Hongera sana Mh Ndugai kwa kuwa na mke mzuri na mwenye upendo mkubwa kwako. Mungu azidi kuidumisha ndoa yetu mpaka kifo kiwatenganishe.
@freddiemanento6318
4 жыл бұрын
Mhe Spika umefanya jambo jema sana leo kumtambulisha MKE wako hadharani na pia kumshukuru hadharani. God bless, hapo NDOA LAZIMA IWE NA RAHA
@rehemamsuya2263
4 жыл бұрын
Sanaa tyuu
@augustinomwamasinga2200
4 жыл бұрын
Kweli
@oman7710
4 жыл бұрын
Naam
@lameckeliakimu8677
4 жыл бұрын
Ongera sana mh sipika Kwa kuwa kiongozi wa mfano kuanzia katika ngazi ya familia na ngazi ya kitaifa, Mwenyezi MUNGU akubariki sana.
@hassanabdalla2741
4 жыл бұрын
Mh. Speaker umejizaa 100% Mungu awabariki watoto wako. Amina
@halimamasai2234
4 жыл бұрын
Mama anaonekana tu usoni kwa ni mtu mzuri mwenye roho ya imani na upendo asante kwa kujali Spika wetu shukran sana
@ericaoscar7779
4 жыл бұрын
MUNGU akutunze na akubaribi spika wetu mpendwa wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, na familia yako....amen
@hassanmohdally5217
4 жыл бұрын
Sasa msimsahau mungu katika kazi zenu mtangulizeni sanaa mungu hukumuni kwa kutendaa haki mungu awatangulieni nyote mlio bungeni awape afyaa njemaa mrudi kupigaa kazi tenaa
@florencekashaija7539
3 жыл бұрын
Asante kuwakilisha wanawake kwenye kurasa za juu.
@aminanamoyo83
4 жыл бұрын
Asante kwa kunipa raha waooo sound so good,kila la kher mheshimiwa spika🤲🙏❤.
@bjzee1981
4 жыл бұрын
Matajiri wengi hawana watoto zaidi ya WA 4. Ila walala hoi hadi mayai ya ishe. Unazaa hadi mnahudhuria clinic na wajukuu
@kokuabwakahwa6881
4 жыл бұрын
Umenichekesha Sana kwa ujumbe wako😀😀😀😀
@sitikipitu3106
3 жыл бұрын
Hahahahah 🤣🤣
@steventambi6353
3 жыл бұрын
Si tuliambiwa tuzaliane tuijaze dunia
@khadijahassan3761
3 жыл бұрын
Umenichekesha ndugu😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@khadijagundumu6210
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@makongoronyerere2595
3 жыл бұрын
Hapo syo sehem yakufunga ndoa, twahita viwanda vijana tufanye Kaz,,,
@esthernsami7732
4 жыл бұрын
Mheshimiwa Ndugai alichokufanyia Mke wako ndio maana ya upedo.Mungu ambariki na wanawake waibe mfano. Nyumba isiyokuwa na upendo, haizai maendeleo
@christophermakunzo4232
2 жыл бұрын
Ni Furaha na Raha sana ukithamini huduma ya mwenzi wako hadharani. mara nyingi hatuna kawaida ukithamini michango wa mapenzi wetu hadharani au kuwasifia hadharani labda akifa. Hii ya mheshimiwa Job nimeipenda sana.
@halimamasai2234
4 жыл бұрын
Hongera Spika wetu kipenzi mungu akupe maisha marefu inshalaah wewe na familia yako nawapenda sana viva Ndongai
@e.j.starelia5672
4 жыл бұрын
Mh ndugai nakupendaga mno my father... I love you and your family na una timu ya maana kweli kweli
@makongoronyerere2595
3 жыл бұрын
Unampenda snae?
@emmanuelchacha6126
3 жыл бұрын
Amekuvumilia kweli Baba..Mshukuru sana
@ashuuuaisha9122
4 жыл бұрын
Huyo boy sura ndugai kwisha kazi
@marysona2663
4 жыл бұрын
Hongera sana mkurugenzi wetu wa wilaya ya Bahi! Wanabahi tunajivuna kuwa nawe mama yetu Fatuma Ndugai.
@mohamedijuma5845
3 жыл бұрын
huyu mama ni mkurugenzi kweli!
