Wallah hamna shekhe nampenda dunian kama shekhe kipozeo yarrabi kwa rehm zako mjalie shekhe kipozeo pepo ya firdaus amiiiiiiiiiin
@allyshaban5444
7 күн бұрын
ALLAH AKUHIFADHI SHEKH WETU HILAL SHAWEJI MAKARANI A.K.A KIPOZEO
@mwaringakali483
Жыл бұрын
Kazi nzuri sana bwana kipozeo Allah akupe afya na nguvu
@rajabukimosa3377
Жыл бұрын
Mashaallah Allah akupe heri duniani na Akulipe wema Akhera
@Moranotz
Күн бұрын
Mashallah isilamu ❤
@hadjrahkhalfan3584
Жыл бұрын
Manshallah tabarakallah imam Abuu Hanifah kwa jibu zuri saana
@zayanaduduna1405
Жыл бұрын
Maa shaa ALLAH tabaraka ALLAH ALLAH akupe JANNAH FILDAUSI ALLAHUMMA AMIN YA RABBI 🤲🤲🤲🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@abduladenya2435
Жыл бұрын
Sheikh Mola amjaze kheri ana ilmu kubwa na Bora zaidi,Kenya tuna m enzi
@asrymohd6690
Жыл бұрын
Muda mwengine mada zako zinanikosha Mashallaaah
@stevenkipara9310
4 ай бұрын
Mmmm! Mbona huyu Sheih yote anayo zungumza yapo kwenye bibilia Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
@zitoncombo1317
Жыл бұрын
Mashallah Tabarakallah shekh.
@saidmwakulika9945
Жыл бұрын
Kugongozwa roho Allah atupe wepesi
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Mtihani kwa kweli
@AllyMwambashi
9 ай бұрын
Kila la kheri shekhe
@user-sy3qw2zk1b
10 ай бұрын
Mwenyezi MUNGU akupe umri mrefu na akuongezee hekima ktk mafundisho yako ya kilimani. Mimi ni mkristo lkn napenda kusikiza hekima hii ulionayo.
@ibnukhatwib2969
5 ай бұрын
Karibu katika dini ya haki,ndugu mpendwa
@saidmwakulika9945
Жыл бұрын
Yani 😂😂😂😂 ustadhi wangu huwa nakutambua sanaaa
@othmanmasoud1672
6 ай бұрын
Maana vijana wa kileonataka kukifanya kila kitu mnajuwa kazi yenu kuwakosoa mashekhe tu hata kama hamjui
@safielimjema4593
Жыл бұрын
Nakuelew sana sheikh kipoozeo
@user-du6bd3no2b
5 ай бұрын
Mzee wa mizigo miss bantu
@mudrckshaamal-wb9vx
Жыл бұрын
Shehe fundi mashaallaa baraka Allah
@jahmalnjambe2205
Жыл бұрын
Wisdom of the divine
@stanleychisasa4343
Жыл бұрын
A like this papa
@RadjabuNiragira-xr5zr
Жыл бұрын
Mansha allah nakupenda sana maana mawaifha yako napata faida alafu na unanicekesha
@abdallahbrek1698
Жыл бұрын
Hapo katika Sunna mjomba umechanganyikiwa. Allah katuamuru tufuate kitabu chake. Muhammad alikuwa ni mjumbe tu. Tufuate ujumbe aliopewa, Qur'an. Wala hakuna cha makhulafaa wala khilafa. Huo ni uzushi chungeni
@fahadmussa8879
11 ай бұрын
Sun bwana wana chunguza mada nzima ili wapate kwakukosoa sio kupata dawa wao niubishanitu
@nurdinibrahimu7312
9 ай бұрын
Alla Karim🙏
@issachitupa590
Жыл бұрын
Shekh irali kipozeo nakukubali sana
@pangapeter2758
Жыл бұрын
Nice
@musegedi3197
9 ай бұрын
Cre
@mohamedali7544
Жыл бұрын
Ustad kipozeo MashaAllah. Maustadhi wengi tz huwa nimatabibu Inna Lilah wa Inna Lilah rajiun
@ibrahimally8073
Жыл бұрын
SubHanaAllah.. Allah atujaliye mwisho mwema
@khadijanyevu5866
10 ай бұрын
Nayapenda mawaidha ya sheikh kipozeo lakini kwanini hapendi kuja Kenya??
Shekhe mwalimu alijua kuwa ankufa saabu alikua na stage 4 cancer alikufa muda alioambiwa atakufa na alikufa muda alioambiwa na madaktari na nyerere alimwambia ata mkapa ( ugonjwa huu mimi sitopona) na mkapa akawaambia wananchi
@SultanAkram-ou8nt
4 ай бұрын
Uwezo wa kufikiri wa mwanadamu una kikomo ,hivyo na ww hapo ndo mwisho wako wa kufikiri
@SultanAkram-ou8nt
4 ай бұрын
😊😊😊
@othmanmasoud1672
6 ай бұрын
Hiyo sio mada hayo ni mawaidha wee vip eti wakati mwingine mada zako zinanikosha alafu huyo shekhe kama hujui anavitu vingi kichwani achilia mbali huo uchale wake
@abdallagaza6864
Жыл бұрын
❤
@ManaseManase-in3bg
Жыл бұрын
Naminywilu ndo wapi shekh
@saidimaliki8342
Жыл бұрын
Mkoa pwani
@aisharajimbo6784
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@soudhussein7396
Жыл бұрын
Ukitaka kumjuwa IBLIS kwanza ijuwe nafsi yako mwenyewe.
@edoedo4973
Жыл бұрын
MASHEIKH WETU MNAFULAI SANA KUPATA RAIS MWANAMKE MASHEIKH INABIDI TUPATE NA MAIMAMU WANAWAKE
Пікірлер: 50