Goli pekee la Stephane Aziz ki limeipeleka Yanga fainali yake ya tano ya michuano ya #CRDBBankFederationCup ikishinda 1-0 dhidi ya Ihefu SC, mchezo wa nusu fainali uliopigwa Sheikh Amri Abeid Arusha.
Yanga sasa itakutana na Azam FC katika mchezo wa fainali, Juni 02, 2024.
Негізгі бет Спорт Ihefu SC 0-1 Yanga SC | Highlights | Nusu Fainali CRDB Bank Federation CUP 19/05/2024
Пікірлер: 173