Daaaaaa huzuni sana dada wastara! Mungu atakusaidia Dada yangu.
@judejumaa9172
6 жыл бұрын
Umelia sana dadangu. Ipo siku yako itafikia nawe utafurahia ulimwengu. Mungu yupo hajakuacha mja wake. Atakufuta machozi yako. Kama mwanamke najua una uchungu sana hasa kwa watoto wako wanaokutegemea wewe. Alokuumba anakutizama anakujua zaidi ya sisi binadamu. Tunakuombea
@khadijasharifu9591
6 жыл бұрын
Asalaam alleykum dada hiyo ni mipango ya Allah jambo La muhimu ni kufanya Ibada sana na kumshukuru Allah. Usikasilike na hiyo mitihani ulivyo kuwa nayo ni Moja ya Ibada .Inshaaalh mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi utapona Ameen .
@mariajoseph740
6 жыл бұрын
wasanii mnapenda sifa mtoleeni mwezenu spate matibabu sisi watazania tupo pamoja
@suzanaitandula1353
6 жыл бұрын
dah inauma sana pole sana dada wastara hakika Mungu yuko pamoja na ww,, mshukuru kwa kila jambo na jipe iman ipo siku yako
@ayshahams7373
6 жыл бұрын
pole xana da wastra mtihan tu ya mungu ilobakia nikuomb mungu na kufanya ibada kwa wingi nasi twazid kukombea inshallah mwenyezmung atakusahilishia
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
Pole sana dadaangu WASTARA, Allah akupe nguvu katika hili
@sophiamohamed9782
6 жыл бұрын
nimelia Sana Leo Mimi jamani Hadi nashindwa kuongea jamani wastara Pole Sana tuko wote
@ummuamne1980
6 жыл бұрын
Wastara kweli inaumaa ila hupaswi kukatamaa huu n mtihani mola amekupa usiache kumshukuru n kuleta istighfar kwa wingi dadangu japo inaumaa Sana ungeeka namba zako mchango dadangu kwa interview bc zako ile mwenyekungusa n tatizo lako aweze kukutumia chochote alichojaaliwaa
@elizabethmafuru3192
6 жыл бұрын
ninashindwa kuvumilia napata uchungu zaidi Eee Mungu yatazame machozi ya mja wako
@mathewshedrack8382
6 жыл бұрын
Jaman inasikitisha sna kuona wasanii hamuonesh ushilikian kwa mwenzenu wastar du inauma sna
@samanthaali873
6 жыл бұрын
Pole sana mithihani nilazima kwabinadamu utapoa dada
@rahmahussein8139
6 жыл бұрын
Dah !...this is very bad , may Allah grant you happiness Wastara .
@shaninyalusi8451
6 жыл бұрын
Mungu Akusaidie jamani ila Mungu nimwema Utakuwa sana sister angu
@consojacob493
6 жыл бұрын
pole Dada wastala mungu atakusaidia utapona, nasi twakuombea.
