Tunashukuru sana kwa uelimishaji. Ila naomba muongezee kitu kwa kuweka mawasiliano ya interviewee(mhojiwa). Hii itasaidia kuleta mahusiano mazuri ya mtazamaji na mhojiwa. Kuna vitu vingine ni vidogo ambavyo kuulizana so mpaka uvifungie safari. Ni maoni yangu tu hasa kwa interview za usasa. Mnapo display jina, liambatane na mawasiliano hasa kwa yule aliye tayari
@oxygen9603
4 жыл бұрын
naomba kupata jina la #blog #website yenu ili niweze kujifunza mengi zaidi juu ya hili mlifanyalo #asante
@kilimobiashara9361
4 жыл бұрын
Tazama mwisho wa video hata kwenye profile ya youtube
Пікірлер: 3