@yassersaid8233
4 жыл бұрын
Nakuamini master wetu wewe ndio mwalimu wetu
@khalidmohd
3 жыл бұрын
Hapa sio pahala pa kutaja shida na raha za familia zenu huu ni ushamba
@yassersaid8233
4 жыл бұрын
Respect and peace salute brother ndugai ccm oyeeeeee
@getrudamathayo5258
3 жыл бұрын
Safinaredio ministry
@wardajoseph6909
4 жыл бұрын
Mashaallah Allah awajalie afya njema
@ednamanji
4 жыл бұрын
Mungu akubariki Mheshimiwa Spika na familia yako. Wabunge wengine hawastahili kuitwa waheshimiwa kwani wana saliti wake zao kwenye Magest house , mara nyumba ndogo. Hawaheshimu viapo vya ndoa.
@timothmwakakusyu4563
4 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@upendoamani5054
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@festomassawe9539
4 жыл бұрын
We ungeju uyo jamaa anamichepuko mingapi unge tulia....uyo kao uku kwetu mke wapili na kashamtema....saivi karudiana na uyo mke wandoa...ndio anamsifia😂😂😂
@ednamanji
4 жыл бұрын
@@festomassawe9539 Pamoja na hayo unayoyasema. Basi ashukuruwie Mungu Mfalme wa Amani aliyeweza kumtumia roho matakatifu akagundua mapungufu yake na kuwaacha wengine wote na kuamua kumrudia mke wake wa Ndoa. Alithamini na kukumbuka mazuri ya mke wa ujana wake.Heri anayekushukuru na kuthamini huduma yako . Kuliko anayekuoa na kukufanya wewe house girl wake halafu wanawake wa michepuko ndo wanafaidi juhudi yako.
@paskaziamasinda4958
4 жыл бұрын
Nimekupenda Sana Mheshimiwa Mspika Unamoyo Wa Unyenyekevu
@stephanomoses7694
2 жыл бұрын
Ndugai mdogo nimemuona asee.
@josephswai6725
4 жыл бұрын
Kama umesikia atusikia mheshimiwa gonga like kama zotee
@erickmichaelmugele2107
3 жыл бұрын
Huyo si ndo yule tunakubaliana zao la bangi liruhusiwe
@dhomila2982
4 жыл бұрын
Lovely lady, lovely children, lovely family. Long live family
@ramadhanikambalame5185
3 жыл бұрын
Yaani mke wako unamuita mama duh!!!
@ashamwamba9088
3 жыл бұрын
Haaaaaaaaaaaaaaabkila.MTU.ajeatambulishe.wakeeee
@farajajuddy4391
3 жыл бұрын
Hongera mama mpiganaji!!wewe ni zaidi ya mama
@makongoronyerere2595
3 жыл бұрын
Sas kapigania nn hpo,?
@saidhamza6390
2 жыл бұрын
Sijuwi hy mama ana hali gani sa hii baada ya mzee kujiuzuru.uspika.
@sifamushi1747
4 жыл бұрын
I wish to give you a Hug. May God Almighty Continue to Bless you, Protect you and Increase you Horn House Speaker Ndungai. We Love you We cant wait to see you back again in the House as Our Continuing Speaker.. We are not saying goodbye because you are not going anywhere🙏 Bless your Heart
@charlessebai4896
4 жыл бұрын
,
@issaczachariah8829
3 жыл бұрын
not sure if anyone gives a shit but if you guys are stoned like me during the covid times you can stream pretty much all the new movies on Instaflixxer. I've been watching with my brother for the last couple of months :)
@santiagochris9022
3 жыл бұрын
@Issac Zachariah yea, have been using instaflixxer for months myself :D
@bigmachineprophett.mjonath5358
4 жыл бұрын
A wiseman of all the time
@makambakoonlinetv7971
4 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MHESHIMIWA SPIKA JOB NDUGAI KWA JINSI ULIVYOLIONGOZA BUNGE KWA UMAKINI MKUBWA NA KWA VIWANGO VYA JUU SANA,UNASTAHILI KUWA SPIKA WA MFANO BARANI AFRIKA.
@eng.hamisim.maliki9133
4 жыл бұрын
Dah,kijana wa kiume kafanana sana na Mh. speaker
@sophiamgaza3800
3 жыл бұрын
Unamke mzuri na watoto pia wazuri
@faustinekulwa2596
2 жыл бұрын
Jamaa alikuwa mstaarabu sana
@magratekiula8854
3 жыл бұрын
Yukio vzr madam .....anafanana na dada yake Bashe..pia..
@tariqmussa8099
4 жыл бұрын
Ongera ndugai mama nimemwona na vijana uo ni mfano mzuri
@erickmichaelmugele2107
3 жыл бұрын
Angalau Ndugai umempa mke credit.....