@ashminaabdullah5626
6 жыл бұрын
Chibu chibu Dangote uko wapi huoni Wastara akiteseka naamini uwezo mnao msaidieni Allah atakupeni zaidi umoja gani usosaidiana wakati wa shida
@godfreymziwanda6703
6 жыл бұрын
team kiba
@rahmaally2472
6 жыл бұрын
Pole hayo yote yana mwisho wake usichoke kumuomba Allah kwa kila jambo ipo siku utayasahau yote
@abdulomary2171
6 жыл бұрын
Pole sana dada yang wastara mung yupo pamoja na ww insha allah atakusaidia tu
@mariakulwa6602
6 жыл бұрын
Mimi naitwa mama rashidi kutoka Kakola bulyanhulu pole sana MDOGO WANGU mungu akupe nguvu uvumilivu subira hiyo ni mitihani tu ya kidunia usikate tamaa mungu anamakusudi yake
@viviennemanishimwe4397
6 жыл бұрын
Naomba Namba ya Wastara ya what's app
@fatmatanzania2412
6 жыл бұрын
pole sana mama angu mungu bado yupo pamoja na ww inshallah atupa afueheni mama inshallah
@mariamukajiru1898
6 жыл бұрын
Pole sana Wastara, ninachokushauri nenda kwenye TV station yeyote uombe wakutangazie namba ya simu ya kupitishia michango
@mercykamene9849
6 жыл бұрын
Kila siku mnamuhoji na hamumsaidii
@algmobai2183
6 жыл бұрын
Pole sana dada mungu yuko pamoja nawe ... hii yote ni mitiani ya ndunia ...utapona mungu yupamoja nawe ...plz nitumie namba ya wastara
@atukalyembe194
6 жыл бұрын
pole sana dada
@algmobai2183
6 жыл бұрын
Mwendokasi Tv asante ... but nilimpigia akawa apatikani
@rehemashafi4809
6 жыл бұрын
Pole my mungu.akutie nguvu
@barakamzuri6522
6 жыл бұрын
Nahisi vibaya kumuona Huyu dada akiugua. Namuona dada wa heshima sana.Mungu akusaidie na akupe moyo mkuu
@lonamoon2359
6 жыл бұрын
Mashaa Allah wastara Allah akuongoze dia
@penny4310
6 жыл бұрын
Tatizo ni kuwa wasanii wanajisifu sana, jinsi walivyo na fedha nyinngi, ,, sasa ona wakati wa majaribu yakija kila mtu analenga, ,, pole lakini dada, OMBA MUNGU MAANA MUNGU PEKEE NDIYE HAWEZI KUKUACHA , nahisi uchungu wako ila sina uwezo na pia niko mbali, pia mie niliyapitia maradhi ya moyo nikatengwa na kila mtu na sasa NIMEPONA , MUNGU NI MWEMA DADA, MWITE TU, . 😢😢😢
@mejumaabaraza8020
6 жыл бұрын
Pole dadangu Allah atakuafii sababu za kukufanya ivyo azijuwa mwenyewe
@linahminja771
6 жыл бұрын
Pole sana Dada Mungu yupo nawe atakuacha uteseke
@anetikapami4228
6 жыл бұрын
Pole sana Dada wasitala mungu yu pamoja nawe
@stellajohn5019
6 жыл бұрын
nimelia kiukweli pole sana dad
@aminamtondo1816
6 жыл бұрын
Mungu akusaidie my hakika wote ni sawa usijione mpweke kisa ty umekatika mguu hapna ulemavyu sio ugonjwa kikbwa kumuomba mungu akujarie kheri na baraka na upate ridhki iliyo salma
@consesamallya4327
6 жыл бұрын
Pole Sana wastara Mungu akupe wepesi
@nurumwingira7689
6 жыл бұрын
Mungu akusaidie umepita mapito nakubwa sana dadaangu
@marcben2268
6 жыл бұрын
Rip sajuki and pole sana wifi etu wastara i wil col u momma ucjar dahh inauma bt Mungu wetu ni wetu sote ucjar mama
@queenmwasanguti2370
6 жыл бұрын
siku moja mungu atakutokea mama vumiili
@evalinnkumbi4139
6 жыл бұрын
Dada njoo Nigeria upate maombi yatakayokuponya my love.
