Anayepaswa kuagwa kwa heshima ni mmoja 2 naye anajulikana hao wengine wakaagwe kwao
@fredrickipembe8188
Жыл бұрын
Mzee rage safi sana wewe ni mwanamichezo kweri kweri
@emmanuelakutulaga9756
Жыл бұрын
HAKIKA that's football,...SIMBA NA YANGA ,SISI NI NDUGU....HAO WANAOTANGAZA na KUPANDA UADUI BAINA YETU WAKOME KABISA.
@albertkamala6843
Жыл бұрын
>Simulizi ya Aden Rage, kiongozi mkongwe na mwandamizi mstaafu ktk mpira wa miguu ni ya kusisimua sana! >Lkn pamoja na maraisi kupenda michezo kwa kutoa ndege, pesa nk kuwa jambo la heri lkn maendeleo na mafanikio makubwa ktk mpira wa miguu na michezo mingine kwa ujumla bado sana kwa kukosa kuwekezwa mtaji stahiki!
@hajimnubi4581
Жыл бұрын
Hapo kwenye yanga kuazima wachezaji wa simba haikua baada ya kufungwa eti magoli mengi no...ni baada ya ku qualify kuwa timu ya kwanza kuingia makundi ( robo fainali)kwenye champions league ...enzi hizo makundi zinaingia timu 8 tu sio 16 kama sasa so ukiqualify kuingia makundi unakua umeingia robo fainali tayari
@roberttagaya9098
10 ай бұрын
Acha ubishi wa kijinga usiokuwa na afya kwenye akili yako.
@jumasalim6126
Жыл бұрын
Mzee Rage lakini wewe ni yanga tangu utotoni kule Tabora.
@japhetmathayo2499
Жыл бұрын
Shida mnashindwa kufanya tafsiri vizuri azam ni kampuni mfano viwanda, timu ya azam, azam media n.k zote zile Zina wakurugenzi ambao wengi wao ni watoto wa mzee barkresa na vyote hivyo vipo chini ya azam group of companies ambayo mkurugenzi mkuu ndio mzee barkresa
Пікірлер: 10