@wazirituppa6739
4 жыл бұрын
Daaaa Miaka Yotee Ungekuwa Ivi Ungekuwa mzuri sana ila mungu Akujaliee Roho hiyo hiyo ya upendo na Unyenyekevu
@ayubchaz1500
4 жыл бұрын
Chilihamonga mkombi, proud mgogo,
@humayduwe1762
4 жыл бұрын
Nimeipenda mungu awabariki, upendo wa familia ni upendo wa mungu.
@timotheojumal894
4 жыл бұрын
Upendo huanzia nyumbn 🙏🏼
@fedahmwakalobo4628
4 жыл бұрын
Wewe ni baba
@fathefirst1935
3 жыл бұрын
Waoh! Lovely
@andrewmalamsha3042
4 жыл бұрын
Umeongea vzur sana
@sulleysonsulley4160
4 жыл бұрын
Mhe hongera una wasichana wazuri tutakuja kuoa
@japhethgeriad4519
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@timothmwakakusyu4563
4 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆😆
@art.ib6
4 жыл бұрын
😂😂😂
@jenifamligo5199
3 жыл бұрын
Hongera
@ommyrevocatus5765
4 жыл бұрын
Msukuma shida Sana ET hatujxkia
@busnaoman9981
4 жыл бұрын
Maashaallah kiongoz
@editak4353
4 жыл бұрын
Mke mwema hutoka kwa mungu
@gasperfrancis7336
4 жыл бұрын
Kaa kimya we.
@loishiyesamwel1374
4 жыл бұрын
Lakini Tumtangulize Mungu ktk Roho na kweli.
@jssaa4733
4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 maisha haya raha sana
@fatumaabdul806
4 жыл бұрын
Msukuma mungu anakuona
@jtheophil5499
4 жыл бұрын
Maskini asante kwa kazi nzuri.nakuombea ushinde uchaguzi .una busara sana
@shiffahsinani4033
4 жыл бұрын
Mmmmm
@makongoronyerere2595
3 жыл бұрын
Mh, ww bhn ww, huna Kaz nn
@paulolaizet5175
4 жыл бұрын
Haaaaaaaaa hongera sana speaker ndugai
@stanleymgani2492
4 жыл бұрын
Ongeza saut tafadhar
@petergodwin1039
4 жыл бұрын
Hongera saana!
@alakomba6830
4 жыл бұрын
Mke mwema huyu. Mungu amtunze
@patricknyiti5303
2 жыл бұрын
Mke wa mzandiki wa Taifa
@rosemosha6301
4 жыл бұрын
Safi sana
@wilsonkaseha2034
4 жыл бұрын
So lovely!
@olivadickson1466
4 жыл бұрын
Hongera sana mama mm leo hii natukanwa matusi yote mabaya shikamoo mume wangu kwa zawad ya matusi🙏
@pendaelmollel1847
4 жыл бұрын
Oliva Dickson pole sana mama
@bellamathias3080
4 жыл бұрын
Pole best wengine hawajitambui
@olivadickson1466
4 жыл бұрын
Ndg yangu nimechaganyikiwa sijui ht hakiri imesisimama kbs na wtt 😰😰😰
@pendaelmollel1847
4 жыл бұрын
Oliva Dickson Omba Mungu atambadilisha Mumeo ,, halafu pia ww endelea kumuonesha upendo wa dhati hata kama anakunyanyasa utaona atakavyobadilika .. Usifikirie kuacha ndoa yako mama
@judiththobias3234
3 жыл бұрын
Huyo ndio mwanaume anakusifia kabla hujafa
@peterdeus6093
4 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa familia nzuri, ila kwa ako kabinti kaliko vaa kaki mashallah ngoja nitafute namba🤣🤣🤣
@friminamkenda7405
3 жыл бұрын
Hhhhhhhhhh 🤣 🤣🤣🏃 🏃🏃
@anahna6788
4 жыл бұрын
Hongera sana kamanda wa kigogo
@yassersaid8233
4 жыл бұрын
Ndugai oyeeeeeee
@salimliemba3458
4 жыл бұрын
Allah awajalie upendo daima Ameen
@abbyadams8691
4 жыл бұрын
Wapenda raha utawajua tu!
