Mh.wsziri Hotuba nzuri sana inatia moyo wafanya biashara na wawekezaji ,kama na vitendo vitakuwa hivyo unavyoaahid.safi Go ahead.
@kadokemarco9966
21 күн бұрын
Huyu jamaa ni hazina ya taifa, siyo akina Mwigulu, Nape, January na akina Tulia.
@Majhidymhessa
21 күн бұрын
Tatizo mnalijua sana:
@chalokalunde9429
21 күн бұрын
Nimefurahia sana huyu jamaa huwa ana maono ya nchi iendelee.
@user-vb7vw2jr7d
21 күн бұрын
Mimi mwenyewe nimetoka kulipa faini ya milioni moja ya kubambikwa kwasababu hakuna pakusemea na mpango wakuhama kwenda nchi jirani
@halidomar9874
21 күн бұрын
Madeni tuna bambikiwa tra hatuyaelew
@victorjames3730
21 күн бұрын
TRA na Kodi sio rafiki kwa wafanyabiashara
@tisamokebulemasubugu6222
14 күн бұрын
Wakubwa wanakimbia lakini wadogo wanatishiwa Police ukiziangalia lawama zote tatizo ni maamuzi Kwanini wachumi wa hii Nchi hawana michango katika uendeshaji wa uchumi Endelevu ?
@DeogratiusAndrew-zi7zv
21 күн бұрын
Nafurahi umerudi ulingoni, jaffo, majaliwa, makonda, haya nimejembe, hayaishi ukaliwake, kule walikokuwa wamekupeleka walikuziba mdomo, nakuombea sana Kwa Mungu akupe hekma kumaliza migogoro ya wafanya biashara,
@AhmedHassan-vl5zf
21 күн бұрын
Hao kina mo dewj wanapaka kuilazimisha ili wapinguziwe Kodi Yani waziri wawachie waende
@tisamokebulemasubugu6222
21 күн бұрын
Maamuzi ya viongozi hayaangalii uepushaji wa Athari Kwa wafanya Biashara
Пікірлер: 13