Sijui mengi ya Siti biti Sadi. Lakini jina lake nalikumbuka sana. Nikiwa kijana tulikuwa na msemo usemao; Siti biti Sadi kama si sauti ungekula nini leo. Shukrani kwa Elimu. Bibi Titi awe kwenye historia ya nchi hii na Oscar Kambona. Hawa ni kati ya mashujaa wakuu wa nchi hii.
@mohamedmwatuwano5526
2 күн бұрын
Siti Binti Saad na Bi Titi Mohamed ni watu wawili tofauti.
Allah akulipe mzee wetu Wazungu walimtuma nyerere awafute kwa maksudi lengo ni kupoteza nembo ya kuonekana kwamba hii nchi ni ya kiisilamu ndio maana wakamuandikia historiya ya uongo ya kuzua
@raymondjohn3798
2 күн бұрын
Sio nchi ya kiislam,tuna tamaduni zetu kama waafrika,uislam ,ukristo Ni tamaduni Za kigeni,hivyo kwangu haina maana yoyote.
@frimatuslupimo2031
2 күн бұрын
Nchi hii ni ya wote, wenye dini na wasio na dini.
@vincentcharles4385
5 сағат бұрын
Dini imeanza kabla au baada ya Tanzania
@saidikobossa7489
2 күн бұрын
ALLAH Akuweke, kisima cha Simulizi za kihistoria ambazo hatuzipati mashuleni.
@zulfikakalumba1977
Күн бұрын
Shukran sana Mzee wetu
@Mapenzi2635
2 күн бұрын
Asante sana , Mzee Mohammed kutuelimisha. Nimefurahi na kusikitika pia. Tufanyeje ili tuishi kama zamani ambapo tulikuwa wamoja na wenye kuheshimiana?
@Mfundo272
2 күн бұрын
Ndugu Mohammed Naomba namba zako za cm please mm naitwa Mfundo from Germany
@JovinMwombeki
Күн бұрын
Wanawake kila mara wamekuwa wakilalamikia mfumo dume si kweli wanawake wenyewe walikuwa hawajihamini kama bibi titi muhamed alikuwa anaweza kusimama mbele ya wanaume eakaweza kumsikiliza wakati wa kutafuta uhuru na wanaume hawakumbeza hata siku Moja vipi wanawake mwalahani kuwa wanaume Wana mfumo dume sio kweli wanawake wenyewe walijidharau na tabia ya kusodoana Hadi Leo tabia hiyo ipo na kitojiham ini waache kusi ngizia mfumo dume
@raymondjohn3798
2 күн бұрын
Kambona ,Na Bibi Titi nawengi inatakiwa wajulikane,kuwe na Historia yao
@abdulrahmanshamba5192
2 күн бұрын
Asante sheikh
@MasterOil-qm6vw
2 күн бұрын
Kweli kaka huko Shuleni kwenyewe wakijitahidi kujua hiyo history basi wanaanzia kwa nyerere wakati nyerere mwenyewe kuna wajanja waliompokea mjini
@frimatuslupimo2031
2 күн бұрын
Hao wajanja walishindwaje kudai uhuru mpaka Nyerere akawaongoza?
@vincentcharles4385
5 сағат бұрын
We Mkundu inaonekana kichwa chako kimejaa oil chafu Kama jina lako,hanisi wewe
@athumanfuko199
28 минут бұрын
@@frimatuslupimo2031 angalia Ottoman au Alpaslan kwanini .Nyerere alikuwa yupo mbele lakini nyuma kulikuwa na watu wenye pesa kumuwezesha yeye na walikuwa hawataki wajulikane kwa sababu ya biashara zao.
@antarsangali4456
Күн бұрын
Mchango wa kalamu yako katika uandishi wa historia ya Tanganyika sheikh Mohamed Said haukadiriki. Umefanya utafiti wa kutosha na wenye kina usio na shaka ambao haupingiki
@vincentcharles4385
5 сағат бұрын
Wahi kauze makalio,shoga wewe
@autoimmunesecurity2140
2 күн бұрын
Huyu bwana anamchukia Nyerere.?
@fahadfaraj6474
2 күн бұрын
Hajamchukia na wala hamchukii ispokua anaeleza yale yalojiri kosa kubwa lilitokea ni kwa miaka mingi kuonesha Kua ni Nyerere peke yake ndio aliofanya harakati za uhuru kitu ambacho si kweli Huyu ndio anaweka wazi wa yale yalioachwa kusemwa
@froma3732
Күн бұрын
Ukweli unauma ukiwekwa wazi ndio inakuwa Anamchikia
Пікірлер: 25