Hahika kama unaitaka mali..utaipata shambani..kama ndivyo weka malike apa..Hongera mchungaji
@mariexavi2017
5 жыл бұрын
Safii kaka
@robertjoshua2038
5 жыл бұрын
Anatisha
@jackmichael1953
4 жыл бұрын
hongera sana masanja mungu akujalie katika utumishi wako nakumbuka uilisha wajane dodoma nakuwavisha barikiwa sana
@bizone_tz
4 жыл бұрын
Panda bata ubaruku stand up
@brightonkahabi176
3 жыл бұрын
Kazi nzuri sana.
@gambonmgaya1286
5 жыл бұрын
Hongera sana 🔥 🔥 🔥
@xkingx8041
5 жыл бұрын
Piga kazi mchungaji wangu masanja. Na Mungu abariki kazi ya mikono yako.
@yasiniselemani2412
5 жыл бұрын
Keep it up
@AnnacredaK
Жыл бұрын
Weka namba yako masanja kwa mawasiliano zaidi
@liesharehema5193
5 жыл бұрын
Mimi ngoja nikusanye Macumba yangu nitakutafuta kaka yangu masanja au baba muchungaji nipo nakufuatilia nikikamilisha hela nitakutafuta aminaaa
@malimimasolwa6492
5 жыл бұрын
Mtumishi songa mbele. Kuna kenge wanasema usenge wao eti we ni freemason
@davidngopola6655
5 жыл бұрын
Malimi Masolwa Hivi inabidi uwe na mtaji kiasi gani ndipo ulime
@zakyahya4645
5 жыл бұрын
Kwa ili apa akuna freemason
@malimimasolwa6492
5 жыл бұрын
Watu hawana jema
@nujakaambari5599
5 жыл бұрын
Safi sana Ila mwambie asikuangushe Kwa kuwa umeshamtangaza,umetuaminisha
@jicholafursa7058
5 жыл бұрын
Bata ni hatari
@charlesmligo1482
5 жыл бұрын
Safi Sana masanja wa kukandamiza, Emmanuel Mgaya vyakunjombe!! Nimekukubali Sanaaa.
@liesharehema5193
5 жыл бұрын
Mpiga kazi wewe nijembe kaka masanja hongera sana
@zainabukhalifa3967
5 жыл бұрын
Hongera sana
@liesharehema5193
5 жыл бұрын
Masanja hoyeee nakufagilia sana we we in mfano was kuigwa
@sebasmsigwa8978
5 жыл бұрын
Unajitahidi kujibu maswali
@swahilitheafricantongue7041
5 жыл бұрын
Bhebhe nkoi mbona mnapanda mbegu nying nying kwenye shina moja?
@franklugalamila4473
5 жыл бұрын
Duuuh broo we ni mkalii
@zainabujuma7252
3 жыл бұрын
JUA KUHUSU UVIMBE KWENYE MFUKO WA UZAZI(fibroids) Uvimbe katika mfuko wa kizazi wa mwanamke hujulikana kama uterine myoma au fibroid. Uvimbe huu hutokea kwenye misuli laini ya mfuko wa uzazi. Tatizo hili huwakumba wanawake wengi ambapo huwapata kwa asilimia tano wanawake wenye umri kati ya miaka 20 hadi 30, asilimia karibu 20 kwa wanawake wenye umri kati ya miaka 30 hadi 40, na zaidi ya asilimia 40 kwa wale wenye umri zaidi ya miaka 40. Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa MYOMA ni aina ya uvimbe unaowapata wanawake wengi hasa katika umri wa miaka ya uzazi. Hii inamaanisha kuwa kadiri umri unavyokuwa mkubwa mwanamke ana nafasi kubwa ya kupata ugonjwa huu, pia ni tatizo ambalo linashuhudiwa sana katika jamii kwa sasa na pengine ni kutokana na jinsi watu wanavyoishi. Kuna aina kuu 3 za fibroids, kwanza ni 1.Uvimbe unaotokea kwenye tumbo la kizazi na unaweza kuwa ndani ya kizazi unaojulikana kama submucosal fibroids. 