wasanii hawana ummoja umoja wao uko kwa harusi ama sheree ya kitu flani wstafanya kufuri ya pesa hadi utawashangaa.let me be open.namuomba simba.baba tiffa kama kiongezi mwenye moyo msafi amsaidie wastata
@alwahaibiamaryama5236
6 жыл бұрын
Halima Salim in sha Allah
@joyceahamadi7692
6 жыл бұрын
mungu awafanyie wepesi katika kipingi kigumu
@salamahamadi4123
6 жыл бұрын
Mtihan pole my wanahiyar wakampee shilole mipesa kibao na magar ilaa hawawez kumsaidia mwenziwao inaumaa pole mwaya mugu atakuafu
@fatmaali4921
6 жыл бұрын
Hivi shilole mmemchangia harus yake huyu Mbona kimya mpka analia anadhalilika kiais hiki hamuoni au
@sakinamsambala7443
6 жыл бұрын
pole dada yangu wastar
@sara.wanjalaalipoyesuyotey3613
6 жыл бұрын
kweli wanaume mulio mzalisha watoto hawa yani hamuwezi kumsaidia ila. Usijali dada Mungu nimwaminifu sana
@lonamoon2359
6 жыл бұрын
Pole sana wastara mola azidi kupa subrah na nguvu
@jeremiahmsemwa8323
6 жыл бұрын
Mungu akujalie...life hard
@ayshamahariq6665
6 жыл бұрын
Pole sana
@badymedia9648
6 жыл бұрын
Jamani hii namba ni sahihi
@bintihamisi6917
6 жыл бұрын
pole sana
@felistergodbless7508
6 жыл бұрын
mnamsumbua dada wa watu mnamhoji msaada hammpi au hamjui kuongea lazima atumie nguvu muwe mnamwachia hata ya kula basi mnamhoji kumsaidia hammsaidii kuweni mifano kwa wengine pole dada wastara mungu ndo rafik wa kweli na wa milele binadam ni unafik tuu fyuuuuu
@shanimbaruku2071
6 жыл бұрын
Dah yani Mie nalia tu
@youngsaiyoh2308
6 жыл бұрын
Wasani hawana umoja kwa nn tusimuchangie wastara naomba namba
@blacknature7637
6 жыл бұрын
Young Saiyoh sio kukosa umoja Ni kukosa imani wasanii wa bongo Hawana maana
@yasrijuma5854
6 жыл бұрын
Young Saiyoh
@mamafranjovlog72
6 жыл бұрын
pole sana WASTARA KWELI KABLA HUJAFA HUJAUMBIA ,,,,,,maisha ya ughaibuni , mikasa karibuni msubscribe kwenye channeli yangu pia schoralship zimeshatoka wapendwa wanaoitaji bonyeza picha yangu kzitem.info/news/bejne/uaGJm6pss6tkfKQ
@TheOne-fi6cs
6 жыл бұрын
Dah, majaribu ni mtaji, but inafika kipindi MTU unajuliza "Kwanini Mimi"?! na ukifikia hatua hiyo its ur time to pray more and more, kwan ni kpindi ambacho ni dhahiri unaweza kumwacha mtetezi wako wa kweli na kuyapokea mabaya, but nachoweza kusema is " pole Dada angu na zaidi don't ever complain for which u are passing through but let's keep praying my lovely sister, and tutakuchangia wala usijal kila zaid ni maombi Dada angu kipenzi, jikaze usilie sana, I know its hard for u but no way out..
@mr.liverpool3274
6 жыл бұрын
daaaah bonge la mrembo, pole xna mattzo ni kawaid kw bnadam
@mariamukajiru1898
6 жыл бұрын
Tunaomba hiyo namba ya simu isimamiwe kwa uaminifu ili tuweze kuchangia chochote tulichinacho , Mungu atakusaidia utapona .
@stacyandelcy2774
6 жыл бұрын
wow much sympathy God is the provide
@shalonibrahim9597
6 жыл бұрын
poleeee wstara wng utpon
@zamzamhamisi7332
6 жыл бұрын
Pole Allah kareem
@mamaregina5134
6 жыл бұрын
wastala pore sana dunia ndivyo ilivyo yani unapendeka kipindi unacho yani mda wanakula vyako ila ukikosa weniadui kwakila MTU usife moyo IPO siku utafrai
@asheredward5866
6 жыл бұрын
Nmeona kufuru ya pesa kwny harus ya shishi jamn mbn hk mmesahau Dada yetu hy ajawah kupata furaha ya kudum
@jamilangao6759
6 жыл бұрын
kiukweli wasanii hawapendani maana uyu ni msanii mwezao anapata tabu wao wanakula rahaa iyo daimondi na mkewe kila siku wanachezea pesa kumsaidia mwezao wanashindwa nasi dai tu wapo wengi sana wasanii ila msaada wanashindwa mhh kweli hii ndiyo dunia
@badymedia9648
6 жыл бұрын
Mana tusije tukachangia matapeli ,twahakikishiwaje kua ni wastara ? Mwenyewe
@goodnesstito8801
6 жыл бұрын
good ness tito
@tatut3889
6 жыл бұрын
Mmh 😥😥😥😥😥😥😥😥sina neno mm 😤😤😤😤😤wacha nienderee kumia
@esterchavala7986
6 жыл бұрын
Tatu kuombea usijak
@mejumaabaraza8020
6 жыл бұрын
Jamani tupeni no ya watsapp na ili tuwasiliane na tutakae mtumia uwo mchango na pia tuwe twajuliana hali ya dadaetu imefikia wapi plz mm natokea KENYA ila nipo nje ya nchi
@mariamukajiru1898
6 жыл бұрын
Wezesha namba tuchangie tulichonacho , usihuzunike sana
@veronicazacharia2080
6 жыл бұрын
Mange Kimambi musaidie wastara
@salomejohn8180
6 жыл бұрын
Hivi wale wa chama chake wako wapi?
