Ndugu yangu mda uo tumia kufanya kava jaribu kufanya Ngoma zako mwenyew Wenda ukafanya vizuri zaid ya hapo,maana wafanyaji kava washakuwa rukuki mm nakukubali sana na nakuona unakitu Fanya hivyo
@princedelmontee6440
5 ай бұрын
nakubaliana nawe asilimia mia
@maybe_tz4121
5 ай бұрын
@@princedelmontee6440 Anafeli wapi dogo ??
@faustinhommedetatnifasha9669
5 ай бұрын
Hizi covers bro.kwani kunaufundi gani hapo mpaka ww umtume kwa hormo n'a monde ?? Bro #BSS katoka mapemz kama hakuemwo. Hantone walimtema.nzwengine huu nanini???
@youngkmweusiwareba
5 ай бұрын
BASATA hawawezi nunuwa nyimbo zahivyo😮
@HilaliDismasi-bi7en
5 ай бұрын
Ungekuwa unaimba nyimbo zako hakika ungefika mbali
@IDV630
5 ай бұрын
Huu dogo amekosa wakumusaport
@WilondjaDaudi
6 ай бұрын
Kazi kubwa sema hongera kwa meneger aliye mzamini mana jamaha alikuwa amesha potea kwenye ramani 🙏🙏🙏
@official_syno
6 ай бұрын
Gold boy should start singing his own songs,,,sauti imeweza na I will like to know his creativity level
@Starbornpictures
6 ай бұрын
I wish nifanye video cover moja naww blood
@philipjey8955
5 ай бұрын
Sioni ni vizuri kumwambia gold boy akifanya cover anaharibu Hela...gold boy ana mambo anayavumilia Kwa sasa ila ikifikia time atatoka
@KarimMwanjama
10 күн бұрын
Ni mda sana umeanza nljua mpka sasa utkwa mbali lln bado rizki endelea kufanya cover but ungejarbu kufanya kitu chako mwenyewe hope watu wataona
@elysoncharo6156
5 ай бұрын
Like this cover for sure,the boy has something unique which makes the big artist doesn't see it,where is Kiba, Diamond,Tembo does it mean they don't see how Gold boy,..Achen ubinafsi
@DachBaby
4 ай бұрын
I miss u taddy 👋mtu wa mahan kabisaa anyway cover for life gold boy again dharau utaki like me dach bebe 🤗😁😁
@amaningobayi7114
6 ай бұрын
Gold boy apa bro umerudi kwenye form You don't have to give up, life is full of ups and downs pambana
@SalathielKatembo-bf3yu
6 ай бұрын
Unaimba vizuri sana kaka nimekubali sana nipo Congo
@verosir1416
6 ай бұрын
Kama yenyewe 💥 fund mzik huu naupenda❤
@RakizzyJuma
6 ай бұрын
Gold boy hongera Sana bhana umeweza NI zam yako ssa kutoa kazi yako mana tushakufaham kalibu inchi nzima kama mtaalam wa kava
Gold boy u were mAh super star of covers since u left we've been missing you so much bro get back your account and do more of them
@nasnasri
6 ай бұрын
goooddddd🎉
@molingajunior8499
6 ай бұрын
kijana unajua vibaya sana ww mnomaa
@nicholauskapinga2284
6 ай бұрын
Umetisha
@graphitenumz
6 ай бұрын
Ndugu zangu kabisa Taddy Gold Boy ...Nimewamc Ndugu zangu Tuendeleze mapambano
@taddy_rhymes8900
6 ай бұрын
We miss u too bro 🔥
@graphitenumz
6 ай бұрын
@@taddy_rhymes8900 Naachia Ngoma mbili na Mafia Nitakitumia Kaka
@fanuelyfanuely8002
6 ай бұрын
Yan hap umrd vzr
@mecksaina
6 ай бұрын
Sana Kaka kigoma
@EmanuelSimon-pe6ku
6 ай бұрын
Kazi nzuri br