2.uvimbe unaotokea ndani ya nyama ya kizazi yaani intramural fibroid, 3. ni ule unaotokea nje kwenye ukuta wa kizazi ambao hujulikana kitaalamu kama subserosal fibroids. Uvimbe katika mfuko wa uzazi huwapata zaidi kina mama ambao wako katika umri wa kuweza kuzaa (reproductive age). Uvimbe huwa wa ukubwa tofauti huanza kwa mdogo na baadaye kuwa mkubwa sana na hata baadhi ya wakati mwanamke kuonekana kama ni mjamzito. Uvimbe huu unaweza kuwa mmoja lakini baadhi ya wakati hutokea uvimbe zaidi ya mmoja ambao hutanda katika mfuko wa uzazi. 🙄Tafiti nyingi zinaonyesha kuwa wanawake wa asili ya Kiafrika hupata zaidi tatizo hili kuliko wazungu. 🙄Pia huwapata zaidi wanawake ambao hawajazaa kabisa au wamekaa muda mrefu bila ya kuzaa, wanawake wanene, na pia wale ambao wana ndugu wa karibu aliyepatwa na ugonjwa huu. 🙄Wengine walio katika hatari ya kupata ugonjwa huu wa fibroids ni pamoja na wale wanaopata hedhi mapema. NB:Inafaa kuelewa kuwa, fibroids sio kansa bali ni uvimbe wa kawaida tu ambao hukuwa kwa kutegemea kichocheo au hormone ya estrogen na ndio maana wakati wa kupata uvimbe huo ni kuanzia kubalehe mpaka kukoma kwa hedhi. Hata hivyo ingawa fibroids si saratani, lakini uvimbe wa aina hii umekuwa tishio kwa wanawake wengi duniani na kusababisha wengi wao kuondolewa vizazi. Pamoja na kuwa sababu kuu ya uvimbe katika kizazi haijajulikana, lakini zipo sababu ambazo zimehakikiwa kusababisha mwanamke kupata uvimbe wa fibroid Sababu inayopewa kipaumbele zaidi ni 1.Wingi wa vichocheo vya estrogen ambavyo vipo katika miili ya wanawake na vichocheo hivi ndivyo hufanya kazi katika mwili wa mwanamke na kumsababishia kupata siku zake. Mara nyingi uvimbe huu huwa unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu ili kulinda makuzi ya mtoto. Unapaswa kujua kuwa, kwa watu waliofikia kikomo cha hedhi au menopause huwa hawapati fibroids na kama wakipata basi huwa na hatari ya kuwa kensa. Dalili za uvimbe katika kizazi Uvimbe katika kizazi cha mwanamke ukiwa mdogo unaweza usiwe na dalili zozote na dalili hutegemea sehemu ulipo kwenye mfuko wa uzazi na pia ukubwa wake. Hata hivyo dalili za ugonjwa huu mara nyingi ni 1.kutokwa damu nyingi kwa muda mrefu wakati wa hedhi ikiambatana na mabonge mabonge isivyo kawaida, au kutokwa damu isiyo ya kawaida katikati ya mwezi au hedhi zisizokuwa na mpango. 2 Dalili nyingine ni kupata maumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi, kutokana na ugonjwa kubana viungo vingine vya mwili (pressure symptoms). Wengi hupata maumiu makali ya tumbo, maumivu wakati wa tendo la ndoa, maumivu ya mgomgo na kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe hukandamiza kibofu cha mkojo. 