@saidajuma8584
6 жыл бұрын
pole Dada angu nakuombea upone yupo mponyaji atakuponya ambaye ni Yesu KRISTO daaa nimejikuta machoz yananitoka
@verdianasteven304
6 жыл бұрын
jmn wasanii mnapata hela za kuchezea mnashindwa kusahidia mwenzenu!!
@khalidmakasava9350
6 жыл бұрын
Pole dada
@halimaramadhan432
6 жыл бұрын
pole sana mungu atakusaidia
@salamasaidi7363
6 жыл бұрын
Huyo dada amepata majaribu mno Mungu msaidie kiumbe wako huyo ila wakati wa shida wanamtenga wakati wa bata wanampeleka Uarabuni mnakumbuka alipoolewa na mbunge bata la nguvu tuwekeni akiba
@salamasaidi7363
6 жыл бұрын
Fanya ibada sana achana na dunia hii jistiri mama dunia sio
@tinyaanosiatha1118
6 жыл бұрын
Pore sana dada mungu atakusaindia
@salimukabunda2069
6 жыл бұрын
Pole dada mungu akutangulie
@tambuatv4370
6 жыл бұрын
kk nimeon
@mejumaabaraza8020
6 жыл бұрын
Kama hutojali wastara nitumie no yako ya whatsapp dadangu leo ww kesho mm kidogo nilicho nacho ntakigawnya kwa ajili ya Allah
@mejumaabaraza8020
6 жыл бұрын
Mwendokasi Tv ndio hii no
@mejumaabaraza8020
6 жыл бұрын
Mwendokasi Tv mbona ya kenya
@mejumaabaraza8020
6 жыл бұрын
Mwendokasi Tv mm nataka no ya watsapp ili tuweze wasiliana coz cwezi piga direct ni pesa mob plz
@jacklinepatrik9104
6 жыл бұрын
Ucjal tunakuombea
@nuruabdul2634
6 жыл бұрын
swala lakupata ajali kila cku inawezekana nimadhabau mbaya ulizonenewa tokea tumbon na ili ziweze kuvunjika mpe Yesu maisha yako......Mungu mwema Dada utaishi kwafuraha na amani tele.
@mariumngawanja6197
6 жыл бұрын
POLE
@hekimabaraka1593
6 жыл бұрын
wewe njoo the pool of Siloam hiyo shida ni ndogo mno . njoo mbezi makonde ufunguliwe bure. hauna sababu ya kuendelea kuwa na wimbo wa utaabishaji njoo upokee wimbo mpya wa uzima.
@mejumaabaraza8020
6 жыл бұрын
Nikitaka kukutumia mchango wangu ntakutumia vipi mm
@blacknature7637
6 жыл бұрын
تهامي عرابي ukipata njia Na Mimi nijulishe nitafungua hii vidio kila siku
@blacknature7637
6 жыл бұрын
Mwendokasi Tv Mimi Niko nje ya nchi nijulishe
@mejumaabaraza8020
6 жыл бұрын
Black Nature. Pia mm niko nje xx cjui ntatuma vp
@nurloy510
6 жыл бұрын
Niko nje ya nchi vipi nitoe mchango wangu tafadhali niakikishie
Пікірлер: 104