Imf ni wanafiki vibaraka wa magharib ndio wanaoingamiza Africa kuendelea kuwa maskin😢😢😢
@sonnyr1899
26 күн бұрын
Hawa ni wachawi wa kimataifa.
@eben_ezer8853
26 күн бұрын
Wapumbavu wameona watu wako serious na nchi yao ndio wanajitokeza kwani hawakusikia toka mwanzo tukisema hatutaki hiyo bill.... Na. Ndio kwanza tumeanza mpaka wasemeeee.... We are kenyan and Kenya is our big business period💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@khalidmdotta3843
26 күн бұрын
Hawa wahuni hii ndio jela ya magharibi ambao wa Africa tunajipeleka wenyewe kwakukosa uvumilivu na upambanaji
@user-xl9oi3cl9c
26 күн бұрын
Kama Kuna inchi tajiri Kenya nimoja wawo viongozi Jo wa baya Kenya siyo masikini NO NO😢😮😮😮😮😮😮😮😢😢😢😢
@Abdulmajid79072
26 күн бұрын
(International masonic fund) Imf
@kidatokassim7616
26 күн бұрын
Power of Genz we are educated we know what we need to do at what time and where
@Gavi_255
26 күн бұрын
Baada ya kuwaingiza kwenye maandamano
@MohammedBwanga
26 күн бұрын
Washachapisha makaratasi yao kuzipelekesha nchi zetu za kiafrica ,lkn km kweli Wana uwezo watupe dhahabu waloziiba kwetu
@BIGBOSS-hl3bu
26 күн бұрын
Kwa watu waelewa vita vya panzi ni furaha ya kunguru ,,,anyway Bila waafrika kujikwamua wataendelea kututesa sana kupitia umaskini wetu ,hawa hawatusaidii wanatudidimiza zaidi ndio maana tukipata matatizo ya KIUCHUMI nilazima tufikirie kukopa kwao kila siku madeni yasiyoisha na wakati AFRIKA imejaa rasilimali kibao
@kidatokassim7616
26 күн бұрын
Wakenya tugawe izo mabilioni bana kila mtu akufe na chake 😂😂
@keyzytowangilah591
26 күн бұрын
Kenya is not a low income earning country...mpuuzi sana huyu
@bakariomari24omar21
26 күн бұрын
Imf ndio adui mkubwa wa bara laafrica wanajua sana misaada wanayotoa inaenda mifukoni mwa wakubwa waserikali.kenya haihitaji tena bara bara wa Nini watuache tujijenge wenyewe na tuzo zinazo tolewa nchini
@yasminmustafa2282
26 күн бұрын
Let it be known that Kenyans wrote over 4000 emails to IMF telling them to stop financing us with loans...yani hii serikali tunaipiga from all corners... Waangukr na huko na hayo mafedha yao
@juliuskitomari3057
25 күн бұрын
IMF hamna kitu ni wanyonyaji kama wanyonyaji wengine,wanakupa fedha zenye masharti,na mahali pengine masharti mabaya
@sarahonguso6187
25 күн бұрын
Pale twitter #LeaveUsAlone..IMF, we don't want it there apology
@pesaspy_tv
25 күн бұрын
Inaonekana ziara ya ruto kenya na kumuunga zelewisiki wa Ukraine na kumponda putin ni chanzo cha maandamano
@thelonewolf4429
26 күн бұрын
Hizo mabilioni wamena za bure au ni deni pia? Hawa sio watu wema kwa Africa
@abuukajembe-to6sd
26 күн бұрын
Mbwa kabisa
@lazarombuze9776
25 күн бұрын
WAHUNI WAKUBWA ANAJIFICHA KWENYE KIVURI NAKUIGIZA ANAHURUMA ,WAKATI NDIO HAWA WANAZILAZIMISHA NCHI ZETU KUKOPA KWA MASHARTI MAGUMU
@POLITICS_WAR_DIPLOMACY
25 күн бұрын
kaka sky its too late
@sophiahmedza929
26 күн бұрын
Hawa watu last year waliwaambia wasimpe pesa hao wanapeana kwa manufaa yao. Radhi ya nini after blood shed 😢😢😢😢😢
@hassankilengah4786
26 күн бұрын
Hawa ni wanafiki hawajali chochote zaidi ya maslahi yao, wanaua,wanapora mwisho utasikia wanasema sahmani,tunaomba radhi.haya manyang'au tu.