3.Dalili nyingi za fibroid ni pamoja na kutotunga mimba au mimba kuharibika na kutoka, na wakati mwingine ugumba. NB:Tatizo la uvimbe katika kizazi mara nyingi huambatana na maradhi mengine. Maradhi hayo ni kama, 😎upungufu wa damu, 😎kufunga choo, 😎matatizo ya figo na mara chache huweza kuwa saratani. Pia uvimbe wa fibroid unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo, 😣 mkojo kubaki kwenye kibofu, haja kuwa ngumu, miguu kuvimba na kupungukiwa damu. Uchunguzi Ni rahisi kwa mtaalamu kugundua ugonjwa huu au uvimbe katika mfuko wa uzazi kwa kumkagua, au kumpima mgojwa (bimanual examination). Daktari anaweza kuhisi uvimbe kwa kutumia mikono miwili anapokuwa ana pima tumbo, hata hivyo kipimo cha Ultrasound ya nyonga hutumika kugundua uvimbe kwenye kizazi cha mwanamke. Kipimo cha MRI pia huweza kutumika kupata usahihi wa ukubwa na eneo uvimbe ulipo. MUHIMU:fibroids zinaweza kuzuia kupata mtoto kwa njia tofauti. □:kwanza kabisa uvimbe huu unapokuwa sana hukandamiza mirija ya kupitisha mayai kutoka kwenye ovari au sehemu mayai yanapotengenezwa. □Uvimbe huu pia unaweza kuzuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi hasa ikiwa ni submucosal fibroids. Pia hufanya mfuko wa kizazi ukaze na hivyo kushindwa kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai. MATIBABU Matibabu ya tatizo hili yanaweza kulenga kutibu dalili au kupunguza uvimbe. Hata hivyo kama ugonjwa huu hauna dalili unaweza kuwa ukifuatiliwa tu bila kuchukuliwa hatua zozote. Tunapaswa kujua kuwa, mwanamke anapokoma siku zake tatizo hili nalo hutoweka. Wanawake wengi wana fibroids ndogo ndogo lakini kwa sababu hazina dalili huwa hawaendi hospitali na pengine hubainika pale wanapofanyiwa ultrasound. Lakini iwapo watabeba ujauzito uvimbe huu huongezeka kwa sababu ya vichocheo kuongezeka. Kwa ajili hiyo tunashauriwa kuwa na mazoea ya kufanya uchunguzi wa afya zetu mara kwa mara ili kuweza kushughulikia haraka matatizo kama haya. Uvimbe ambao ni mkubwa wenyewe hutibiwa kwa namna zifuatazo: 1. Dawa ambazo kwanza ni kwa ajili ya kurekebisha kiwango cha vichocheo vinavyosababisha uvimbe huu na aina ya pili ya dawa ni vidonge vya maumivu ili kutuliza maumivu yanayosababishwa na fibroids. Vidonge vingine vinavyoweza kutumika ni vya kuzuia damu dawa za uzazi wa mpango. 2. Njia ya pili ni upasuaji, ambao hutegemea na ukubwa wa uvimbe,pia sehemu ya mfuko wa uzazi ambapo uvimbe upo, na wingi wa fibroids. Kuna aina mbili za upasuaji : 1. Myomectomy - njia hii hutumika ikiwa kuna uvimbe mmoja na si mkubwa sana, na iwapo mwanamke ni kijana anayehitaji kuendelea kuzaa na kwa wale wenye uvimbe mmoja ulio katika sehemu nzuri. Operesheni hii ni kwa ajili ya kutoa uvimbe tu na kuacha kizazi. Hata hivyo katika upasuaji wa aina hii kuna uwezekano mkubwa wa uvimbe kujirudia. 2. Total abdominal hysterectomy - Hii ni aina ya upasuaji ambapo kizazi chote hutolewa na hufanyika ikiwa kizazi kina uvimbe mmoja mkubwa sana au vivimbe vingi. Sio vibaya kujua kuwa aina ya upasuaji wa uvimbe katika kizazi hutegemea pia umri wa mgonjwa,sehemu ya mfuko wa uzazi ambayo imeathiriwa na uvimbe huo,aina ya fibroid, idadi ya watoto na maamuzi binafsi ya mgonjwa. Baadhi ya wakati pia hata baada ya kufanyiwa operesheni uvimbe ●●●●●●●TUNA HABARI NJEMA KWAKO Sasa unaweza tibu fibroids bila upasuaji kwa kutumia bidhaa kutoka bfsuma ambazo ni 1.Pure and broken ganordema 2.Yunzi Wengi wamepona na wametoa shuhuda kwa mawasiliano karibu ofisini kwetu +96879161307/+255 769 381 343
