kuhusu upambanaji wa mzee huyu na maisha yake na watoto wake kwa ujumla. Hakika huyu mzee ni wa kuigwa na ni hazina kwa Watanzania hususan wakazi wa Kilolo - Iringa.
Негізгі бет Huyu ndie Mzee Laban Kihongosi Baba wa Mkuu wa Wilaya ya Momba
Пікірлер: 2