@AyoubHajj
26 күн бұрын
I'm do not have time kumskiliza pira kama huku ivii wanatufanya sisi mandendele kiasi gani ivi huu msamaha wao ni wakweli kiasi gani ivii kweli wanajali life progress yatu na huo mkopo utakuwa na conditions gapi na ngumu kiasi gani I'm from tz 🇹🇿 but really I'm so sad 😢 on what going happen in Kenya
@hamoudcreator6343
26 күн бұрын
BADO SIJAELEWA IMF KUOMBA RADHI KENYA.....😢😢😢 DUHHHH!!! KWAKWELI TUKO KUBAYA SANA WAAFRICA
@wemakalama6458
26 күн бұрын
Acha nitafute zangu nikopeshe maisha haya naona prank tu🤗🤗🤗
@nillan8483
26 күн бұрын
Sns for life
@khadi-z4o
26 күн бұрын
WAKENYA TUMEKWISHAA
@user-td4le3xf7h
26 күн бұрын
Hawa niwanafiki watu wakifa kwao ndio fraha
@gilbertkalanda9354
25 күн бұрын
IMF ni wapumbavu tu
@christopherjoseph8330
26 күн бұрын
IMF must go
@waithirahnaomy1573
26 күн бұрын
Hii mikopo inatwangaminza sana
@michaeljuma7764
26 күн бұрын
Africa will never be liberated unless IMF is completely gone
@omarzinga7046
26 күн бұрын
Imf wanasababisha shida alafu wanakuja kuitatua ili tuwavulie kofia sheitwan rajeem
@dullahabdallah-nu1py
26 күн бұрын
Mwamba ngoma huvitia kwake
@salehkhamis9994
25 күн бұрын
Jaman mukiandika comment andikeni fupi fupi ili tuweze KumaLiza kusoma kwa haraka
@agwalubifaridah7079
26 күн бұрын
Wakwende huko
@fatumamwalimu5765
26 күн бұрын
Vile mlinufaika kupitia kenya
@trendz_2548
26 күн бұрын
Maumbwa tu
@eleven-in5qw
26 күн бұрын
Bona Habari hizi huku kenya hatuambiwi
@mtzhalisi2232
26 күн бұрын
Wanaona noma
@svt3
26 күн бұрын
Habari ziko mitandaoni unataka uziambiwe aje?
@yasminmustafa2282
26 күн бұрын
The information is all over unless you live under a rock
@alibinali_
24 күн бұрын
Mama samia amesha sign IMF kitambo
@FredrickMatiku-xf2uk
26 күн бұрын
Vita ya kunguruuu furaha kwa tajiri
@alibinali_
24 күн бұрын
Mama samia amesha sing IMF kitambo
@issatanda4281
26 күн бұрын
Kama Wana moyo ya thati wawape Bure TU hizo pesa si lazima kuwakopesha
@jacksonngusi4122
26 күн бұрын
Nenda Bank kakope pesa bila liba apo ndio utajua unavuna bila kupanda
@omarymwaluko9765
26 күн бұрын
@@jacksonngusi4122marekani mashoga
@alibinali_
24 күн бұрын
Mama samia amesha sing IMF kitambo
@vintz338
26 күн бұрын
IMF, WB na taasisi hiz za kimagharibi ndo tatizo kubwa la nchi za kiafrica kutoendelea kiuchumi. Hizo nikama taasis za jumuiya za nchiza kimagharibi
@awazioga1823
26 күн бұрын
Putin kuwasikia hao mashoga
@ElijahOwino-xe2cd
26 күн бұрын
Fanya uchunguzi uone deni la Rasia na ilitoka wapi
@wadeelegbogun3015
26 күн бұрын
Tanzania ndo balaa, huyu mama samia katuuza kila kona yaani mkivijua vya ndani, mngefanya maandamano km kenya tuikoe Tanzania yetu.inasikitisha sana .yaani tunaludi utumwani tena
@AmourAmour-ux3nm
26 күн бұрын
Vip kijana
@africanmandetraveler2847
26 күн бұрын
IMF hawapo kwa ajili ya kusaidia wapo ,wananunua vibaraka wa kiafrica ili wakutumie ,mfano standard charter bank,insurance company na vitu kibao wanamiliki wao.Kuchukua hela IMF huo ni mtego.
Пікірлер: 59