@HassaniDnyo
6 ай бұрын
Nakukubali Sana kijana
@SharobertClassic-bw9fz
6 ай бұрын
Kali sana🔥🔥🔥
@IvanaGee
6 ай бұрын
Damnit 🎉 your voice is so sweet.. you deserve a collabo with Chinga🔥💯
@kidmozjkm7965
6 ай бұрын
Gold Boy ni WA moto 🔥🔥 adi leo
@africamz1762
6 ай бұрын
Pra sair nessa música é Como? Gosto tanto da Música🇲🇿
@aquaculturetv
5 ай бұрын
Kigomaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
@THE_HARKQPEarnestPQuarantine
6 ай бұрын
Kaliiiii🎉🎉🎉
@chibo666
6 ай бұрын
verse za Ibraaah kauaaaaaaaa
@lusekelo97
6 ай бұрын
Kwa kondeee huwezi panda njia zake
@bilombelekilozodieudonne123
6 ай бұрын
*_Unaweza sana Brother wangu 😂❤❤🎉_*
@whitexstudio
6 ай бұрын
Talent mbili zimekutana taddy & goldboy
@taddy_rhymes8900
6 ай бұрын
THE NEXT 🔥🔥🔥📸🎥📽️
@victorcephas3618
6 ай бұрын
This is your best cover after your come back Work hard God will open the door for carrier
@Riderdb-jd7xr
6 ай бұрын
unyama 🔥💯🙏💰
@matananakid5040
6 ай бұрын
Gold boy
@IDV630
Күн бұрын
Huu Kaka ana weza sijui shida iko wapi
@BenediktoNtagazwa-in3ho
4 ай бұрын
Gold boy natamba nawewe dam yangu
@zuleikhaahmed7220
6 ай бұрын
❤🔥❤🔥❤🔥❤💯😍
@TheShedy_platinumz
6 ай бұрын
Umepita vzr umu ndani 😊😅
@mrsinia3064
6 ай бұрын
Nice work bro 👍
@LidiaShugweryimana
6 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@tumpepanja9671
6 ай бұрын
Sijajua ni harakati zako za kutafuta ugari au mishemishe zingine za kibinadamu kiwango chako kimeshuka kidogo wewe ni mnoma sana cover zako za zaman zote ninazo zinautofauti mkubwa sana uimbaji wako na wa sasa sijui kwann
@IDV630
6 ай бұрын
Situdio namajukumu
@wizzykada9850
6 ай бұрын
Low production majukumu Alf kuna MDA aliacha mazoezi ya sauti akawa anapiga mishe mishe apate fedha na vingine so vya kuwepo hadharan
@AbdurazackShabani
6 ай бұрын
Wakati unawaza hayo usisahau kama kuna copyright ko lazima uimbe ili itofautiane na original la sivyo wana ifunga
@RaoulRodri
3 ай бұрын
Xo fantastic
@gejoboyofficialtz8961
5 ай бұрын
Jaman nisaidien namba akeeee nashida naee huyuuuu
@taddy_rhymes8900
5 ай бұрын
0765719128
@youngkmweusiwareba
5 ай бұрын
Dogo nibasi to.kuangalia nyimbo za vover zako sawa.lakini hivyo nikuhalbu hela. Hata mimi nauwezo wakuludia nyimbo .kizuli imba hata zako kumi sawa.acha kuchezea. Hela studio sio yababa yako
@TheodolyCharless
5 ай бұрын
Ukisikia uchawi ndohuo ndugu yangu achachuki Kama unaweza katoe na wewe tukuone ukiimba
@MsafeerNdac-j9q
5 ай бұрын
Ndugu unajua
@AbdicLazarusvideolibrary-vb9jb
5 ай бұрын
wimbo n wa majonzi lakn ww unaonekana unafuraha kwahy kweny video nakupa 0.00
@behindakalenda1144
6 ай бұрын
Mmmh ok
@AyubuFumbi
6 ай бұрын
ulipotelea wapi
@NiaMedia
2 ай бұрын
Unapayikana wapi?
@Directorstanton
6 ай бұрын
Jamaa Ana talent kubwa but kadl ya siku zinavozid kusonga kijana anapotea natamn one day niongee nae nimshaur kit
Пікірлер: 91