Pastor Abiudi nakupenda sana baba Mimi nipo Arusha naitwa past Eliya rashidi hongera kakazi ya bwana
@tituslucas2348
2 ай бұрын
I wish nikuone Baba USO kwa uso nione jinsi ulivyo! Barikiwa sana Baba
@emmanuelgamba2768
2 ай бұрын
Mungu AKUBARIKI SANA MTUMISHI WA MUNGU, Na uzidi kuinuliwa zaidi Katika HUDUMA YAKO. Binafsi najengwa sana na Mafundisho yako. Ubarikiwe sana
@barakanatus5676
2 ай бұрын
Baba nakupenda sana Yesu Kristo yupo ndani yako.
@simonlomayani5743
2 ай бұрын
Nayipeda sana mafundisho yako abiudi nakupenda
@rodgersanyembe
2 ай бұрын
AMEN rev.Yesu azidi kukulinda kwani kupitia mahubiri na jumbe ambazo Roho Mtakatifu hufunza kupitia kwako nimesaidika kweli rohoni na katika safari yangu ya wokovu.endelea mbele.
@NicksonImbundila
Ай бұрын
Pastor abiud mungu akubariki Sanaa kwa huduma ya mungu
@barakamhenga6195
2 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza umutumikie Mungu ktk kizazi hiki kilichopotoka endelea kusema kweli ya MUNGU
@FelistaKisinga
2 ай бұрын
Mungu azidi kukupa hekima na kukutegemeza kwa wingi wa nguvu zake
@lightymarco851
2 ай бұрын
Wewe Bwana nguvu zangu, Nakupenda sana 😢
@albertomichael2139
10 күн бұрын
Namuomba sana Mungu anipe uhamisho nirudi Mbeya mjini ili nizifaidi ibada za block T kwa mchungaji Abiudi Martine Misholi, Mungu akutunze baba katika wakati huu wa kumalizia.
@Fredy_masangala
2 ай бұрын
Nakupenda Sana baba yangu wa kiroho, japo siko karibu na wewe, ila kiroho tuko pamoja unanichunga hata Bado nikiwa mbali kweli yako Bado Iko na Mimi, toka 20/19 nimebatizwa na kuokoka ndipo nikakujua wewe baba Na paka Leo tuko pamoja, UBARIKIWE SANA Baba yangu abiudi misholi.
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Mungu akubariki na azidi kukutunza.
@Fredy_masangala
2 ай бұрын
Asante Bwana YESU, kwaajili ya Mtumishi wako pastor abiudi misholi, Kwa kazi yako uliyompa anaitenda sawa sawa na lile agizo lako ktk NENO lako BWANA, naomba YESU endelea kumpa nguvu ujasiri azidi Sana kuisema kweliyako, thank you JESUS 🙏🏼
@zenataashura792
2 ай бұрын
I wish one day nifike Tanzania niuzuriye ibada zako Ubarikiwe sana ❤❤
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Karibu sana
@damarisnyaata
Ай бұрын
Amen Amen Be blessed pastor
@Emmanuel-lk4wm
2 ай бұрын
Barikiwa pastor Mungu awe pamoja nawe Zaid 🙏🙏
@lydiabenjaminmgalula6189
Ай бұрын
Amen 😔🙌 ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu 🤝🤝
@fredykiluka6606
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu akubaliki sana
@NicolausMoses
2 ай бұрын
Siku nikija Mbeya nitasali kwenye kanisa hili sio kazi rahisi kwa akina Mama kuachana na matakataka kichwani Kweli ROHO yuko kazini
@user-tv6uq7bc2y
2 ай бұрын
❤❤Barikiwa sana dady
@jobemaase4432
2 ай бұрын
Be blessed servant of God
@heshimandunguru6147
2 ай бұрын
Mungu Akubariki ❤
@NuruMpyanga
2 ай бұрын
Barikiwa sana, ibada za roho
@user-uo4ui9zu6y
Ай бұрын
Namkubali sana Abiud asee , injili yake ni ukweli mtupu.....
@faithe4063
22 күн бұрын
Amen and Amen
@EmanuelSolomon-ij1is
2 ай бұрын
Amina sana
@Fredy_masangala
2 ай бұрын
Amina baba abiudi
@user-oj4lm2dn5b
Ай бұрын
AMEN
@user-xd7uj8sz5w
2 ай бұрын
Glory to GOD.bless you Mchungaji Abiudi
@faithtimothy6396
2 ай бұрын
YESU naomba unisaidie mimi
@faidakilusha1557
2 ай бұрын
Jambo iyi nyombo ninabagapi mukitanu cha okovu naipenda sana ilasijuwi nabayao
@joerfamednoag7458
Ай бұрын
amen
@isaacyabeko7969
2 ай бұрын
Amen 🙏🏻🙏🏻
@happyalbert5089
2 ай бұрын
Amen
@JohnDaniel-mc5oi
2 ай бұрын
🙏🙏🙏
@rizikilaunda961
2 ай бұрын
Hakika na Mimi natamani siku Mona nishiriki nawewe kwenye sifa na maabudu!!
@eliudmgani1615
2 ай бұрын
🎉
@faidakilusha1557
2 ай бұрын
❤❤❤
@miriamwangari7417
2 ай бұрын
Kuna kitu cha ajabu Tena Cha uuNgu mbeya. Barikiweni mhubiri Abiudi na mchungaji Mbarikiwa. Endeleeni kuinia juu bendera ya Bwana watumishi waaminifu.
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen
@MaaDii-iz3ur
2 ай бұрын
Jaman mniombe mm nimetekwa sana na wanaume wa mitandao hata tym ya kuomba tena sina na hata nkiomba naona hakuna anything uwepo uliisha kitambo 😢
@GodfreyMushi-kn3nb
2 ай бұрын
Kwakua umejita nakutambua hakika xake roho wa MUNGU anakutaka sana neema xake zikutoe katika vifungo ivo kwa kuna la YESU lenye uweza
@simonlomayani5743
2 ай бұрын
❤
@SmilingCaterpillar-yy3jc
2 ай бұрын
My fav , pasta
@Babavicktoria
2 ай бұрын
Napata maonyo mema kutokana na mafunzo haya, ewe Mungu uniongoze na kunipigania dhidi ya vizuizi vyote vinavyonizuia kukuabudu kwa haki na kweli
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen
@damarisnyaata
Ай бұрын
Naomba number yako pastor please
@FelistaKisinga
2 ай бұрын
Mungu azidi kukupa hekima na kukutegemeza kwa wingi wa nguvu zake
Пікірлер: 52