@zuberyrajabu3705
3 жыл бұрын
Ndugai pigakazi mzee
@kulway4669
4 жыл бұрын
Hadi raha
@innocentkimata7274
4 жыл бұрын
Maza anaonekana ana busara zaidi kuliko mh sabufa mwenyewe anyway kikubwa uhai 🙌🏾
@geofbeka1669
4 жыл бұрын
Kweli
@helencyprian6044
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 imeona eeee
@evalinemgendi2418
4 жыл бұрын
Haahahhahhaha
@leoniajohn8676
4 жыл бұрын
Mungu anakuona😁😁😁😁😁
@christophertarimo5047
3 жыл бұрын
Kweli Amekuvumilia maana una vituko sana jamaa
@christophertarimo5047
3 жыл бұрын
Huyo mkubwa akioa,tumpe uspika
@kentkihongole8235
4 жыл бұрын
Mbona hakushauri ujinga unaofanya hapo kitin
@josephinejosephine1455
4 жыл бұрын
Ingekua kenya hio bunge ingeishia kotini
@selemankishema5780
4 жыл бұрын
Ukitaka kugundua kuwa watu wanawaza saana pipe bac litajwe fumbo utaona wanavyochachawaa
@muhammedmsagat6833
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Umewaza nini duh.
@shemsakiobya1094
4 жыл бұрын
Waoooi mama💏 ongera sana baba kakusifia u mke mwema.
@edithkovary3654
4 жыл бұрын
Well done madaam. Keep doing well. Remember you did promise to God in sickness and healthy . Fir poor or rich till death apart. So is your responsibility you did. I do not think Spika needed to praise you for that. Was part of your duties. I feel like like that was not the place for that. But that is my own opinion.
Na mke wa AZORI pia anahitaji mumewe mumrejeshe mulipompeleka, na mke wa BEnsanane, na wake za MASHEHE WA UAMSHO. Na mke wa LISU ameumia kwa kumpiga risasi groud hiyohiyo ya bunge. Its a matter of time
@salehalzakwani3283
4 жыл бұрын
Mheshimiwa ndugai kutoka Oman usiondokeee bunge bila wewe kama tarrab bila mzee Yusuf
@Rashidmhedhery
4 жыл бұрын
Saleh Alzakwani ; ovyooooooooooo
@mikapmwalimu4555
4 жыл бұрын
Saleh Alzakwani hahahahahahaha hakika
@annamushiaminaaa4367
4 жыл бұрын
Hongereni hata wattoo wenu wanasoma China ,mke anabusara kushinda wote
@clarajapheth8804
4 жыл бұрын
Ndugai umelewa sana madaraka na ulikuwa ukinyanyasa upinzani. Shukuru Mungu alikutapika. Mkeo anaonekana mstaarabu
@mariamuseifu3065
4 жыл бұрын
Masha Allaah
@eddoedwin274
4 жыл бұрын
Aya sasa kuna maisha nje ya bunge
@lukaseliasobwolo7498
3 жыл бұрын
Jiuzuru hauna hadhi kua spika
@ramamtetu2327
4 жыл бұрын
😁😁😁😁 Leo Mh Spika Umetupa raha
@salhamrishoaish9292
4 жыл бұрын
Mashallah😘❤
@bimumaulid1171
4 жыл бұрын
mashallah mungu atuwekee
@francemwanawesa5966
3 жыл бұрын
Wamekosa vya kujadiri siku hz wameanza kuwatambulisha wake zaoo
@mulhazinzibar6912
3 жыл бұрын
Sasamiminiulize hukobungeni watuwanajadili nini au wanajadili familiyazao basi kaziitakuwamzuri mwakahuu mhh hatarisana simufanyepati nyumbanikwenu muanzekutambulishanajamani
@salimzaidi9203
4 жыл бұрын
Mungu awajaarie upendo zaid
@leonidamatungwa5328
4 жыл бұрын
Huyo ndio mkeo wa kwanza
@erickchitumbi1308
4 жыл бұрын
Ndiyo maana umeimarika sana mh.spika
@aminanice1796
4 жыл бұрын
Mashaallah
@myunaniniahmad6463
3 жыл бұрын
Watt 3 tuuu. Mmmm ongeza.
@mwesigwakabyemela6112
4 жыл бұрын
Nimekumbuka enzi nikiwa mbunge na waziri chuoni. Yaani siasa za vyuoni hazina tofauti kabisa na siasa za nchi
@sasha-ri7tf
4 жыл бұрын
Ndugai wewe tatizo lako udhaifu hujitambuwi hatujawahi kupata spika dhaifu kama wewe,unaendeshwa na muhimili kama mwengine kama vile robot pumbu mkubwa wewe.
@makongoronyerere2595
3 жыл бұрын
Hahaahahha, sawa kamanda wangu, wagumu tunakuelewa, mshua boya2
@christophertarimo5047
3 жыл бұрын
Sasa,kama ulikuwa ICU ulijuaje alilala masaa 24😆😆😆😆🤣
Пікірлер: 287