may the Lord keep you well dear pastor. kwa neema ya Mungu kuna baraka nyingi Kimara. kwaya kuu inaimba vizuri mno. na maombi na watu kufunguliwa. utukufu, sifa na heshima ni kwa Kristo Yesu. ndie muasisi wa kila kitu hapa. baba Mastai asante sana kwa utayari wa kuwa lango la haya.
@Erickasanterabi
4 ай бұрын
Nafurahi kwa utumishi wako MCHUNGAJI wangu
@masawajoyline9159
3 ай бұрын
Im blessed here🙏
@elyhillary2000
4 ай бұрын
Ameeeeeeeniii 🙏
@chemabishota9815
3 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mch Matsai.
@hildernelson821
3 ай бұрын
Barikiwa baba Mastai kwa kumruhusu Mungu akutumie..
@GloriaGerazi
3 ай бұрын
May this revelation come to pass by GOD'S grace. Thank you, God.
@rogathengowo1099
4 ай бұрын
Mungu nisaidie niweze kutoka hapa nilipo
@elimikamariki2820
4 ай бұрын
Asante baba Mastahi ,Mungu akutunze sana
@BerthaMmari-kc2bi
4 ай бұрын
To God be the Glory for this wonderful relevation
@jacobfaustine7866
4 ай бұрын
Mch, naomba kujua ikiwa mzaliwa wa kwanza hasa mtoto akiwa ameahafariki nifanyeje hasa ikiwa Kuna watoto wengine waliofuata...!!!?
Пікірлер: 11