@mialanomangobo3783
5 жыл бұрын
Wangekua natumia long cloves kwenye mikono to protect kwa maambukizi ya minyoo
@GastonChonya
7 ай бұрын
Hujafika site ujue kazi hiii inaendajeee
@eklonlazarobaragomwa3963
5 жыл бұрын
Aise shamba lilikuwa vizur naomba namba yako ya cm
@zainabujuma7252
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@imanmwahalende1694
5 жыл бұрын
Good job
@westonmtweve3612
5 жыл бұрын
Ndinyilikha ikas boss
@leonardflavour7533
4 жыл бұрын
Dawani mtaji kuupata changamoto ukiupata umetoboa
@ashleymanyama6056
5 жыл бұрын
Mtaji unao na sisi wenye nia na kilimo tuanzie wap
@bizone_tz
4 жыл бұрын
Huyu. Msimamiz noma
@staviusbagambilana867
5 жыл бұрын
bela makasia baan
@muhasatv9245
5 жыл бұрын
Kapo shuleee
@bensonminja1289
5 жыл бұрын
Masanja tumia mashine ya kupanda
@linnetondisa9668
5 жыл бұрын
Asante sana kwa kweli jembe ni Mali.naomba ajira .
@danielsanga2678
5 жыл бұрын
Pamoja sana kaka ni shamba
@yasinimkangama6619
5 жыл бұрын
Tuwekee kipindi tuone siku jinsi mnavyo ingiza maji na kutoa shambani hapo bado sijaelew
Nahitaji namba ya huyo mtalaam nifanye nae mazungumzo ya kazi
@edinachami1754
5 жыл бұрын
Masanja naomba kazi me ni Afsa kilimo Nina diploma cna kazi ni mchagga
@elizabethsamson4915
4 жыл бұрын
Kilimo champunga kinalipa kwauhakika mkubwa mfanyo mtu ana lima hekali 200 naanauhakika wakupata adi milion800 nikawaida kabsa mtu kutajirika kupitia mpung watanzania nikuamkua t kujitoa kwenda mashamban namsikae mjin hela kwenye kilimo ipo jaman
@seleliupile8056
4 жыл бұрын
Shamba lipo vizuli umesha wahi kuchuguza heka inatoa kiasi gani ukiweka mbolea? Maana nataka nibadilike.
@mashakazacharia9874
5 жыл бұрын
Bro me naitwa mashaka kwitega,natokea mkoa wa geita nimekua nafanya kazi za kilimo haswa cha mpuga lakini sipati faida pia changamoto za maeneo kwa mkoa wa geita ndo kikwanzo naomba msaanda wako mchungaji wa mungu,by 0763909063/0719840920
@emanuelmasele8213
5 жыл бұрын
Kaka masanja E.kama utaion post hii naomba mawaxliano ako via madukathegreat@gmail.com Nmekuwa nikikutafta sana pacpo mafanikio. Barikiwa
@jaydon3361
5 жыл бұрын
Bonyeza picha hii kushoto kwako kisha bonyeza neno subscribe uone masanja alivojiunga Freemason
@zainabukhalifa3967
5 жыл бұрын
Inatuhus nn watanzan hamna cha kufikiria hata mm nikiwa na pes mtasema freemason
@kbdmsafi_tz8094
5 жыл бұрын
Son P acha Ujinga Wewe Muogope Mungu
@wardamohamed5653
5 жыл бұрын
Ongera masanja
@zakyahya4645
5 жыл бұрын
Unafiki uoooo nyoooo ivi freemasoon wanalima?
@flowinkilangira1545
5 жыл бұрын
Son p nenda shamba mjomba hayo ya Freemasonry utakufa maskini.
Пікірлер: 58